Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Majority ya Vijana mliofurahishwa na huo uzwazwa, ubinafsi na Upumbavu wa yule kijana ni broke-niggas

Tafuteni hela acheni UPUMBAVU!
 
Huyu hakimi si binadamu wa kawaida, Naona ni malaika alieshushwa kubadili taswira na mienendo ya wanaume vichwani...

Wanawake ni viumbe hatari sana inatupasa kuishi nao kwa akili sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…