Misa ya pili
Member
- Mar 24, 2023
- 85
- 170
ukijibiwa hii nitag wanawake ubinafsi ndio maisha yaoAnhaa...Lakini Mwanamke kushindana na Mwanaume aliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto ni Haki sawa???
Maana kina Bilgets, Bezos na wemgine wamgi walishapigwa matukio ya hivi hamkusema ujinga ila mlishangilia na kusema haki sawa.
ukitoa chuki zidi ya wanaume kidogo tu basi utakubariana na hakimi kwa sasa nadhani sio kesi ya mali bali anataka kumuonesha mtu ulimpenda ana filr divorce ya kutaka mali huyu ni adui automatic fikiria weweSawaaa,
Ila ajue anajiharibia taswira yake hasa hizo Nchi za Ulaya, nimekaa paleeeee
Na Hakim ana bahati, jana tu katoka kumsababishia mtu kadi nyekundu
Kiukweli Hakim aongezewe na poshoo, na posho kama kawaida itumbukizwe kwenye account ya mamaNa baada ya yule bwana kulimwa redcard watu wakashangalia sana! Kiongozi wa vijana wapuuzi amewaheshimisha wapuuzi wenzie tena π ππΎ
KabisaaaaKiukweli Hakim aongezewe na poshoo, na posho kama kawaida itumbukizwe kwenye account ya mama
AkomeMtamuua dada wa watu aisee
Mbona dada hakutaka talaka waachane tu akataka na maliAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Huyo aolewe na nani mkuu msagaji huyoWe hutaolewa ila waumia sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majority ya Vijana mliofurahishwa na huo uzwazwa, ubinafsi na Upumbavu wa yule kijana ni broke-niggas
Tafuteni hela acheni UPUMBAVU!
Tufanyaje sasaHata wanawake wana wivu mkuu
Here we go mmefika wapiHere we go πππͺView attachment 2589957