nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
- #61
ni sahihi, asante sana. kila kitu kiko wazi, uzuri kijana huyo sasa kachoka maana mwanzo alikubali jamaa achukue kila kitu kwa hofu ya kumuua, lakini alimwambia watapiga hesabu amrudishie ziada, toka june 14, 2022 jamaa hapokei simu, akienda ofisini anaambiwa jamaa yuko bize. sasa kasema hata kama ni kufa yuko tayari kufa, hivyo hakuna kitachofichwa hata jina lake litatajwa kuweka rekodi sawa, na kama wanasema wana uwezo wa kumuua basi wajue kwa sasa yuko tayari kwa lolote maana jamaa alichukua hadi mali za watu wengine na sasa ana madeni mengi sana na kuna watu wanamuwinda wamuue maana jamaa anawaambia alishachukua chake na kumrejeshea jamaa pesa zingine hivyo wakamdai yeye, kumbe hana kitu na hajapewa pesa zake.Mi nadhani tusiwe na haraka sana, masaa 72 ni siku 3 tu, mbona sio nyingi? Tuwe na subira