Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Tulia wewe kumbe akili yako ndogo kiasi hiki aisee 😀Mwanaume kushinda na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe kumbe akili yako ndogo kiasi hiki aisee 😀Mwanaume kushinda na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
mzee upo ?Tulia wewe kumbe akili yako ndogo kiasi hiki aisee 😀
Tukirudi nyuma kwann huyo Hiba ali file a divorce? Huyo Achraf amemcheat mara ngapi? Kama hiyo haitoshi bado ana kesi ya ubakaji, hayo hamsemi mnayafutikaYeye alishindwa nini ku let go alivyotibuana na Hakimi hadi kuomba shauri la kugawana 50/50...Hebu acheni ubinafsi bana.
Ubaya mkiufanya nyie kwenu ni kama haki tu ila mkinyooshwa oh wanaume makatili.
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
Hasara mnayo nyie Chadema mnapelekeshwa na mtu mmoja yupo zake BelgiumNyinyie ndio wapiga kura wa sisiem.
Hasara sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Auawe huyu hafai☺A. Hakimi ni mwenyekiti wetu mpya wa wanaume duniani
Ukisikia Yalaaaaaaaaaaa ujue.......Tulia wewe kumbe akili yako ndogo kiasi hiki aisee [emoji3]
Akuanzaye mmalizeAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Anhaa...Washauri wa ndoa ulaya nzima
Hadi aingie MP ya mwezi mzima kwa stress .. shenz kabisaaa 😅😅🤣🤣🤣🙌
Kesi iliyoko mezani ni ya divosi na kugawana mbao 😀,,, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari tu.Tukirudi nyuma kwann huyo Hiba ali file a divorce? Huyo Achraf amemcheat mara ngapi? Kama hiyo haitoshi bado ana kesi ya ubakaji, hayo hamsemi mnayafutika
Anatoa fundisho kwa wanawake wenye tabia za kudanga Hakim amepata fundisho zuri kupitia mwafrika mwenzake Ebouer ambaye kupitia hizo hizo sheria alifilisiwa mali zake zote mpaka nyumba alikuwa akaishi na mkewe huyo mzungu bila kuonewa huruma hata kidogo na mkewe aliachwa kweupe na hiyo imekuja ni baada ya Ebouer kumpenda mkewe na kumuamini sanaAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Sawaaa,Akuanzaye mmalize
Huyo bro Atapata wanawake kweli?Hadi aingie MP ya mwezi mzima kwa stress .. shenz kabisaaa 😅😅
Hadi sasa 2-0Timu Hiba atukubali anakufa mtu dadekii[emoji51][emoji51]
Hakunaga hioUkisikia Yalaaaaaaaaaaa ujue.......
Hahahaha umeruka eeh,Kesi iliyoko mezani ni ya divosi na kugawana mbao [emoji3],,, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari tu.
atanunua tu.. mbona nyingi zina uzaaa 😅😅Huyo bro Atapata wanawake kweli?
Hakimi akaoe kwao🤣Anhaa...
unahisi apo soution ni nini?