denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Mo ndie alitoa pesa za usajili ndani ya Simba SC kabla hajasafiri kwenda Sudan wakati ule, kama unabisha, basi tuambie pesa za usajili Simba this time zimetoka wapi utupe na ushahidi.
Huu utoto wenu wa kujidai mna vyanzo vyenu ndani ya Simba SC sijui mtauacha lini.
Huu utoto wenu wa kujidai mna vyanzo vyenu ndani ya Simba SC sijui mtauacha lini.