Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Jamaa wana roho mbaya sana hao, Mimi nina habari zao kutoka kwa jamaa wawili ambao walishawahi kufanya kazi kwa huyu Mfadhili wa Yanga, Yaani huwa inasikitisha sana mmoja alikuwa ni Mwalimu alidhurumiwa hela ambayo ilikuwa ni dola 300 maana huyo jamaa alikuwa ni anawafundisha watoto wa Tajiri Tuition, Jamaa akatafuta Mganga awaroge ili alipwe hela yake yule Mganga akamwambia ukweli hawa Wana Majini sana hii kazi ni ngumu we Muombe Mungu ili ulipwe hela yako. Na Mwingine alikuwa ni Fundi Umeme kwenye Kiwanda cha Magodoro kule Mikocheni huyo jamaa alikatwa mkono kimiujiza huyo ndio aliniambia hiyo story ya Kaka Mtu aliyemwagiwa Tindikali nayo ni hivyo hivyo dhuluma. 😢 😢 😢 😢
uko sahihi kabisa ndugu, ukimuona Gharib mbele za watu unaona muislamu safi na mtu mwenye hofu ya Mungu. sasa ukitokea kupata watu waliokaa nao karibu ndio utajua hao jamaa ni mashetani, sasa angalia bilionea unamdhurumu Mwalimu Dola 300, na unajitamba mbele za watu wewe ni bilionea.

ukatili na roho mbaya kwao ni suala la kifamilia, ndio maana ukifuatilia story za huyo kaka mkubwa aliyomwagiwa tindikali alianza kuwafanyia watu ukatili toka miaka ya 2005, na uzuri humu JF story zake za huo ukatili zipo humu.
 
Kwa
ZUWENA si utulie ufike muda wa boss wako kunyolewa? naona sasa mmefika wawili. ila mwambieni yote yataanikwa hapa, na wengine wataanzia hapa kwenda mbele.
Kwa hiyo wote tunatakiwa kukuunga mkono,tofauti na hapo ni wafanyakazi wa salaah!!?..sisi watu wazima hatutaki umbeambea wa kike binti,Kama una ushahidi mawakili wapi nenda mahakamani,kuchukua wenye hela hakukusaaidii lolote
 
uko sahihi kabisa ndugu, ukimuona Gharib mbele za watu unaona muislamu safi na mtu mwenye hofu ya Mungu. sasa ukitokea kupata watu waliokaa nao karibu ndio utajua hao jamaa ni mashetani, sasa angalia bilionea unamdhurumu Mwalimu Dola 300, na unajitamba mbele za watu wewe ni bilionea.

ukatili na roho mbaya kwao ni suala la kifamilia, ndio maana ukifuatilia story za huyo kaka mkubwa aliyomwagiwa tindikali alianza kuwafanyia watu ukatili toka miaka ya 2005, na uzuri humu JF story zake za huo ukatili zipo humu.
Story ya Kaka yao naijua vizuri sana Mkuu.
 
Jamaa wana roho mbaya sana hao, Mimi nina habari zao kutoka kwa jamaa wawili ambao walishawahi kufanya kazi kwa huyu Mfadhili wa Yanga, Yaani huwa inasikitisha sana mmoja alikuwa ni Mwalimu alidhurumiwa hela ambayo ilikuwa ni dola 300 maana huyo jamaa alikuwa ni anawafundisha watoto wa Tajiri Tuition, Jamaa akatafuta Mganga awaroge ili alipwe hela yake yule Mganga akamwambia ukweli hawa Wana Majini sana hii kazi ni ngumu we Muombe Mungu ili ulipwe hela yako. Na Mwingine alikuwa ni Fundi Umeme kwenye Kiwanda cha Magodoro kule Mikocheni huyo jamaa alikatwa mkono kimiujiza huyo ndio aliniambia hiyo story ya Kaka Mtu aliyemwagiwa Tindikali nayo ni hivyo hivyo dhuluma. 😢 😢 😢 😢
Tindikali tuliambiwa alikula mke wa mtu,Leo mnasema dhulma
 
Story ya Kaka yao naijua vizuri sana Mkuu.
ingekuwa vyema uianzishie uzi, au uweke hapa hata kwa ufupi ili watu waijuie hii familia, ndio maana sasa GSM wanajifichia Yanga ili siku wakiguswa wapate watetezi, na Silent ocean wanajifichia Coastal Union siku wakiguswa basi mashabiki wanawatetea.
 
Babu ni hivi huyo Said alimdhulumu Mwarabu wa ARusha huko 100 M na huyo Mwarabu alijitahidi kwa kila namna kulipwa hiyo hela ilishindikana kwa sababu hao jamaa kipindi hicho awamu ya nne walikuwa wameikamata serikali kila sehemu mpaka Home Affairs na ndio huyo Mwarabu akasuka huo mpango wa Tindikali. Kwa mujibu wa huyo Jamaa aliyeniambia na sasa huyo Jamaa ni Marehemu na kilichomuua ni Msongo wa mawazo maana alikatwa Mkono na Mashine kwenye Kiwanda cha Magodoro ya GSM kule Mikocheni
Tindikali tuliambiwa alikula mke wa mtu,Leo mnasema dhulma
 
ingekuwa vyema uianzishie uzi, au uweke hapa hata kwa ufupi ili watu waijuie hii familia, ndio maana sasa GSM wanajifichia Yanga ili siku wakiguswa wapate watetezi, na Silent ocean wanajifichia Coastal Union siku wakiguswa basi mashabiki wanawatetea.

Mkuu hata sitaki hizi mambo aisee maana haya maneno Mimi nilikuwa naambiwa na hao watu ambao wamewahi kufanya kazi kwa hao jamaa
 
Babu ni hivi huyo Said alimdhulumu Mwarabu wa ARusha huko 100 M na huyo Mwarabu alijitahidi kwa kila namna kulipwa hiyo hela ilishindikana kwa sababu hao jamaa kipindi hicho awamu ya nne walikuwa wameikamata serikali kila sehemu mpaka Home Affairs na ndio huyo Mwarabu akasuka huo mpango wa Tindikali. Kwa mujibu wa huyo Jamaa aliyeniambia na sasa huyo Jamaa ni Marehemu na kilichomuua ni Msongo wa mawazo maana alikatwa Mkono na Mashine kwenye Kiwanda cha Magodoro ya GSM kule Mikocheni
alikatwa mikono kwa bahati mbaya au kilichopelekea akatwe mikono ni nani?
 
Back
Top Bottom