Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

Yeye alishindwa nini ku let go alivyotibuana na Hakimi hadi kuomba shauri la kugawana 50/50...Hebu acheni ubinafsi bana.

Ubaya mkiufanya nyie kwenu ni kama haki tu ila mkinyooshwa oh wanaume makatili.
Tukirudi nyuma kwann huyo Hiba ali file a divorce? Huyo Achraf amemcheat mara ngapi? Kama hiyo haitoshi bado ana kesi ya ubakaji, hayo hamsemi mnayafutika
 
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.

Awe serious..matani aweke kando..sijafurahishwa kabisa(jokes)
 
Asitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Anatoa fundisho kwa wanawake wenye tabia za kudanga Hakim amepata fundisho zuri kupitia mwafrika mwenzake Ebouer ambaye kupitia hizo hizo sheria alifilisiwa mali zake zote mpaka nyumba alikuwa akaishi na mkewe huyo mzungu bila kuonewa huruma hata kidogo na mkewe aliachwa kweupe na hiyo imekuja ni baada ya Ebouer kumpenda mkewe na kumuamini sana
 
Back
Top Bottom