Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Huyu mwanamke hajiamini aache kuweke vile vidude kuongeza hips na kalio au ile picha ya wema alivobinjuka ilimuzuzua yani uswahili umemzidi naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona we we unaingilia yasiyo kuhusu multiple as usual yani we we umefungua Uzi kufatilia haaaaa nenda great thinkersiku moja uliwahi kunikosoa juu ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili...basi nikajua mwenzangu uko vizuri!!! kumbe poyoyo la kufa mtu. Mfano neno "ming'ono " linamaana gani?
Kibaya zaidi we dada unaonekana umeathiriwa sana na vigodoro vya uswazi. Unalazimisha kiki kwa kufatilia maisha ya watu.
Badilika, acha shobo...tumia muda wako kujifunza kiswahili sahihi.
Ushamba mzigo we we kuna vidude huvaliwa kuongeza makalio na hips angalia hapo kiunoni no direct correlationNimekuuliza umejuaje kuwa humo kwenye makalio ya mwanamke mwenzio kuwa kuna kigodoro? Au weye ndiyo kigodoro chenyewe?
Hahahahahaaa nafurahi sana kila mtu anapojaribu kumjengea Nifah picha....siku moja uliwahi kunikosoa juu ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili...basi nikajua mwenzangu uko vizuri!!! kumbe poyoyo la kufa mtu. Mfano neno "ming'ono " linamaana gani?
Kibaya zaidi we dada unaonekana umeathiriwa sana na vigodoro vya uswazi. Unalazimisha kiki kwa kufatilia maisha ya watu.
Badilika, acha shobo...tumia muda wako kujifunza kiswahili sahihi.
Oooops,asante mpenzi!Ushamba mzigo we we kuna vidude huvaliwa kuongeza makalio na hips angalia hapo kiunoni no direct correlation
Hiyo pole ungeipeleka kwa mtu sahihi hapa sio mahali pake.Wivu wako upo kwenye severe stage. Pole sana
Hili nalo sijui barmade! sasa hapa umeandika nini?Mbona we we unaingilia yasiyo kuhusu multiple as usual yani we we umefungua Uzi kufatilia haaaaa nenda great thinker
Watu hata hawaelewa wala kuchunguza kalio LA kushtukiza above thirty latoka wapi chaah. Tatizo wamejijrngea image tena wrong oneOooops,asante mpenzi!
Ndio maana nakupendaga sana wewe mdada.
Watu hawaelewi wanakimbilia kumwaga povu.
Huyo Zari alipanic ila kafuta posts baada ya kutuliza kichwa akaona anazidi kujiumbua.
Hahahahaaa uwiiiiii mkuu nimecheka sana.Sijui kwanini wadada wa mjini wanapenda haya madude kuna kidem flani nilikila mzigo naye alikuwa anaweka kigodoro uwa hawavui nguo wakati unawaangalia
Chillax we we domo umepaniki eeeehHili nalo sijui barmade! sasa hapa umeandika nini?
Navomjua zari ni flat screen inchi 28,nashangaa,nazidi kushangaaAchana na habari zote zinazotikisa kwa sasa,habari ya Zari a.k.a Boss lady kuweka makalio ya bandia imeshika kasi.
Kama mtakumbuka majuzi hapo Zari alihudhuria hafla ya tangazo la Vodacom ambalo yeye na mwenzi wake Diamond wameingia mkataba wa kulitangaza bibie Zari alipigilia kigauni matata chekundu.
Hafla hiyo imezua minong'ono mingi kuhusu Zari wengi wakidai ni mzee kuliko anavyopost picha zake yeye mwenyewe (too much editing) maana wadau waliokuwa pale walimpiga picha original ambazo zimezua kizaazaa.
Achana na hilo la sura balaa kubwa lipo kwenye shape aliyoonekana nayo Zari kwenye hafla hiyo kuwa tofauti na ile tuliyoizoea hadi wadau kuhoji je bibie Zari nae ni mdau wa kigodoro? (kuvaa nguo za ndani zilizotuna kuboresha muonekano wa shape)
Maneno pembeni, hapa kuna picha za Zari kabla akiwa na shape tuliyoizoea na shape 'TATA'.
View attachment 321993
View attachment 321994