Sala za Mbowe kwa Rais Magufuli

Sala za Mbowe kwa Rais Magufuli

Mkuu, nikumbushe lini upinzani mlimuunga mkono JPM.

Tambua Mama Samia alipoanza alikuwa na uungwaji mkono wote hadi alipokuja kuyakoroga.

JPM alipoanza na kuondosha polisi wala rushwa sehemu mbalimbali haswa traffic aliungwa mkono. Mengi mazuri yalifanyika kipindi cha Kangi Lugora na dhuluma za polisi hasa wa barabarani.

Mkuu JPM tusingeweza kumwunga mkono kwenye:

1. Misimamo yake na ugonjwa wa Corona
2. Kuiingilia mihimili mingine ya utawala
3. Kuendesha na kuratibu magenge ya watu wasiojulikana
4. Ubambikaji wa kesi kwa watu
5. Kutokuzingatia katiba yakiwamo kuzuia mikutano ya siasa
6. Wizi wa chaguzi hasa 2019/20
7. Ununuzi wa wapinzani kwa pesa za umma
8. Upelekaji wa miradi kwao kinyume cha katiba
9. Manunuzi ya madege kinyume cha katiba
10. Kujinasibu kwake hadharani kupeleka miradi kunako wabunge na wakilishi wa CCM tu
11. Kuuwa demokrasia nchini
12. Kujenga chuki baina ya watu kisiasa
13. Kuwa kina Sabaya na kina kondakta Kwamba walikuwa majembe
14. Kuzuia mabinti wanaopata ujauzito kutorudi shule
15. Kutokulipa wastaafu mafao yao kwa wakati
16. Kufilisi watu kwa kuwabambikizia madai ya kodi hewa
17. Nk nk.

Labda utuonyeshe wewe kuwa ulitegemea Tumwunge mkono kwenye lipi zaidi.
 
Tambua Mama Samia alipoanza alikuwa na uungwaji mkono wote hadi alipokuja kuyakoroga.

JPM alipoanza na kuondosha polisi wala rushwa sehemu mbalimbali haswa traffic alungwa mkono. Mengi mazuri yalifanyika kipindi cha Kangi Lugora na dhuluma za polisi hasa wa barabarani.

Mkuu JPM tusingeweza kumwunga mkono kwenye:

1. Misimamo yake na ugonjwa wa Corona
2. Kuiingilia mihimili mingine ya utawala
3. Kuendesha na kuratibu magenge ya watu wasiojulikana
4. Ubambikaji wa kesi kwa watu
5. Kutokuzingatia katiba yakiwamo kuzuia mikutano ya siasa
6. Wizi wa chaguzi hasa 2019/20
7. Ununuzi wa wapinzani kwa pesa za umma
8. Upelekaji wa miradi kwao kinyume cha katiba
9. Manunuzi ya madege kinyume cha katiba
10. Kujinasibu kwake hadharani kupeleka miradi kunako wabunge na wakilishi wa CCM tu
11. Kuuwa demokrasia nchini
12. Kujenga chuki baina ya watu kisiasa
13. Kuwa kina Sabaya na kina kondakta Kwamba walikuwa majembe
14. Kuzuia mabinti wanaopata ujauzito kutoridhika shule
15. Kutokulipa wastaafu madai
16. Kufilisi watu kwa kuwabambikizia madai ya kodi hewa
17. Nk nk.

Labda utuonyeshe wewe kuwa ulitegemea Tumwunge mkono kwenye lipi zaidi.
Handling ya Covid-19 ilikuwa sahihi bhana. Suala la kutowaruhusu wamama waliojifungua kurudi shule alikuwa sahihi pia. Hayo mengine ya katiba and all that ni mambo ya wanasiasa na power struggle.
 
Kabisa, hakukuwa na haja ya kupinga kila kitu just kwa kuwa ni wapinzani.
Hakukuwa na haja ya Lissu kufunguliwa msururu wa kesi na kuumizwa vile

Hakukuwa na sababu ya kuwa na C19 bungeni
 
Waaaapiiii! Mbowe is second to none when it comes to patriotism and issues concerning national importance.
Isijekuwa ^busu la kenge^ tu 🙂 Because wako kwenye harakati za kuisaka dola, so lazima lugha yake ifanane na wale wenye maslahi mema kwa taifa. Sumu inanyweka kirahisi ikichanganywa kwenye asali.
 
Isijekuwa ^busu la kenge^ tu 🙂 Because wako kwenye harakati za kuisaka dola, so lazima lugha yake ifanane na wale wenye maslahi mema kwa taifa. Sumu inanyweka kirahisi ikichanganywa kwenye asali.

Heri ya busu la kenge usiloweza kulithibitisha, kuliko ukatili wa wazi wa kuweka watu kwenye viroba.
 
Hakukuwa na haja ya Lissu kufunguliwa msururu wa kesi na kuumizwa vile

Hakukuwa na sababu ya kuwa na C19 bungeni
That was politicians' play on power struggle... Sidhani kama ilikuwa na effects sana kwetu kama nchi as long as Watanzania tulikuwa tunaletewa maendeleo.
 
Handling ya Covid-19 ilikuwa sahihi bhana. Suala la kutowaruhusu wamama waliojifungua kurudi shule alikuwa sahihi pia. Hayo mengine ya katiba and all that ni mambo ya wanasiasa na power struggle.

Covid ni suala mtambuka mno la kisayansi ambalo hakuwa na weledi nalo:

#COVID19 - Corona: Wasiochanjwa ni kichocheo kwa Virusi Hatari zaidi

Zingatia angalizo mle.

Leo tuko hapa tukiwa tumekwisha chelewa mno:



La watoto na shule nalo tukiwa tmechelewa pia:



Jiridhishe pia hatujawahi kupinga kila kitu:

Tumsaidie Rais Samia kuijenga nchi hii
 
Baada ya Magufuli mzalendo mwingine tuliebaki naye ni Mbowe

Mbowe hastahili kuitwa mzalendo hata kidogo

Huwezi kupewa heshima hii ikiwa unaendekeza hulka za kikabila

Katika moja ya ziara zake huko mikoa ya kanda ya Ziwa kabla hajakamatwa, Mbowe alisema ameshuhudia kwenye utawala wa Magufuli kabila lake (la Mbowe) wachaga wakiwa hawaajiriwi wala kupewa fursa za ajira Serikalini na taasisi zake kama ilivyokuwa zamani

Sasa kwa kauli ya namna hiyo kwa mtu ambae ni kiongozi wa kitaifa wa Chadema anatoa tafsiri kwamba yeye yuko pale kuangalia maslahi ya wachaga.
Kwamba yupo uongozini kuangalia watu wake wa nyumbani,,,, ni wachaga wangapi wameteuliwa, wameajiriwa, wangapi wametenguliwa, wangapi wamefanyiwa hivi au vile

Kwa nchi yenye makabila zaidi ya 100 inatia kinyaa kuona kiongozi wa kaliba ya Mbowe Kuzungumzia ishu ya ukabila tena kuangazia kabila lake la Wachaga,
je vipi kuhusu wahaya, wanyaturu, wakinga, wagogo, wanyakyusa, wandewe etc nao waanzishe chama Chao cha upinzani kufatilia maslahi ya kabila lao ktk teuzi na tenguzi Serikalini..!????

Na si ajabu kuona Chadema miaka nenda rudi imekuwa ikituhumiwa kujaa ukabila ktk nafasi zake za kiuongozi mpaka ktk teuzi zake za ubunge viti maalumu,,, kumbe anaekiongoza chama hiki ndio muasisi mkuu wa Ukabila ( rejea waraka wa Marehemu Chacha Wangwe kuhusiana na ukabila uliopo chadema)

Sasa mtu wa namna hii hafai si tu kuhodhi nafasi yoyote Serikalini bali hata kupewa sifa ya kuitwa eti MZALENDO
 
Mimi binafsi sijawahi ku doubt uzalendo wa ndugu huyu pamoja na kuwa ni upinzani, mara zote amekuwa composed na mwenye busara nyingi kwenye uongozi...Personal life yake siingizi hapa nasema yeye kama kiongozi...Sijawahi kuwa mnafiki naomba Mungu nisijekuwa hata siku moja

Huyu bwana ana uwezo mkubwa sana wa kuyawasilisha mawazo yake.

Ni watu wachache sana wenye karama hiyo.

Mola amfanyie wepesi Mh. Mbowe kokote kule aliko.
 
Back
Top Bottom