Sakho anajipendekeza kwa Sadio Mane

Sakho anajipendekeza kwa Sadio Mane

Kwahiyo sisi tufanyaje??

Umbea inautaka ila kifaransa kinakupiga chenga sasa Sakho atakuelewaje?
 
We mwanaumee suruali ulitaka ajipendekeze Kwa shiga Ako Manara Ili aoe oe wake wengi na kuacha eehh[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.

Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.

Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Roho mbaya inakusumbua!! nahisi utakufa sio muda baada kusikia karuka kuchezea klabu moja kubwa ulaya.. Sakho na Mane ni mtu na mtuwe katazame tuzo za CAF msimu uliopita..
 
Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.

Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.

Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Yani ni aibu...aibu..aibu kubwa.
 
Nimeona pale Mane anawafuasi milion 26..yaani wale waote wakiona ile video hatarii..Sakho na Simba vinazidi kupata milage..acha tu wachanganyikiwe...hizi wiki mbili hizi Simba imetajwa sana na kusomwa kwenye mitandao.
 
Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane.

Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane.

Sakho ni chawa wa Sadio Mane
Umemaliza?
 
Back
Top Bottom