Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kumbe kukutakia heri kwa Mh ERoni ni uchawi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uchawi umeanza lini?
Sawa baki na mkoloni wakoππππππ
Hapana, hapo hapo ukoloni ili nimcheke vizuri.
Sikusamehe kwakweli, umeniharibia.Kumbe kukutakia heri kwa Mh ERoni ni uchawi?
Nisamehe mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana, naomba unisamehe Atoto Mama...[emoji849]
Eti mkoloniππππSawa baki na mkoloni wakoπ
Acha uoga we koloπππNiwie radhi Kaka, si kujua Kaka. ππ€£
Asipokuelewa na hapa kesho mshikie bango juu juu kisha umtangaze Dar yooote asubuhi hadi jioni kuwa umemzimia yeye pekee Atoto Malkia wa nguvu ...[emoji142]Ukiona mwenye nyumba analipiwa kodi kwa nyumba hiyo hiyo.. Ujue mapenzi hayo ni hatari.
Mapenzi yamenizidia, waweza nipikia msosi na nikaulipia wakati na mahari nishatoa.
Mapenzi tu
Ukoloni=mkoloniEti mkoloniππππ
Hapana bhana, unakataje tamaa kirahisi hivyo Mkulungwa?Aaah.. Kumbe ni Mali ya ndugu yangu ERoni [emoji849]
Siku zote Ananipangia hana mtu, ananielewa kichizi, kumbe Mali ya ndugu yangu,
Naacha mara moja.
Ohooo...! Mi thimo...[emoji125][emoji1787]Ndugu,
Hii tabia imeanza lini kuingilia miji ya kaka zako?[emoji16]
Unamaanisha ameamua kumwaga mboga ili mkose wote au? [emoji3]Mzee mwenzangu wewe wa kunifanyia hivi kweli[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Basi kumbuka tu hata jema langu 1 tu nililokuomba urudishe picha ya profile lako ndilo linapendezea jina lako zuri la "Atoto" baada ya kubadilisha kisha uliirudisha hii badala ya ile nyingine Mama...[emoji1745][emoji134]Sikusamehe kwakweli, umeniharibia.
Swaum kaliiiSasa wana lunyasi wenzangu mbona tunakimbiwa
Kwanini mechi dhidi ya ruvu shooting haikuwa na umuhimu?Hata mimi siridhishwi POS kutopewa muda wa kucheza hata Phiri ndiyo alikuwa majeruhi amepona hadi mechi ya ruvu shooting ambayo haikuwa na umuhimu wwte kwetu kocha alishindwa kumpa Phiri nafasi kweli?
Lile TRAKO litakaa wapi pale..?Phiri ni bonge la mchezaji, Kama kweli Yanga wamchukue hakuna haja ya striker mwingine
Sasa si ujinga huu, kisa simba ufe kizembe, una watu kibao wanakutegemea, una IZ DED kisa boliFaida ni kubwa sana kimaisha kukubaliana na hali yoyote hata kama ni nyakati ngumu, fikiri ile mechi mliyofungwa na Azam FC, kuna Shabiki kindakindaki mmoja wa Makolokolo aligongwa na treni sababu ya stress za kuzomewa na Mashabiki toka kibanda umiza [emoji30][emoji26]
Aahh.. Kumbe adabu unayo Mrs. ERoniSasa mama mkwe naanzaje kumcheka?
Nimekufanyaje, we si ndio kila siku unasema unataka tuwe pamoja, tuwe tunasonga nguna we ukiwa umevaa jezi ya utopolo na kichupi, mie nikiwa nimevaa jezi ya FISTON mayele, kumbe mzee mwenzangu ni Mali ya mtu,Mzee mwenzangu wewe wa kunifanyia hivi kweliππππ
Kolo ni mjomba, na mjomba ni mama, shati unyonye kwa mama, nami Sina NIDO ndio maana nakupaga bolkoni unyonye.. ππ€£Makolo wamekuharibu kichwa walah!! Bora tu uhame.
Tangu lini unasikiliza umbea!!