Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hivi jamaa wa msoga anaweza vipi jihusisha na Hawa watu.

Hata kama kwa maslahi yake ila hao watu naona wamezidi kwa uchafu na madhambi ya Kila namna

Msoga king kwa umri wake uliofika alasiri anapaswa kujitenga na Hao jamaa kama kweli ana back up kwenye mbishe zao nyeusi.

Bado Sina uhakika ushiriki wake.
 
Kuna watu huwawez kwa hela, kwa uchawi na umafia mda mwingine inabid ukubali
 
Kuna watu huwawez kwa hela, kwa uchawi na umafia mda mwingine inabid ukubali
Yule kaka yao nae si alikuwa untouchable.

Wahuni wakapita nae kiaina ushawahi msikia hadharani.

Ukiwatesa sana watu watatafuta gepu wanapita na wewe kwa namna inayofaa iliyo ndani ya uwezo wao.

Labda uwe unayeyuka.

Otherwise ukikutana na wenye visasi walijisusa waliochoka mateso wanapita na wewe hivi hata uwe unalinda na mabaunsa au mitutu.

Tuache dhuluma hazifai. Na kudhuluma uhai wa watu na dignity zao.

Just wanakukodishia baunsa wale kinyeo chako[emoji1] halafu unakubali yaishe eti kisa huwawezi kudadeki ingekuwa Mimi natoka na roho ya mtu hakynani. Sikuachi kizembe.
 
Sio rahisi hivyo unafikiri wao hawajui kama wanawindwa kwa sababu ya matendo yao wanajua sana siwatetei ila sio rahisi
Mambo mengine unaachia nguvu za asili zitafanya kazi
 
😃😃😃😃😃😃
 
Huu uzi ndiyo utatoa tafsiri fasaha ya kwamba NGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE!.

Nasubiri hayo masaa 72 ili nishushe Nondo za ukweli.
Usiichukie sana ngozi nyeusi.

We mwenye ushashuhudia hizo mbishe nyeusi nyeusi kwa Ali mpemba bro wake Zahra/mayah.

Ili ngozi nyeupe ije kutuheshimu ni lazima tuende nayo perpendicular.

Tuache unyonge

Nimeona Jana tShisekedi kamkazia macron mbele ya waandishi wa Habari. Ndivyo inavyopaswa kuwa ukiona uhushimiwi uhitaji diplomasia.
 
NGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE

Huwezi nielewa hadi yakukute ndipo utanielewa,Hii ngozi ina laaana ya milele na kamwe siwezi kuikubali ngozi nyeusi japo kuwa mimi ni mweusi,weusi wanapaswa kufa duniani watoweke maana ni laana
 
Sio rahisi hivyo unafikiri wao hawajui kama wanawindwa kwa sababu ya matendo yao wanajua sana siwatetei ila sio rahisi
Mambo mengine unaachia nguvu za asili zitafanya kazi
Mi ikitokea mtu Akala kinyeo simwachii Mungu akyanani nakupitishia hukumu hapa hapa duniani. Iwe Leo au 2030 huko ila hukumu lazima uipate.

Kinyeo changu ni agano langu la uanaume wangu na urijali wangu niliopewa Mungu.

Hata Mungu atanielewa nafikiri.

Nakutanguliza huko huko nitakukuta[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…