Sala za Mbowe kwa Rais Magufuli

Sala za Mbowe kwa Rais Magufuli

Viongozi wengi wa upinzani awamu ya tano wametumiwa sana na mabeberu.

Hawa nao walikuwa wanatumiwa na nani?

IMG_20210418_164416_802.jpg


IMG_20210325_152330_443.jpg


IMG_20211209_085633_344.jpg
 
That was politicians' play on power struggle... Sidhani kama ilikuwa na effects sana kwetu kama nchi as long as Watanzania tulikuwa tunaletewa maendeleo.
Maendeleo ya kweli na pamoja na uhuru wa watu.
 
Hapa Mh. Mbowe akiongoza sala. Hii ikiwa ni pamoja na kumwombea yote ya kheri Rais Magufuli katika utendaji wake:

View attachment 2037594

Hapa mwamba alikuwa katika ubora wake, kwa maana imeandikwa:

"Ombeaneni ninyi kwa ninyi."

Mbowe aliwaombea mema hata waliokuwa watesi wake. Uthibitisho wa wazi kuwa Mh. Mbowe si mtu wa visasi.

Eeh Mola wetu umlinde na kumfanyia wepesi mja wako huyu.

Nina uhakika Magu ndo alizuia mashtaka ya Huyu Mwamba
 
Magufuli alipishana na upinzani pale alipoona wanaoshirikiana na majizi yetu.
Magu alifahamu michezo yote hivyo yeyote alisisima katikat ya nia yake njema alichukua hatua stahiki.
Ila bado naamini Mbowe ananafasi ya kuliponya taifa maana hali ilivyo CCM waliona na nguvu kipindi hichi (Makamba&co) ni laana kwa taifa
Sawa

IMG-20211208-WA0089.jpg
 
Mbowe hastahili kuitwa mzalendo hata kidogo

Huwezi kupewa heshima hii ikiwa unaendekeza hulka za kikabila

Katika moja ya ziara zake huko mikoa ya kanda ya Ziwa kabla hajakamatwa, Mbowe alisema ameshuhudia kwenye utawala wa Magufuli kabila lake (la Mbowe) wachaga wakiwa hawaajiriwi wala kupewa fursa za ajira Serikalini na taasisi zake kama ilivyokuwa zamani

Sasa kwa kauli ya namna hiyo kwa mtu ambae ni kiongozi wa kitaifa wa Chadema anatoa tafsiri kwamba yeye yuko pale kuangalia maslahi ya wachaga.
Kwamba yupo uongozini kuangalia watu wake wa nyumbani,,,, ni wachaga wangapi wameteuliwa, wameajiriwa, wangapi wametenguliwa, wangapi wamefanyiwa hivi au vile

Kwa nchi yenye makabila zaidi ya 100 inatia kinyaa kuona kiongozi wa kaliba ya Mbowe Kuzungumzia ishu ya ukabila tena kuangazia kabila lake la Wachaga,
je vipi kuhusu wahaya, wanyaturu, wakinga, wagogo, wanyakyusa, wandewe etc nao waanzishe chama Chao cha upinzani kufatilia maslahi ya kabila lao ktk teuzi na tenguzi Serikalini..!????

Na si ajabu kuona Chadema miaka nenda rudi imekuwa ikituhumiwa kujaa ukabila ktk nafasi zake za kiuongozi mpaka ktk teuzi zake za ubunge viti maalumu,,, kumbe anaekiongoza chama hiki ndio muasisi mkuu wa Ukabila ( rejea waraka wa Marehemu Chacha Wangwe kuhusiana na ukabila uliopo chadema)

Sasa mtu wa namna hii hafai si tu kuhodhi nafasi yoyote Serikalini bali hata kupewa sifa ya kuitwa eti MZALENDO

Ila uzalendo ni kusokomeza watu kwenye viroba?

IMG_20211015_144814_546.jpg


Wako wapi akina Ben, Azory, Urio, Lijenje Malema? Nani walikuwa kwenye viroba?

Kwanini kina Lissu walilengwa kuuliwa?

Uzalendo ulikuwa kulea Makundi ya kina Sabaya na wasiojulikana?
 
Hapa Mh. Mbowe akiongoza sala. Hii ikiwa ni pamoja na kumwombea yote ya kheri Rais Magufuli katika utendaji wake:

View attachment 2037594

Hapa mwamba alikuwa katika ubora wake, kwa maana imeandikwa:

"Ombeaneni ninyi kwa ninyi."

Mbowe aliwaombea mema hata waliokuwa watesi wake. Uthibitisho wa wazi kuwa Mh. Mbowe si mtu wa visasi.

Eeh Mola wetu umlinde na kumfanyia wepesi mja wako huyu.
Alimtesa nani mkuu kila saaa watesi .hivi ingekuwa ndo jpm aliyemfungulia mashtaka mbowe leo hii si mngekuwa mmeshaaparuana naye sana huyu jpm .but nzuri kipenzi chenu ndo kimemwekeea nyuma ya nondo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tambua Mama Samia alipoanza alikuwa na uungwaji mkono wote hadi alipokuja kuyakoroga.

JPM alipoanza na kuondosha polisi wala rushwa sehemu mbalimbali haswa traffic aliungwa mkono. Mengi mazuri yalifanyika kipindi cha Kangi Lugora na dhuluma za polisi hasa wa barabarani.

Mkuu JPM tusingeweza kumwunga mkono kwenye:

1. Misimamo yake na ugonjwa wa Corona
2. Kuiingilia mihimili mingine ya utawala
3. Kuendesha na kuratibu magenge ya watu wasiojulikana
4. Ubambikaji wa kesi kwa watu
5. Kutokuzingatia katiba yakiwamo kuzuia mikutano ya siasa
6. Wizi wa chaguzi hasa 2019/20
7. Ununuzi wa wapinzani kwa pesa za umma
8. Upelekaji wa miradi kwao kinyume cha katiba
9. Manunuzi ya madege kinyume cha katiba
10. Kujinasibu kwake hadharani kupeleka miradi kunako wabunge na wakilishi wa CCM tu
11. Kuuwa demokrasia nchini
12. Kujenga chuki baina ya watu kisiasa
13. Kuwa kina Sabaya na kina kondakta Kwamba walikuwa majembe
14. Kuzuia mabinti wanaopata ujauzito kutorudi shule
15. Kutokulipa wastaafu mafao yao kwa wakati
16. Kufilisi watu kwa kuwabambikizia madai ya kodi hewa
17. Nk nk.

Labda utuonyeshe wewe kuwa ulitegemea Tumwunge mkono kwenye lipi zaidi.
Mbowe amebambikiwa kes na nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alimtesa nani mkuu kila saaa watesi .hivi ingekuwa ndo jpm aliyemfungulia mashtaka mbowe leo hii si mngekuwa mmeshaaparuana naye sana huyu jpm .but nzuri kipenzi chenu ndo kimemwekeea nyuma ya nondo

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu waliowatesa kina Adamoo, Ling'wenya, Mhina, Mdude, Ben, nk ni watesi wake kama walivyo watesi wetu.

Waratibu wa hayo wakiwamo vinara wao si ndiyo watesi wenyewe?

Au wewe huoni hivyo?
 
Mbowe amebambikiwa kes na nani

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukibambikiziwa kesi wewe ndiyo tumebambikiziwa sisi na ndiyo kubambikiziwa kesi Mbowe.

Nani asiyejua kuwa ya kubambikiziana kesi yalishika kasi kutokea awamu ya tano?

Hatuna simile na mpora haki yeyote iwe kupitia kubambukiza kesi au hukumu.
 
Viongozi wengi wa upinzani awamu ya tano wametumiwa sana na mabeberu.
Kama yupi? Mwanyika si mmempa ubunge ingawa ndio alitorosha makinikia? Tena JPM alimuita mzalendo!!

Ni hivi serikali huwa inaamua nani awe adui yake kulingana na maslahi. Lugola kuingia mikataba ya kifisadi na mabeberu hutoskia CCM inatumika na mabeberu ila Lissu akiingilia kukosoa huo mkataba ndio anaangushiwa lawama utadhani aliwahi sign makinikia yasafirishwe!!

JPM was overrated
 
Kama yupi? Mwanyika si mmempa ubunge ingawa ndio alitorosha makinikia? Tena JPM alimuita mzalendo!!

Ni hivi serikali huwa inaamua nani awe adui yake kulingana na maslahi. Lugola kuingia mikataba ya kifisadi na mabeberu hutoskia CCM inatumika na mabeberu ila Lissu akiingilia kukosoa huo mkataba ndio anaangushiwa lawama utadhani aliwahi sign makinikia yasafirishwe!!

JPM was overrated

Hadi tutakopokuwa na katiba mpya yenye kuwawajibisha watu, haitakuwa ajabu madwalimu kuwa eti ndiyo wazalendo na wazalendo wanaweza kuendelea kusemekana kutumika na mabeberu.
 
Mkuu, nikumbushe lini upinzani mlimuunga mkono JPM.
Mengi tu walikubaliana naye tena walipongeza bungeni.

Mfano Bulk Procurement ya mafuta
Kupunguza matumizi serikalini
Reserve ya benki kuu kuimarika
Kutenganisha wizara ya nishati na madini
Kuchukua hatua dhidi ya wahusika wa Tegeta Escrow
Kuondoa VAT kwenye pedi
Kuanzisha sovereign wealth fund n.k

Kapitie hansard za bungeni utaona mambo yote ambayo KUB alikua anaunga mkono sector by sector sio kelele za twitter au JF.

Kingine mfano Makinikia na ATCL waliunga mkono hatua zilozochukuliwa ila walipishana kwenye approach. Mfano wao walitaka lease option na walitaka sheria zibadilishwe/kujitoa multi lateral agreements n.k kabla ya kukamata makontena.

So hii propaganda ya pinga pinga nadhani inaonyesha hampendi kusoma official party documents mnasubiri comments za kigogo na Lema Twitter ndio mnafanya msimamo wa chama.
 
Magufuli alipishana na upinzani pale alipoona wanaoshirikiana na majizi yetu.
Magu alifahamu michezo yote hivyo yeyote alisisima katikat ya nia yake njema alichukua hatua stahiki.
Ila bado naamini Mbowe ananafasi ya kuliponya taifa maana hali ilivyo CCM waliona na nguvu kipindi hichi (Makamba&co) ni laana kwa taifa
1. Uchaguzi wa 2015 ulikua ni kma vita so hta kushinda Urais wengi wanaamini aliiba kura (Kama alivyokiri Mhe. Amani Karume). So hakutaka tena apitie ile changamoto, so alidhamiria kuwapoteza kabisa upinzani.

Kama issue ni CHADEMA kushirkiana na wezi mbona kina Lowassa na Rostam wamerudi CCM na hawakuitwa mafisadi tena? Mbona Nchambi na Lugola walikua na kesi za ufisadi na ujangili ila hawakufungwa?? Majizi ni wengi ongeza chenge na Mwanyika ila hao wote walipewa position bungei JPM akiwa kimyaaa!!

So sikweli alichukia upinzani sababu eti ya mafisadi bali kwa sababu ya kampeni ngumu za 2015 mfano alizomewa Mbeya na Dar!!
 
Back
Top Bottom