Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Kama Yeye na Kaka yake Wanaingia Ikulu zako zote mbili ya Wazaramo na ya Wagogo kama Chooni ( Watakavyo ) sidhani kama kwa huu Mkwara Mbuzi wako utafanikiwa lolote.
 
Hao jamaa ni watu wa ovyo

Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee

Kuna kijana mbongo mwenzetu walimteka wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu

Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
Du aisee. Hawa jamaa ni makatili na kumbe watu wengi mnajua madudu yao?

Na hao mabaunsa na ujinga na tamaa ya pesa wakaenda kumfanyia mwafrika mwenzao ujinga.

Hawa watu hakika ipo siku wataikimbia Tanzania.
 
Said Alikua Mkorofi sana...akamwagiwa Tindikali mpaka leo ni kilema usoni....

Kashfa unayotaka kuleta inajulikana,kashfa ya kuwapa hela hapa unaichukulia china au dubai ni ishu ya kawaida sana..enzi ya Magu matajiri wengi waliitumia..yaani ipo hivi...uko dubai au china na unataka kuingiza hela bongo..unawapa hela china...saa hiyo hiyo unapewa bongo...

Wale ni wachafu na sasa hv wana nguvu kwasababu ya Mr. Born Town...
 
Kama Yeye na Kaka yake Wanaingia Ikulu zako zote mbili ya Wazaramo na ya Wagogo kama Chooni ( Watakavyo ) sidhani kama kwa huu Mkwara Mbuzi wako utafanikiwa lolote.
Najua hilo. Hata sitafanikiwa jambo ambalo natamani watu wajue ni michezo wanayoifanya pale kariakoo.

Uzuri wa JF taarifa haizikwi milele. Kuna siku watatokea watu wenye dhamira nzuri na watakuwa na pa kuanzia.
 
Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Mkuu mbona kama umepanic tangu mwanzo wa hii topic? Hatimae uzalendo umekushinda mpaka umejilipua.Tulia sisi wengine tunahesabu hayo masaa 72 tufunuliwe yale tusiyoyajua.
 
kila kitu kitakuwa wazi mkuu, usijali, itaenda kugusa mifumo yote ya ufanyaji kazi kariakoo, ndio maana unakuta mtu analipa kodi TRA kwa mwaka kiasi cha milioni tatu lakini ananunua jengo la Bilioni 8 kariakoo. na yote haya ni hii mifumo inayoendeshwa na hawa jamaa inawasadia na wafanyabiashara wengi wa kariakoo kukwepa kodi.

Acha wivu mzee kariakoo wamekukosea nini??
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
SIL3NT OCEAN msimlipe huyo kijana bana. Tunataka kuwafahamu kwa kina nyie na deals zenu.
 
Back
Top Bottom