Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Sie yetu machooo, tuta comment hapa hapaYaani dogo namuonea huruma anaenda kunyooshwa vibay mda utaongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie yetu machooo, tuta comment hapa hapaYaani dogo namuonea huruma anaenda kunyooshwa vibay mda utaongea
Kwani huyo mama yeye alikuwa anatengeneza mazingira ya upendoHapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
Hahahah sababu tuko JF nakubali ila 300,000 kwa mwezi ni kubwaBasi hohehae [emoji2960]
Mimi sishabikii tu bali huwa nainjoy watu wanaojifanya ni untouchable wakinyooshwa.Hehehehe mbona Putin, unashabikia vitu vya kijinga kweli hadi Putin [emoji2296]
Na ukizingatia Future is FemaleMkuu we cheka tu huyo kiumbe hajui kisasi cha Mwanamke[emoji51][emoji16][emoji16][emoji16]
E1 tutamtoaNa ukizingatia Future is Female
Hongera mwaya, usikasirike Don the Don HIMARSHahahah sababu tuko JF nakubali ila 300,000 kwa mwezi ni kubwa
Baada ya Mchezaji maarufu wa PSG ya ufaransa Ashraf Hakim kushinda kesi dhidi ya madai ya mkewe kuomba mahakama agawiwe nusu ya mali za Mumewe na kushinda baada ya mahakama kuchukunguza na kukuta hamiliki mali zozote kutokana na mali zote zimewekwa kwa jina la Mama yake.Ashraf hakim amekuja kivingine ameiyomba mahakama imgaie nusu ya mali anazomiliki mkewe.
We waache wakaze fuvu hapa JF ila kitakacho mkuta huyo dogo ni aibu😬Na ukizingatia Future is Female
Na mwanamke kutanguliza tamaa mbele huo ni nini ??Mwanaume kushindana na Mwanamke huo ni Ujinga,
Mwanaume kushindana na Mwanamke uliyefunga nae ndoa na kuzaa nae watoto huo ni Uboya.
Mimi ndo a.k.a yangu iyo sultan mackJoe Hakimi.Tuko nyuma ya Hakimi jamani 🤣🤣🤣
Mkikutana na akili kubwa lazima mpasuke kichwa,Mtamuua dada wa watu aisee
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sishabikii tu bali huwa nainjoy watu wanaojifanya ni untouchable wakinyooshwa.
Huo ni Uanamke [emoji847]Na mwanamke kutanguliza tamaa mbele huo ni nini ??
Atauziwaje na ubahili huo...atanunua tu.. mbona nyingi zina uzaaa 😅😅
Kwanini asipate sio wanawanawake wote ni matapeli nadhani Mwamba limemrahisishia kupata mwanamke ambaye atakupata mapenzi ya dhati ya MwambaHuyo bro Atapata wanawake kweli?
Toka jana bar nasema Hakimi tumpe umwenyekiti ila kuna wanaume wanajikuta feminists kusema jamaa anafanya mistake, wapuuzi kabisaA. Hakimi ni mwenyekiti wetu mpya wa wanaume duniani
😅😅😅 hawezi kosa hata ya Euro 5.. mama yake atampa .. ugwadu sio wa kufanyia masiharaAtauziwaje na ubahili huo...