Sakata linaloendelea ndani ya Simba SC liko hivi...

Sakata linaloendelea ndani ya Simba SC liko hivi...

Sasa kama unasema mpasuko umewekwa siri kwa manufaa ya klabu wewe unayeyaleta huku kwa hiyo hutaki hayo manufaa ya klabu?

Kuwekwa Siri ni miongoni kwa board member.

Wachache ni waaminifu.

Ila walio wengi mule mule ndani ni waropokaji haswa pale matumbo yao yakiwa yamejaa Castle Light.
 
Mbona umeelezea machache sana...pia barbra anatoa siri kwa injinia wa yanga...Chama hajalipwa milions 300 alizojikomboa nazo Berkane hadi sasa kasusa kuna siku alienda ofisini kwa Mo akafanya fujo..team inadaiwa na wachezaji hakuna amani kabisa ....yaani Bagalile kigwangwala ndiye kaingia kuokoa jahazi kwa sasa ndiye mfadhili wa team kuanzia leo
 
Kigwa ana hela gani? Kiuhalisia babra anafaa sana hapo Simba leo na hata kesho.

Mimi na wewe tunaliona hilo.

Ila kwa ground mambo yako [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Wana wanapigania mirija ya kunyonya pesa ili walishe familia zao.
 
Kuwekwa Siri ni miongoni kwa board member.

Wachache ni waaminifu.

Ila walio wengi mule mule ndani ni waropokaji haswa pale matumbo yao yakiwa yamejaa Castle Light.
Yaani hawakuamini? achana nao mashabiki maandazi hao..team isiposhuka daraja msimuu huu itakuwa maaajabu.. umeona wenzao yanga walivyosajili majembe ya nguvu tena kwa kuvunja benki siyo free transfers? utalinganisha na ushuzi waliosajili simba?
 
Mbona umeelezea machache sana...pia barabra anatoa siri kwa injinia wa yanga...Cham ahajalipwa milions 300 alizojikomboa nazo Berkane hadi sasa kasusa kuna siku alienda ofisini kwa Mo akafanya fujo..team inadaiwa na wachezaji hakuna amani kabisa ....yaani Bagalile kigwangwala ndiye kaingia kuokoa jahazi kwa sasa ndiye mfadhili wa team kuanzia leo
Story za vijiweni[emoji23]
 
Mbona umeelezea machache sana...pia barabra anatoa siri kwa injinia wa yanga...Cham ahajalipwa milions 300 alizojikomboa nazo Berkane hadi sasa kasusa kuna siku alienda ofisini kwa Mo akafanya fujo..team inadaiwa na wachezaji hakuna amani kabisa ....yaani Bagalile kigwangwala ndiye kaingia kuokoa jahazi kwa sasa ndiye mfadhili wa team kuanzia leo

Nisiseme uongo haya unayotamka sina taarifa nayo.

Nipe muda kuwezakuyafuatilia nitakupa mrejesho kamili mkuu.
 
Wakijiweka mbele kwenye mambo ya Simba sc mnasema matajiri hawatakiwi kushinda mitandaoni, haya sasahivi wamekaa kimya mnaanza kuulizana tena.

Kinachowasumbua wengi wenu ni ukapuku na ugumu wa maisha mnayopitia huko mitaani kwenu.

Kwani kushinda mitandaoni ndio kuweka mbele maslahi ya klabu?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Kwamba kuna mgogoro Simba hilo halina ubishi. Lakini wakijidanganya kumwamini Kigwangala watakuwa wameuza timu. Yule ni tapeli anayetaka kuitumia Simba kujijenga kisiasa. Kwenye Siasa kwenyewe alibebwa tu na ugomvi wa Lowasa na Kikwete ambaye alitaka kumkomoa Bashe asiwe mbunge baada ya kumshinda Seleli kwenye kura za maoni kwa vile Bashe alikuwa Chawa wa Lowasa.
 
Tena umempatia haswaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana lolote mambo ya soka hayawezi, yeye abakie kuwazungumzia konde na kajala.

Konde

Kajala

Ndio wakina nani?
 
Mbona umeelezea machache sana...pia barbra anatoa siri kwa injinia wa yanga...Chama hajalipwa milions 300 alizojikomboa nazo Berkane hadi sasa kasusa kuna siku alienda ofisini kwa Mo akafanya fujo..team inadaiwa na wachezaji hakuna amani kabisa ....yaani Bagalile kigwangwala ndiye kaingia kuokoa jahazi kwa sasa ndiye mfadhili wa team kuanzia leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kigwa yupi? Huyu wa mkopo wa mapiki piki? Ndo anawatuma mumzungumzie huku? Poleeeeeni.

Utopoloo mnawashwaa na nn? Muwe buzzy na team yenu.
 
Kwamba kuna mgogoro Simba hilo halina ubishi. Lakini wakijidanganya kumwamini Kigwangala watakuwa wameuza timu. Yule ni tapeli anayetaka kuitumia Simba kujijenga kisiasa. Kwenye Siasa kwenyewe alibebwa tu na ugomvi wa Lowasa na Kikwete ambaye alitaka kumkomoa Bashe asiwe mbunge baada ya kumshinda Seleli kwenye kura za maoni kwa vile Bashe alikuwa Chawa wa Lowasa.

Timu “Try Again” wako desparate sana.
 
Yaani hawakuamini? achana nao mashabiki maandazi hao..team isiposhuka daraja msimuu huu itakuwa maaajabu.. umeona wenzao yanga walivyosajili majembe ya nguvu tena kwa kuvunja benki siyo free transfers? utalinganisha na ushuzi waliosajili simba?
Kumbe wee ni mweupee hivi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huoni aibu? Mchezaji yupi mliyemnunua? Km sio free agent,

Tena wengine waliofukuzwa na team yao, wengine walisha staafu na kuwa wakala wa mikate. Ndo Hersi akaona aje azugie kwa kampeni. Weraaaaaaaaaah.

Khaaaaaaah
 
Unawashwa sana na mambo ya Simba,,kama kweli Kuna migogoro Simba basi we kama utopolo ndo inabidi ufurahie sasa sio ujifanye unaishauri klabu bora kabisaa Tanzania
Aina ya ushabiki wa Tanzania ndo huu
Maana yake hata wewe ukiona Yanga wanashida unafurahi .. bila kujua kuwa Simba imara na Yanga imara ndo maendeleo ya soka Tanzania
Kweli naamini ushabiki wa mpira Tanzania uswahili mwingi sana
 
Hilo kundi wanaojiita wenye Simba huko Yanga hakuna kundi kama hili?
 
Back
Top Bottom