Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Tupe na upande wa pili wa mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe na upande wa pili wa mwanamke
Anajishushia hadhi hajui tu..utoto unamsumbuq akikua ataacha..amuangalie tajiri Bilgert😅😅😅 hawezi kosa hata ya Euro 5.. mama yake atampa .. ugwadu sio wa kufanyia masihara
Bro acha roho mbaya. Naona umeufukunyua huu uzi.Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu, Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌...jichetue tuWembe ni ule ule, nataka pasu kwa pasu! Hakuna kucheka na kima round hii!
Una utoto kumbe na weweNahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu, Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na mapenzi ya jinsi moja, nilipata shauri mbali mbali wengi walinambia niende kanisani na wengine walinambia...www.jamiiforums.com
Za bei ya chini tamu sana kuliko za bei juu.. za bei ya chini huwa ni pure kuku wa kienyeji... kwenye hayo mambo hakuna hadhi.. kinachomata kufurahishwa tuuAnajishushia hadhi hajui tu..utoto unamsumbuq akikua ataacha..amuangalie tajiri Bilgert
Kishamba hicho kidemu nacho ni kidangaji tuu, piga chini husikii harufu ya umalaya hapo kwake?Na mwanamke kushindana na mwanaume ni ujanja na akili?
Sawa mkuu.Za bei ya chini tamu sana kuliko za bei juu.. za bei ya chini huwa ni pure kuku wa kienyeji... kwenye hayo mambo hakuna hadhi.. kinachomata kufurahishwa tuu
Hahahah, safi sana, sheria ifuate mkondo wake, maana ni nusu kwa nusu
Mkomeeee mbwa nyie.., 🤣🤣🤣🤣Mtamuua dada wa watu aisee
Hapo kavaa akili ya utoto.
Akumbuke kuna child support atakayotakiwa kumpa huyo mama na ni hatari kutengeneza mazingira ya chuki au uadui na mama wa watoto wako
Mwamba kaisha sanua ulimwengu wote... tunaishi na nyie kwa akili tu.. na hizo ndio akili zenyeweSawa mkuu.
Basi mmwambie aache utoto
Haha! Yeye ndio alianzisha sasa me namaliza...🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌...jichetue tu
Ujue huu mwezi mtukufu...unachuma dhambiHaha! Yeye ndio alianzisha sasa me namaliza...
Hapo wanawake hawajaamua kutumia akili zote...sijui ingekuajeMwamba kaisha sanua ulimwengu wote... tunaishi na nyie kwa akili tu.. na hizo ndio akili zenyewe
Ndio maana ya 50/50 kwanin hua hamtaki mali zenu zigawanwe hao watoto watalelewa nabibi yao bib hakimAsitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto
Kwanza hako kamama nikazee yan kijana wawatu kamfundisha mapenz akiwa na 19 yeye ana 34Tukirudi nyuma kwann huyo Hiba ali file a divorce? Huyo Achraf amemcheat mara ngapi? Kama hiyo haitoshi bado ana kesi ya ubakaji, hayo hamsemi mnayafutika
Nitaomba toba.. usijaliUjue huu mwezi mtukufu...unachuma dhambi
Sio yeye ni dunia inataka 50/50Asitafute sifa na yeye, huyo Dada si wamezaa tena Watoto wawili, anashindwa nini kulet go na kuangalia malezi ya watoto