Sala za Mbowe kwa Rais Magufuli

Sala za Mbowe kwa Rais Magufuli

Mengi tu walikubaliana naye tena walipongeza bungeni.

Mfano Bulk Procurement ya mafuta
Kupunguza matumizi serikalini
Reserve ya benki kuu kuimarika
Kutenganisha wizara ya nishati na madini
Kuchukua hatua dhidi ya wahusika wa Tegeta Escrow
Kuondoa VAT kwenye pedi
Kuanzisha sovereign wealth fund n.k

Kapitie hansard za bungeni utaona mambo yote ambayo KUB alikua anaunga mkono sector by sector sio kelele za twitter au JF.

Kingine mfano Makinikia na ATCL waliunga mkono hatua zilozochukuliwa ila walipishana kwenye approach. Mfano wao walitaka lease option na walitaka sheria zibadilishwe/kujitoa multi lateral agreements n.k kabla ya kukamata makontena.

So hii propaganda ya pinga pinga nadhani inaonyesha hampendi kusoma official party documents mnasubiri comments za kigogo na Lema Twitter ndio mnafanya msimamo wa chama.

Akikujibu usiache kutuletea mrejesho
 
Si sahihi kudhani wapinzani wanapinga kila kitu. Fikra za kuwa wapinzani wanapinga kila kitu ni potofu.

Kuwapo kwa wasaa wa kubadilishana mawazo wa ana kwa ana kungeweza kusaidia kuondoa dhana potofu hizi.
Si wameitwa hapa juzi na Msajili wao "kubadilishana mawazo" na "Wamepinga"?
 
Ila uzalendo ni kusokomeza watu kwenye viroba?

View attachment 2037913

Wako wapi akina Ben, Azory, Urio, Lijenje Malema? Nani walikuwa kwenye viroba?

Kwanini kina Lissu walilengwa kuuliwa?

Uzalendo ulikuwa kulea Makundi ya kina Sabaya na wasiojulikana?

Ben na Azory walikuwa hatari kiasi gani ktk siasa za Tz mpaka uhisi Serikali waliwapoteza!???

Kwann kina Zitto, Mnyika, Mdee, Sugu etc waliokuwa wakimkosoa Magufuli WAZIWAZI wasishughulikiwe badala yake ashughulikiwe Ben asiye na lolote la maana ktk ulingo huu wa kisiasa nchini!?????

Mmemezeshwa na kukaririshwa ujinga tu bila kutumia hata common sense ktk arguments zenu

Vitengo vya kiuchunguzi vya Serikali vikiamua na na kuweka umakini zaidi basi Mbowe ana kesi ya kujibu kuanzia ishu ya skendo ya 'kumzima' Chacha Wangwe mpaka kwa Ben Saanane
 
Magufuli alipishana na upinzani pale alipoona wanaoshirikiana na majizi yetu.
Magu alifahamu michezo yote hivyo yeyote alisisima katikat ya nia yake njema alichukua hatua stahiki.
Ila bado naamini Mbowe ananafasi ya kuliponya taifa maana hali ilivyo CCM waliona na nguvu kipindi hichi (Makamba&co) ni laana kwa taifa
Naweza ona sense kwenye hii argument, lazima kuna mahala brother ana vuruga equation za watu...Hizi clicks na power struggle watanzania tusipokuwa makini zitatuharibia nchi...Niwaambieni tu lazima kuna loose end mahala na wala watu hawaioni lazima mtaanguka tu tena anguko baya nyote wenye nia mbaya na nchi yetu mpende au msipende tena siyo mbali na sasa.....Muda utaongea!
 
Ben na Azory walikuwa hatari kiasi gani ktk siasa za Tz mpaka uhisi Serikali waliwapoteza!???

Kwann kina Zitto, Mnyika, Mdee, Sugu etc waliokuwa wakimkosoa Magufuli WAZIWAZI wasishughulikiwe badala yake ashughulikiwe Ben asiye na lolote la maana ktk ulingo huu wa kisiasa nchini!?????

Mmemezeshwa na kukaririshwa ujinga tu bila kutumia hata common sense ktk arguments zenu

Vitengo vya kiuchunguzi vya Serikali vikiamua na na kuweka umakini zaidi basi Mbowe ana kesi ya kujibu kuanzia ishu ya skendo ya 'kumzima' Chacha Wangwe mpaka kwa Ben Saanane

Kwani kuna asiyewajua tena watu wasiojulikana?

Kwani hatukuwasikia kina Adamoo, Ling'wenya, Mhina au Mdude wakisimulia?

Hivi sasa tunawajua kwa majina, sura na hata nani alikuwa akiwatuma.

IMG_20211210_091620_397.jpg


Kwamba? - "Ben na Azory walikuwa hatari kiasi gani ktk siasa za Tz mpaka uhisi Serikali waliwapoteza!???"

Kwani Adamoo, Ling'wenya, Urio, Malema, Lijenje, au Mdude walikuwa hatari kiasi gani ktk siasa za Tz mpaka yeyote kupanga kuwapoteza!???

Kwani nani hata alipata kuyasikia majina yao kabla?

Yaliyowakuta wao bila ya shaka yaliwakuta pia kina Ben, Mawazo, Lissu, Azory, Mdude na hata wale wa kwenye viroba. Bila shaka hata washambulizi wao walikuwa ni wale wale.

Kwamba? - "Kwann si kina Zitto, Mnyika, Mdee, Sugu etc?"

Huu ndiyo utetezi madhubuti sasa wa kujinasua kwenye shutuma za kuwashambulia kina Ben, Azory, Adamoo, Ling'wenya, Urio, Malema, Lissu, Lijenje na tusiowajua kwenye viroba?

Hivi ni kwa kutuona je vile? Kwa hiyo tuseme sasa ndiyo mlikuwa kazi yenu mmeimaliza? Kwani kina Lijenje wako wapi?

Visingizio na vijimaelezo dhoofu kama hivyo hata Chatto na Makunduchi hawawezi kuvikubali!

Wangwe? Una maana Wangwe alinyamazishwa kama Kolimba, Sokoine, Kombe, Shaba, au Mwaikambo?

Kuna na ndege ikitokea Zanzibar kwenye kipindi cha uchaguzi 2020 nayo inasemwa semwa kwenye nyamazishana zenu hizi.

"Mmemezeshwa na kukaririshwa ujinga tu bila kutumia hata common sense ktk arguments zenu!"

Au wewe ndiyo sehemu ya ujinga au kuaminishwa kwenyewe?

Kumbuka hata ichukue muda gani tutarejea ku account kwa kila mmoja mliyempoteza au kumwua wakiwamo kina Lijenje na wale wa kwenye viroba.

Kwenye hilo wala hatutanii.

Habari ndiyo hiyo.
 
Si wameitwa hapa juzi na Msajili wao "kubadilishana mawazo" na "Wamepinga"?

Tofautisha miito ya kutafuta suluhu na ya kutafuta kuhalalisha dhuluma.

Kumbuka kukataa kutoa maelezo kwa Mbowe yalitegemewa kuhalalisha maelezo ya Ling'wenya na Adamoo.
 
Back
Top Bottom