Sakata Mkataba wa Bandari: Wakili Mwabukusi asema asiyetaka kukosolewa aondoke kwenye ofisi za Umma

Sakata Mkataba wa Bandari: Wakili Mwabukusi asema asiyetaka kukosolewa aondoke kwenye ofisi za Umma

Machafuko au Mapinduzi? jaribu halafu ndio utajuwa CCM iko mpaka kwenye nyumba unayoishi hiyo hata kivuli chako CCM.
Hivyo ni vitisho vya kizamani. Ccm ingekuwa kote huko bandari ingeendeshwa bila ufanisi? Subiri utaona jambo hukuwahi kudhani. Endeleeni na mbio za ushirikina uitwao mwenge mkiamini bado utaendelea kumpumbaza watu.
 
Hivyo ni vitisho vya kizamani. Ccm ingekuwa kote huko bandari ingeendeshwa bila ufanisi. Subiri utaona jambo hukuwahi kudhani. Endeleeni na mbio za ushirikina uitwao mwenge mkiamini bado utaendelea kumpumbaza watu.
Wewe unachukulia maisha serious sana, tafuta pesa utasahahu shida zote maisha bongo matamu sana wewe tafuta tu utaishi kwa amani hata dawa za kuongeza nguvu za kiume hutaitaji, maisha murua..
 
Wewe unachukulia maisha serious sana, tafuta pesa utasahahu shida zote maisha bongo matamu sana wewe tafuta tu utaishi kwa amani hata dawa za kuongeza nguvu za kiume hutaitaji, maisha murua..
Ni kweli ww huchukulii maisha serious kwakuwa dada yako ni mke wa kiongozi, hivyo kila kitu unapewa. Ww ungekuwa mtafutaji usingeongea huu ukhanithi hapa jukwaani.
 
Ni kweli ww huchukulii maisha serious kwakuwa dada yako ni mke wa kiongozi, hivyo kila kitu unapewa. Ww ungekuwa mtafutaji usingeongea huu ukhanithi hapa jukwaani.
Kama na wewe una dada niambie kikuanganishie na wewe utakula maisha kama mimi.
 
Mimi sio boya wa hivyo kama ww, maana naweza kufight bila kutegemea hisani ya mtu yoyote.
Sasa wewe umeniambia dada yangu kaolewa na kiongozi nikajuwa labda unanionea wivu ndio maana nimesema unataka na wewe nikuunganishie dada yako, sasa kwani tusi hilo.
 
Vipolisi vyabongo bhana unakuta kimtu kilifel fom 4 eti kinamhoji mwanasheria,,,,Kwanini wasiruhusu siraha ziuzwe sokoni kama maembe afu waone wanaume tunavowakamia nakuwashona mbwa Hawa😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕
 
Sijaumia. Namshauri tu aende kitaaluma na aongeze uwezo wa kudhibiti hisia zake.

Awapo na hasira hatakiwi kuonyesha hasira yake kwa maneno yake. Ajifunze namna ya kutuliza hisia pale anapoongea hoja zake. Ajifunze kuondoa hisia kwenye hoja. Kama hoja ipo sawa haina sababu kuichanganya na hisia.

Hii itamsaidia yeye mwenyewe na wanaomzunguka kufanikisha malengo ya kuufuta mkataba huu haramu wa bandari.
🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕Chukua hili afu pita kushoto
 
Mzalendo ni nani? watu wakupingapinga ndio uzalendo au?ukiunga mkono unakuwa sio mzalendo.

Hakuna aliyepinga uwekezaji, kinachopingwa ni aina ya mkataba. Vifungu vilivyopo ndani ya mkataba, kwamba vikabadilishwa, basi hao jamaa zako dp world they are good to go.

Wapingaji wanapinga kwa facts, na nyie wajibuni kwa facts sio tu kuwaambia maneno bila msingi ya kuwa kutakuwepo na mazuri baadae ambayo hayajaandikwa kwny huo mkataba unaopingwq
 
Kwa nini rasilimali za Tanganyika ziwe za Jamhuri ya muungano wa Tanzania, na kwa upande wa pili Zanzibar rasilimali zao ni zao hazihusiani na muungano. Hapa ndipo kwenye tatizo kubwa na bila kurudishwa kwa Tanganyika huu muungano utaendelea kututesa. Ili kuondoa haya matatizo ni lazima serikali ya Tanganyika iwe na rais wake na mawaziri wake na bunge lake litakalokuwa linajitegemea na kuendesha / kuamua mambo ya Tanganyika kama ilivyo kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Haiwezekani mambo ya Tanganyika yaamuliwe na Serikali ya Muungano. Mambo ya Muungano lazima yajulikane na Tanganyika hana budi kulivua koti la muungano.
 
Sasa uuzwe wewe una thamani gani? Mbona mwenyekiti wenu Mbowe hakoselewi, ukimgusa tu na chama unafukuzwa. Eti kuuzwa nani atakununua wewe labda Burundi
Hoja za wakubwa mnuka maziwa ni vigumu kuzielewa.
 
Machafuko au Mapinduzi? jaribu halafu ndio utajuwa CCM iko mpaka kwenye nyumba unayoishi hiyo hata kivuli chako CCM.
CCM haina huo ukubwa unaojigamba nao hapa jukwaani. CCM ilishajifia muda mrefu sana na kilichobakia ni jina tu, kwa ushahidi ni uchaguzi zilizofanyika Zanzibar (2000 - 2020) zote CCM walishindwa na kwa kulazimisha kwao kutumia nguvu watu wengi waliuawa sana, bila kusahau uchaguzi wa wenyeviti wa mitaa 2019 na ubunge 2020 CCM walifanya dhuluma ya wazi kwa kupitisha watu wao bila kupingwa.. Kama wangekuwa ni wakubwa hivyo wasingetumia vyombo vya ulinzi na tume waliounda wenyewe ili kuwasaidia kushinda.
 
Wewe kosoa hata masaa 24 ila kuwa na heshima kwa viongozi acha kebehi na dharau kwa viongozi wa nchi. Hakuna shida kukosoa lakini ukileta dharau na kebehi unatuma message gani kwa watu kwamba wadharau mamlaka? amani ya nchi muhimu kuliko maslahi ya chama au mtu binafsi ila kuambiana tuambiane hakuna shida, chungeni lugha za maudhi na dharau.
Kila mtanzania anakila sababu ya kumheshimu Raisi, lakini hakuna ulazima wa kumpenda!6
 
Nyinyi mshukuru sana Mungu alimchukua JPM mapema angewarudisha kwenye mapango mlikotoka. Mama katukosea sana na huruma zake. Ingepita operation moja kabambe ndio mngeshika adabu mbwa nyie.
Acha ujuha wewe!

Jpm katunga sheria ya kulinda maliasili zetu, huyu anapeleka mswada wa kuondoa kinga hizo za kisheria kwenye rasilimali zetu, unataka tuendelee kucheka cheka tu kama wehu?

Cheka cheka wewe unayelamba miguu ya watu ili ule
 
Back
Top Bottom