Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
siku moja uliwahi kunikosoa juu ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili...basi nikajua mwenzangu uko vizuri!!! kumbe poyoyo la kufa mtu. Mfano neno "ming'ono " linamaana gani?

Kibaya zaidi we dada unaonekana umeathiriwa sana na vigodoro vya uswazi. Unalazimisha kiki kwa kufatilia maisha ya watu.
Badilika, acha shobo...tumia muda wako kujifunza kiswahili sahihi.
Mbona we we unaingilia yasiyo kuhusu multiple as usual yani we we umefungua Uzi kufatilia haaaaa nenda great thinker
 
Nimekuuliza umejuaje kuwa humo kwenye makalio ya mwanamke mwenzio kuwa kuna kigodoro? Au weye ndiyo kigodoro chenyewe?
Ushamba mzigo we we kuna vidude huvaliwa kuongeza makalio na hips angalia hapo kiunoni no direct correlation
 
siku moja uliwahi kunikosoa juu ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili...basi nikajua mwenzangu uko vizuri!!! kumbe poyoyo la kufa mtu. Mfano neno "ming'ono " linamaana gani?

Kibaya zaidi we dada unaonekana umeathiriwa sana na vigodoro vya uswazi. Unalazimisha kiki kwa kufatilia maisha ya watu.
Badilika, acha shobo...tumia muda wako kujifunza kiswahili sahihi.
Hahahahahaaa nafurahi sana kila mtu anapojaribu kumjengea Nifah picha....
Haya na wewe umecomment pia,kunywa maji upoze pressure maana sio kwa povu hili.
 
Ushamba mzigo we we kuna vidude huvaliwa kuongeza makalio na hips angalia hapo kiunoni no direct correlation
Oooops,asante mpenzi!
Ndio maana nakupendaga sana wewe mdada.
Watu hawaelewi wanakimbilia kumwaga povu.
Huyo Zari alipanic ila kafuta posts baada ya kutuliza kichwa akaona anazidi kujiumbua.
 
Sijui kwanini wadada wa mjini wanapenda haya madude kuna kidem flani nilikila mzigo naye alikuwa anaweka kigodoro uwa hawavui nguo wakati unawaangalia
 
Oooops,asante mpenzi!
Ndio maana nakupendaga sana wewe mdada.
Watu hawaelewi wanakimbilia kumwaga povu.
Huyo Zari alipanic ila kafuta posts baada ya kutuliza kichwa akaona anazidi kujiumbua.
Watu hata hawaelewa wala kuchunguza kalio LA kushtukiza above thirty latoka wapi chaah. Tatizo wamejijrngea image tena wrong one
 
Sijui kwanini wadada wa mjini wanapenda haya madude kuna kidem flani nilikila mzigo naye alikuwa anaweka kigodoro uwa hawavui nguo wakati unawaangalia
Hahahahaaa uwiiiiii mkuu nimecheka sana.
Kuna mtu kasema instagram kuwa Zari wakati anavaa alimuambia Diamond atoke na mtoto nje akampe maziwa....lol
 
Zari amejiachia kanenepa sana!
huwezi weka picha ya mwaka juzi ukaringanisha na leo
Picha ipi ya mwaka juzi mamii?
C'mon rubii wewe ni mgeni katika sekta ya umbea hadi umeshindwa kutambua hizo picha ni za lini?
 
Picha ipi ya mwaka juzi mamii?
C'mon rubii wewe ni mgeni katika sekta ya umbea hadi umeshindwa kutambua hizo picha ni za lini?


Nimetumia "mwaka juzi" kuakisi picha ni mda si za sasa!
 
Achana na habari zote zinazotikisa kwa sasa,habari ya Zari a.k.a Boss lady kuweka makalio ya bandia imeshika kasi.

Kama mtakumbuka majuzi hapo Zari alihudhuria hafla ya tangazo la Vodacom ambalo yeye na mwenzi wake Diamond wameingia mkataba wa kulitangaza bibie Zari alipigilia kigauni matata chekundu.

Hafla hiyo imezua minong'ono mingi kuhusu Zari wengi wakidai ni mzee kuliko anavyopost picha zake yeye mwenyewe (too much editing) maana wadau waliokuwa pale walimpiga picha original ambazo zimezua kizaazaa.

Achana na hilo la sura balaa kubwa lipo kwenye shape aliyoonekana nayo Zari kwenye hafla hiyo kuwa tofauti na ile tuliyoizoea hadi wadau kuhoji je bibie Zari nae ni mdau wa kigodoro? (kuvaa nguo za ndani zilizotuna kuboresha muonekano wa shape)

Maneno pembeni, hapa kuna picha za Zari kabla akiwa na shape tuliyoizoea na shape 'TATA'.

View attachment 321993

View attachment 321994
Navomjua zari ni flat screen inchi 28,nashangaa,nazidi kushangaa
 
Zari naye anabisha nini mbona hizi chupi za makalio zipo kibaoo, nenden pale casandra jaman mtazikuta ukivaa mtu haweza tambua, ni kama skintight tu, hata demu wangu anayo. Kazi unayo zarii, maana sasa itabid usiivue haaaahaaaaa tutakufuatilia like everyday babe. Dah yani tako feki😱😱😱
 
Nimetumia "mwaka juzi" kuakisi picha ni mda si za sasa!
Hapana,picha moja ni wakati akiwa mjamzito na nyingine baada ya kujifungua. (Hiyo aliyovaa night dress nyekundu na nadhani kama umepita muda basi hauzidi mwezi mmoja)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom