Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

JPM aliwafanya Hawa Matajiri janjajanja, Kuishi kama Mashetani.

Ila sahizi Mashetani ndio waongoza Nchi, ni haki Yao kusema "Serikali hii haiwafanyi kitu'.

Wapo sahihi Mkuu, hakuna wa kuwafanyia kitu sasa
Yule mzee alikuwa fundi kweli kweli yaani alijua hii nchi kuna panya wanakula huko chini ila huku juu wananchi tunaona kuna usalama kumbe nothing.
 
Mkuu,mali za huyo Kijana zilitaifishwa kwa amri ya nani?
Nini kilipelekea mpaka mali za huyo Kijana zikataifishwa? naona hii issue ni kama umeiongelea upande mmoja tu,

Weka kila kitu clear hapa ili ueleweke zaidi.
hii coment nikiitafuta mkuu maan naona watu wanaanza kushambulia tu kwa chuki zao binafs hata hawajui A to Z na mleta mada nae kaandk kwa chuki tu hata mkasa hajauweka watu wachambue wajue namna ya kumshauri.
 
Hahahhaha Dada Victoire , Kuna jamaa yangu alitafuta Mganga kutoka Kigoma huko amroge GSM ili alipwe hela yake dola 300 yule Mganga akamwambia hawa wana majini ni ngumu sana kuwaroga we muombe Mungu kama ni haki yako watakulipa tu
Ndo maana nimesema hawa unawaroga kwa kutumia maombi, zaburi 35,Novena kwa mtakatifu Antony wa Padua kurudisha vilivyopotea, Novena kwa Mtakatifu Yuda Thadei. Kwa imani lazima watasurrender.
 
Ili uwe tajiri unatakiwa uwe kauzu, jasiri, roho ngumu kama sio mbaya yaani uwe kauzu kama sio katili

Matajiri wengi sanaa ni watu hatari sanaa yaani ni hatari sanaa hautakiwi kuwa lele Mama kama unataka utajiri mtu akakikuzingua mara moja mzingue mara 100 yaani lipiza kisasi kitakatifu

Na sio dhambi kuwa mkali katika mali yako

Tajiri kuingia peponi/kuuona ufalme wa mungu ni sawa sawa na ngamia kupita katika tundu la sindano

Utajiri ni umafia mkubwa sanaa ndio maana masikini wapo wengi sana duniani normal people 99.9% matajiri ni 0.1% hybrid - utajiri

Imeandikwa iwe ngumu ili wawe nayo wachache

Kuna kanuni nyingi sana za utajiri moja ni; mtu akikukanyaga bahati mbaya wewe mkate mguu Kwa maksudi yaani mtu akikujaribu kukupiga kibao na akikukosa wewe mkamate muue au mchinje hadharani so ukiweza ku-apply hizo kanuni wewe ni tajiri teari so ukidili na watu wenye kauwezo uwezo kuwa makini usije ukamtovuga bahati mbaya yeye akakutoa macho yote mawili kwa maksud

Be careful my friend

Asantum
 
wanalinga na kusumbua sababu wanaye Godfather anawalinda. umeonyesha mfano wa matajiri wa kiarabu ambao hutosikia mambo mengi mabaya wanaotendea watu, hawa ni wakatili tu, naamini kuna siku watarejeshwa kwao Yemen.
Hao jamaa ni watu wa ovyo

Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee

Kuna kijana mbongo mwenzetu walimkamata wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu

Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
 
Hahahahaa hilo ni suala la imani aisee , jambo kubwa kama kuna kitu unaweza ukakipweka na kuachana nacho bora ufanye hivyo tu
Ndo maana nimesema hawa unawaroga kwa kutumia maombi, zaburi 35,Novena kwa mtakatifu Antony wa Padua kurudisha vilivyopotea, Novena kwa Mtakatifu Yuda Thadei. Kwa imani lazima watasurrender.
 
Hao jamaa ni watu wa ovyo

Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee

Kuna kijana mbongo mwenzetu walimteka wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu

Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
Yaani walifanya ukatili hivyo kisa kutembea na binti wa kiarabu?!!!
 
Back
Top Bottom