Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
Hiv ww unahisi una sifa za kuwa na mond hata kama hujawai vutiwa nae hakujui na wala hana time na ww iv ukipelekwa mbele na madem aliopitia mond na ww utaonekana..... watu kwa kujipa matumaini et cjawai vutiwa yaan yeye ndo usiseme hata hajawai kosea ata kukuona tu....!!!

we kama unamzimikia Sana diamond hadi unamtamani Ni wewe,Kuna wanaume zaidi ya diamond bana,we itakua unapenda wanaume maarufu,je kina Mengi,Mo dewj je ,bakhresa hao utatuambiaje sasa Daimond WA kawaida mno
 
Zari naye anabisha nini mbona hizi chupi za makalio zipo kibaoo, nenden pale casandra jaman mtazikuta ukivaa mtu haweza tambua, ni kama skintight tu, hata demu wangu anayo. Kazi unayo zarii, maana sasa itabid usiivue haaaahaaaaa tutakufuatilia like everyday babe. Dah yani tako feki😱😱😱
Hahahahaaa huko Insta jamani watu wamemshambulia hadi anatia huruma.
Na ameharibu alivyopanic na kupost mipicha na micaptions kisha akaifuta.
 
Hahahahaaa huko Insta jamani watu wamemshambulia hadi anatia huruma.
Na ameharibu alivyopanic na kupost mipicha na micaptions kisha akaifuta.
Haaaaaaaaaahaa boss lady hana hata assistant wa kumanage insta yake walau apunguze uswahili dah, wabongo tutamzeesha jamani
 
Njoo tuangalie lupela hapa,nairudia rudia hapa,Adam Juma mwenyewe kaikubali
Mimi ndio naisikiliza mkuu,nimeiangalia hadi nahisi nitapofuka macho.
Sasa hivi naisikiliza huku namung'unya ubuyu wa Zari na kigodoro.
 
Zari naye anabisha nini mbona hizi chupi za makalio zipo kibaoo, nenden pale casandra jaman mtazikuta ukivaa mtu haweza tambua, ni kama skintight tu, hata demu wangu anayo. Kazi unayo zarii, maana sasa itabid usiivue haaaahaaaaa tutakufuatilia like everyday babe. Dah yani tako feki😱😱😱
Teh teh teh watu hawajui mapovu yawatoka bure MTU ukishakua na flat screen hata unenepa ile haiongezeki
 
we kama unamzimikia Sana diamond hadi unamtamani Ni wewe,Kuna wanaume zaidi ya diamond bana,we itakua unapenda wanaume maarufu,je kina Mengi,Mo dewj je ,bakhresa hao utatuambiaje sasa Daimond WA kawaida mno
Hahaaa huyu atakua mpenda wanaume type ya dai ndo mana anafikiri wote wako hivo
 
Haaaaaaaaaahaa boss lady hana hata assistant wa kumanage insta yake walau apunguze uswahili dah, wabongo tutamzeesha jamani
Sasa hajui tu,angekaa kimya ingemsaidia na hata huku kushambuliwa kungepungua,ila hivi anavyojibu na kufuta anaharibu kabisa.
 
1455042180436.jpg
 
Duh! Great Thinkers mnajadili makalio ya Zarina Hassan
 
Mimi naona apige ya uchi au avae chupi ya kawaida alafu atupie insta na Nifah achote alete huku jf, hapo atakuwa ameondoa utata huu. Maana hapa tunaongozwa na hisia tu coz hakuna aliyeona tako yake live.
 
Hiv ww unahisi una sifa za kuwa na mond hata kama hujawai vutiwa nae hakujui na wala hana time na ww iv ukipelekwa mbele na madem aliopitia mond na ww utaonekana..... watu kwa kujipa matumaini et cjawai vutiwa yaan yeye ndo usiseme hata hajawai kosea ata kukuona tu....!!!
Hivi diamond ni nani hasa hapa Tz kwamba kila mwanamke anavutiwa nae?? Alafu nyie watoto wa kimbiji mna shida sana... Huyo diamond kamiliki mtoto gani classic hapa mjini zaidi ya hao hao ambao watu tunawala bila shida
 
Duh! Great Thinkers mnajadili makalio ya Zarina Hassan
wee nawe hujasoma hili ni jukwaa gani au kujitia ujuajii kaa umetiwa dole..hayaa fastaaa nenda kwenye forum ya siasa..inteligensia...au international forums utawakuta magreater thinker wenzio!!! huku waachie wambea wafanye yao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom