Sakata linaloendelea ndani ya Simba SC liko hivi...

Sakata linaloendelea ndani ya Simba SC liko hivi...

Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya klabu ya watani zangu, ila kwa bahati mbaya wengi hawafahamu kwa sababu mpasuko huo umewekwa siri kwa manufaa ya klabu.

Chanzo kimeanzia kwa Barbra Gonzalenz.

Namna ha uendeshwaji wa klabu wa huyu binti unawakwanza sana wenye simba yao. Yes namaanisha wenye simba yao, yaani lile kundi maalumu ambalo hunufaika pakubwa sana na klabu kifedha.

Kundi hilo hawataki kabisa kumuona huyu binti akifanya maamuzi makuu kuanzia msimu ujao.

Wanataka wao ndio waishikilie shoo nzima ya uendeshaji wa klabu. Mo amekwisha poke mapendekezo kutoka kwa kundi hilo. Mapendekezo hayo yamemkwaza sana Mo kiasi kwamba amefanya kama kuipotezea klabu kwenye gharama za usajili za msimu huu. Si mnajua mambo ya Mo ya kususa susa!

Lile kundi bhana ndio wakujita “ marafiki wa simba”.

Hawa jamaa ndio waliotaka kufanya madam ajiuzulu kipindi kile alichotaka kuitisha press. Ni hekima tu ya mmoja wao bwana jaribu tena kumrudisha ili waje kumuondoa kiujanja janja hapo baadae.

Hili kundi linafahamu kuwa boss kawasusia majukumu na anataka kubembelezwa na aombwe msamaha. Marafiki wamegoma kumlamba nyayo muhindi.

Wakaona wajiongeze kusaini mkataba wa M-BET mapema ili kupata pesa za kuendesha klabu lengo kumuonyesha Mo kuwa hata akisusa basi linaweza safiri kwa umbali mrefu.

Jamaa hao hao wakaona wampigie simu adui mkuu wa boss bwana Kigwanomics ili aongeze nguvu kiuchumi kama ikiwezekana. Kigwa akakubari baada ya kupewa simulizi nzima ya kinacho endelea.

Kigwa hatogharamia usajili wa wachezaji ila sasa atakuwa beneti na “marafiki wa simba” ili kulisukuma basi.

Nitakuwa nikitoa update ya kinacho endelea. Stay tuned.

“WATANI ZANGU JIANDAENI, LESO HAZITOTOSHA BALI TAULO LITAFAA KUFUTA MACHOZI.
Usiwe unatoa udhaifu wa wale watu hadharani hivi, fukuto liiloko kule usifikri atulijui, tunalijua sana tu lakini tunataka kuwagegeda back to back kimya kimya siku wakija kushtuka makombe tutakuwa tushajimilikisha, shida yenu na nyie amnaga koromeo la kutunza siri sijapenda hiki kitu
 
huna kili au hujamsikia kingwa kaongea nini ..afu kuhusu huo mkataba mbona toka mwakajana tunalijua sisi wanasimba unaongea uharo tu

Kigwanomics hawezi ongea yote ila mkanda mzima amekwisha pewa.
 
Muhuni Mama yako, wewe mwenyewe umeshindikana kwa mmeo.

Usikute umesuka dreds na umevaa kajinzi kafupi na miguu imejaa vumbi kama umetoka kucheza singeli halafu unataka kubishana nami Babu yako kwa hoja.
 
Usiwe unatoa udhaifu wa wale watu hadharani hivi, fukuto liiloko kule usifikri atulijui, tunalijua sana tu lakini tunataka kuwagegeda back to back kimya kimya siku wakija kushtuka makombe tutakuwa tushajimilikisha, shida yenu na nyie amnaga koromeo la kutunza siri sijapenda hiki kitu

Hapana kwakweli.

Watani wana haki ya kujua kinachoendelea klabuni
 
Nafahamu.

Kambi wameipeleka Misri kwasababu kocha ametaka timu iende nchi yenye hali ya hewa ya joto.

Next year ndio wanaweza kuipeleka timu Marekani, DC United wameshaongea na Simba SC kuhusu hilo, na hao DC United watahusika kuwatafutia Simba SC mechi za kirafiki toka kwa timu nyingine za ligi kuu ya Marekani.

Una swali jingine uto?
Misri hakuna joto mzee acha fix.
Uongo kama huu ni dhahiri wa shahiri kuwa wewe ni PIMBI. Kama angetaka sehemu yenye joto angeenda MALI au GAMBIA au SENEGAL au hata GHANA huko.

Misri kuna baridi sio la kitoto. Kawadanganye Mambugila wenzako.
 
Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya klabu ya watani zangu, ila kwa bahati mbaya wengi hawafahamu kwa sababu mpasuko huo umewekwa siri kwa manufaa ya klabu.

Chanzo kimeanzia kwa Barbra Gonzalenz.

Namna ha uendeshwaji wa klabu wa huyu binti unawakwanza sana wenye simba yao. Yes namaanisha wenye simba yao, yaani lile kundi maalumu ambalo hunufaika pakubwa sana na klabu kifedha.

Kundi hilo hawataki kabisa kumuona huyu binti akifanya maamuzi makuu kuanzia msimu ujao.

Wanataka wao ndio waishikilie shoo nzima ya uendeshaji wa klabu. Mo amekwisha poke mapendekezo kutoka kwa kundi hilo. Mapendekezo hayo yamemkwaza sana Mo kiasi kwamba amefanya kama kuipotezea klabu kwenye gharama za usajili za msimu huu. Si mnajua mambo ya Mo ya kususa susa!

Lile kundi bhana ndio wakujita “ marafiki wa simba”.

Hawa jamaa ndio waliotaka kufanya madam ajiuzulu kipindi kile alichotaka kuitisha press. Ni hekima tu ya mmoja wao bwana jaribu tena kumrudisha ili waje kumuondoa kiujanja janja hapo baadae.

Hili kundi linafahamu kuwa boss kawasusia majukumu na anataka kubembelezwa na aombwe msamaha. Marafiki wamegoma kumlamba nyayo muhindi.

Wakaona wajiongeze kusaini mkataba wa M-BET mapema ili kupata pesa za kuendesha klabu lengo kumuonyesha Mo kuwa hata akisusa basi linaweza safiri kwa umbali mrefu.

Jamaa hao hao wakaona wampigie simu adui mkuu wa boss bwana Kigwanomics ili aongeze nguvu kiuchumi kama ikiwezekana. Kigwa akakubari baada ya kupewa simulizi nzima ya kinacho endelea.

Kigwa hatogharamia usajili wa wachezaji ila sasa atakuwa beneti na “marafiki wa simba” ili kulisukuma basi.

Nitakuwa nikitoa update ya kinacho endelea. Stay tuned.

“WATANI ZANGU JIANDAENI, LESO HAZITOTOSHA BALI TAULO LITAFAA KUFUTA MACHOZI.
MAKOLO na Kitu kizito...
 
Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya klabu ya watani zangu, ila kwa bahati mbaya wengi hawafahamu kwa sababu mpasuko huo umewekwa siri kwa manufaa ya klabu.

Chanzo kimeanzia kwa Barbra Gonzalenz.

Namna ha uendeshwaji wa klabu wa huyu binti unawakwanza sana wenye simba yao. Yes namaanisha wenye simba yao, yaani lile kundi maalumu ambalo hunufaika pakubwa sana na klabu kifedha.

Kundi hilo hawataki kabisa kumuona huyu binti akifanya maamuzi makuu kuanzia msimu ujao.

Wanataka wao ndio waishikilie shoo nzima ya uendeshaji wa klabu. Mo amekwisha poke mapendekezo kutoka kwa kundi hilo. Mapendekezo hayo yamemkwaza sana Mo kiasi kwamba amefanya kama kuipotezea klabu kwenye gharama za usajili za msimu huu. Si mnajua mambo ya Mo ya kususa susa!

Lile kundi bhana ndio wakujita “ marafiki wa simba”.

Hawa jamaa ndio waliotaka kufanya madam ajiuzulu kipindi kile alichotaka kuitisha press. Ni hekima tu ya mmoja wao bwana jaribu tena kumrudisha ili waje kumuondoa kiujanja janja hapo baadae.

Hili kundi linafahamu kuwa boss kawasusia majukumu na anataka kubembelezwa na aombwe msamaha. Marafiki wamegoma kumlamba nyayo muhindi.

Wakaona wajiongeze kusaini mkataba wa M-BET mapema ili kupata pesa za kuendesha klabu lengo kumuonyesha Mo kuwa hata akisusa basi linaweza safiri kwa umbali mrefu.

Jamaa hao hao wakaona wampigie simu adui mkuu wa boss bwana Kigwanomics ili aongeze nguvu kiuchumi kama ikiwezekana. Kigwa akakubari baada ya kupewa simulizi nzima ya kinacho endelea.

Kigwa hatogharamia usajili wa wachezaji ila sasa atakuwa beneti na “marafiki wa simba” ili kulisukuma basi.

Nitakuwa nikitoa update ya kinacho endelea. Stay tuned.

“WATANI ZANGU JIANDAENI, LESO HAZITOTOSHA BALI TAULO LITAFAA KUFUTA MACHOZI.
Sasa si ndio mfurahi kama kuna huo mpasuko unaousema wewe.
 
Wakijiweka mbele kwenye mambo ya Simba sc mnasema matajiri hawatakiwi kushinda mitandaoni, haya sasahivi wamekaa kimya mnaanza kuulizana tena.

Kinachowasumbua wengi wenu ni ukapuku na ugumu wa maisha mnayopitia huko mitaani kwenu.
Naunga mkono hoja.
 
Sasa umesikia barbra ni wa 82? Yule ni wa 70 something.

Hivi huko shule mliendaga kujifunza Uchawi?

Barbra Gonzalenz amezaliwa February 18, 1990 (age 32 years)
 
Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya klabu ya watani zangu, ila kwa bahati mbaya wengi hawafahamu kwa sababu mpasuko huo umewekwa siri kwa manufaa ya klabu.

Chanzo kimeanzia kwa Barbra Gonzalenz.

Namna ha uendeshwaji wa klabu wa huyu binti unawakwanza sana wenye simba yao. Yes namaanisha wenye simba yao, yaani lile kundi maalumu ambalo hunufaika pakubwa sana na klabu kifedha.

Kundi hilo hawataki kabisa kumuona huyu binti akifanya maamuzi makuu kuanzia msimu ujao.

Wanataka wao ndio waishikilie shoo nzima ya uendeshaji wa klabu. Mo amekwisha poke mapendekezo kutoka kwa kundi hilo. Mapendekezo hayo yamemkwaza sana Mo kiasi kwamba amefanya kama kuipotezea klabu kwenye gharama za usajili za msimu huu. Si mnajua mambo ya Mo ya kususa susa!

Lile kundi bhana ndio wakujita “ marafiki wa simba”.

Hawa jamaa ndio waliotaka kufanya madam ajiuzulu kipindi kile alichotaka kuitisha press. Ni hekima tu ya mmoja wao bwana jaribu tena kumrudisha ili waje kumuondoa kiujanja janja hapo baadae.

Hili kundi linafahamu kuwa boss kawasusia majukumu na anataka kubembelezwa na aombwe msamaha. Marafiki wamegoma kumlamba nyayo muhindi.

Wakaona wajiongeze kusaini mkataba wa M-BET mapema ili kupata pesa za kuendesha klabu lengo kumuonyesha Mo kuwa hata akisusa basi linaweza safiri kwa umbali mrefu.

Jamaa hao hao wakaona wampigie simu adui mkuu wa boss bwana Kigwanomics ili aongeze nguvu kiuchumi kama ikiwezekana. Kigwa akakubari baada ya kupewa simulizi nzima ya kinacho endelea.

Kigwa hatogharamia usajili wa wachezaji ila sasa atakuwa beneti na “marafiki wa simba” ili kulisukuma basi.

Nitakuwa nikitoa update ya kinacho endelea. Stay tuned.

“WATANI ZANGU JIANDAENI, LESO HAZITOTOSHA BALI TAULO LITAFAA KUFUTA MACHOZI.
Utopwinyo bana timu haiendeshwi kwa maneno bali pesa ,hakuna wa kumvimbia mo pale
 
Nafahamu.

Kambi wameipeleka Misri kwasababu kocha ametaka timu iende nchi yenye hali ya hewa ya joto.

Next year ndio wanaweza kuipeleka timu Marekani, DC United wameshaongea na Simba SC kuhusu hilo, na hao DC United watahusika kuwatafutia Simba SC mechi za kirafiki toka kwa timu nyingine za ligi kuu ya Marekani.

Una swali jingine uto?

Kijana unaonekana wazi kipindi una soma ulikuwa Back Bencher.

Amekwambia nani temperature ya jimbo la Ismailiya iko sawa na most parts za Tanzania?

IMG_0630.jpg
 
Kuna watu hawataki kukubaliana na wakati na inkwell mna mambo yamebadilikia sana simba ya sasa siyo ya kila mtu kupayuka bila mashiko na wengi wanataka kujinufaisha kupitia simba kwa maslahi yao binafsi.wakiangalia matobo yote yanazibwa taratibu SIMBA TAIFA KUBWA.
 
Inaonekana baba yako aliwapata akiwa na miaka 35.

Nilizaa mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 18 mwaka 1982.

Huyu wa kwenye avatar ni wa tatu kuzaliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee sio bureee. Khaaaah
 
Back
Top Bottom