Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hiyo ndio mahari mzee mwenzangu🤣🤣🤣Mimi nikae utopolo.. Ova Mai ded bod🤣
Hamia huku kwenye raha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio mahari mzee mwenzangu🤣🤣🤣Mimi nikae utopolo.. Ova Mai ded bod🤣
Weee 😆 😆Mungu asaidie waondoke tu🤣🤣🤣
Muache ache kwanza angalau urithi ujae jae🤣🤣🤣Nitampepea usijali😅😅
Si ndio, ili uteseke vizuri🤣🤣🤣Weee 😆 😆
Kumbe unasubiria aongeze miradi ufyatue kamba atangulie?😂😂😂Muache ache kwanza angalau urithi ujae jae🤣🤣🤣
Sio mimi🤣🤣🤣Kumbe unasubiria aongeze miradi ufyatue kamba atangulie?😂😂😂
Aahh.. Kulaleki mbona kama unataka kuniokota kirahisi hivii.. Yaani mahari ni mimi kuhama utopoloni🤔🤔Hiyo ndio mahari mzee mwenzangu🤣🤣🤣
Hamia huku kwenye raha.
Ndio mzee mwenzangu🤣🤣🤣Aahh.. Kulaleki mbona kama unataka kuniokota kirahisi hivii.. Yaani mahari ni mimi kuhama utopoloni🤔🤔
😂🤣
Mdhamini mswahili swahili kama mzaramo😂😂😂Sio mimi🤣🤣🤣
Ni machaguo yake. Sasa kolo ni team ya kushabikia kweli!!!
Mimi ukisubiria niteseke utasubiri sana..huwezi kujua kama nateseka 😀Si ndio, ili uteseke vizuri🤣🤣🤣
Simba sio baba yangu wala mama yangu, haiwezekani mie nikose kufinyiwa ndani kisa simba, tena huyu toy wa kariakoo, simba wapo serengeti huko.Ndio mzee mwenzangu🤣🤣🤣
Hama upate mema ya nchi.
Mtesekaji hajifichi kwanza anapauka😂😂Mimi ukisubiria niteseke utasubiri sana..huwezi kujua kama nateseka 😀
Kibu Denis achunguzwe vizuri, inawezekanaje POS kukaa benchi mwenye goli zuri la CAFCCL la mwaka ilihali KD anajichezea tu vyovyote atakavyo Msimbazi?Hata mimi siridhishwi POS kutopewa muda wa kucheza hata Phiri ndiyo alikuwa majeruhi amepona hadi mechi ya ruvu shooting ambayo haikuwa na umuhimu wwte kwetu kocha alishindwa kumpa Phiri nafasi kweli?
Sasa mm hutanijua nikiwa nateseka nanenepa nang'aaaMyesekaji hajifichi kwanza anapauka😂😂
Kitu kidogo anafoka balaa🤣🤣
Umeshatuchongea kwa Tajiri Mo sisi Utopolo, ndo basi tena tumeshamkosa Mosses Phiri daaah [emoji849]
Mara awasimange🤣🤣🤣🤣Mdhamini mswahili swahili kama mzaramo😂😂😂
Mara atoe cheque fake
Haijulikani hata ya bank gani...makolo yanaishia kupiga makofi tu sijui yamelogwa😂😂😂
Ila unateseka🤣🤣🤣Mimi ukisubiria niteseke utasubiri sana..huwezi kujua kama nateseka 😀
Kumbuka alitoka kuwa Majeruhi si muda mrefu, ulitegemea afanye miujiza ipi nakati hata Ulaya huwa twaona jinsi inavyowagharimu Wachezaji muda flani kurudi katika kiwango chao kama awali?1. Phili ni mchezaji wa KAWAIDA sana.
ZORAN MARK NA ROBERTINHO MAKOCHA WOTE HAWAKUMUAMINI.
2. ALAFU Bahati Mbaya zaidi phili ni no 10.
Hiyo namba Ina watu kama
Sackho.
Chama.
Saido.
3. JARIBU kumuangalia Phili vizuri akiwa na mpira anaanguka sana, anapoteza mno, anapata majeraha mengi.
Mechi ya Simba na yanga 1.1 ndio nilipomchunguza phili vizuri. Alikuwa mbovu mno
UBORA WA PHILI.
Phili ni mzuri kwenye kufunga tu