Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
mwingulu huyuo

swissme
 
Mbona sioni alipo fake...kwani hizo picha zimepigwa muda mmoja! Sidhani kama Zari ana sababu ya kufake...!
 
HAHAHAHAHAHAAAAA ZARI APANIC HUKO INSTAGRAM KAMA KAWAIDA YAKE,KAAMUA KUNIJIBU!
Sikiliza nikupe ushauri wa bure Zari,acha kupanic maana naona unasema kwamba mimi na wale waliodai wewe ni mdau kigodoro tumepanic,kwa majibu haya ni nani aliyepanic zaidi?
Why using too much energy kuprove kuwa hutumii kigodoro?
Hujui hapa ndio umezidi kutupa doubt zaidi?
Je unajua kama wewe ni celebrity tayari?
Utaacha lini hizi ligi za kipumbavu za kubishana hadi na Anonymous kama Nifah?
 

Attachments

  • 1455014300600.jpg
    54.1 KB · Views: 37
  • 1455014326154.jpg
    48.6 KB · Views: 32
  • 1455014348965.jpg
    62.9 KB · Views: 33
  • 1455014363884.jpg
    65 KB · Views: 32
Kakutaja anabishana na mtu kama ww?
 

we Ni she or he?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…