makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Bora mumkose, we fikiri hapa mayele hapa phiri si balaa hiloUmeshatuchongea kwa Tajiri Mo sisi Utopolo, ndo basi tena tumeshamkosa Mosses Phiri daaah [emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mumkose, we fikiri hapa mayele hapa phiri si balaa hiloUmeshatuchongea kwa Tajiri Mo sisi Utopolo, ndo basi tena tumeshamkosa Mosses Phiri daaah [emoji849]
🤣🤣🤣🤣🤣 Walah nimecheka kwa nguvu!! Mzee mwenzangu umenishinda tabia.Simba sio baba yangu wala mama yangu, haiwezekani mie nikose kufinyiwa ndani kisa simba, tena huyu toy wa kariakoo, simba wapo serengeti huko.
Ni nitahama mzee mwenzangu. 😂🤣
Mtu kashakufa bado kuoza tu.Mara awasimange🤣🤣🤣🤣
Wataja niulia mtu walah!!
Kimyakimya kumoyo🤣🤣🤣Ila unateseka🤣🤣🤣
Hadi mimi Utopolo wako kipenzi cha roho yako Mtani? Ebu relax Mtoto mzuri tusije tukakukosa Wana Utopolo bhana [emoji3059][emoji39]Karibia nitaacha kushabikia mpira ...
Usiniulize kwanini
🤣🤣🤣🤣🤣 Walah nimecheka kwa nguvu!! Mzee mwenzangu umenishinda tabia.
Huyu mtu wako ukombozi wa kutolewa msimbazi umewadia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Walah nimecheka kwa nguvu!! Mzee mwenzangu umenishinda tabia.
Mambo cha urembo toka "The Blues" [emoji170] ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijakucheka kweli tena dear Kalpana..!!
😍😍😍😍😍😂🤣
Mzee mwenzangu nisikushinde tabia, tuzeeke, tufe tuzikane. 😍😍😍
Natamani atoke, ila nawaza nyumba itapooza. Sitakuwa na wa kumcheka🤣🤣🤣Huyu mtu wako ukombozi wa kutolewa msimbazi umewadia🤣🤣🤣
Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu iliyobaki kwangu, yote nakupenda wewe.😍😍😍😍😍
Utamcheka hata mama mkwe wako, shida si kucheka tu, ruksa Utamcheka mkweo 🤣Natamani atoke, ila nawaza nyumba itapooza. Sitakiwa na wa kumcheka🤣🤣🤣
Mwambie mwenye mali(Mumeo) "Eroni" nampa big up sana kukuweka bize 24/7 kifamilia hadi tunakumiss JF [emoji119][emoji4].Anza kuhama mzee mwenzangu, stress zitakuua huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787]Aaah!! Wasimnyanyapae babu yangu.
Pole sana Mzee Baba, duniani huwezi kufurahia mema kila siku kwani huzuni pia ni sehemu ya maisha [emoji2]Sifi mzee mwenzangu ila msimu huu cha moto nimeiona, hakuna rangi nmeacha kuona, mpaka HUDHURUNGI nimeiona. [emoji23][emoji1787]
Umeamua kunipanga eeeeh🤣🤣🤣Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu iliyobaki kwangu, yote nakupenda wewe.
Usiniambie Mtani kuwa nami ni miongoni mwao hao unaowapenda nikavimba kwa kujiona mwenye bahati kama wale chura wa msimu wa mvua [emoji848][emoji2960]Wengi tuu...hizi ni siri za kambi
Weeeh!! Mama mkwe ni kolo?Utamcheka hata mama mkwe wako, shida si kucheka tu, ruksa Utamcheka mkweo 🤣
Kabisa tu, ufurahi wewe kila siku, hiyo furaha umeiumba wewe..Pole sana Mzee Baba, duniani huwezi kufurahia mema kila siku kwani huzuni pia ni sehemu ya maisha [emoji2]