nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
- #41
sasa hivi hali ni mbaya sana. lakini sisi sote ni wanadamu. na tuna mwisho wetu, lakini pia yupo anayehukumu kwa Haki.Duuh, hii nchi ndio tumefika huku?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hivi hali ni mbaya sana. lakini sisi sote ni wanadamu. na tuna mwisho wetu, lakini pia yupo anayehukumu kwa Haki.Duuh, hii nchi ndio tumefika huku?!
naomba hili nilijibu baada ya masaa 72, uzuri mimi sio muhusika katika hizo dili.Bora usilipwe yuu maana wewe sio mzalendo na mpiga diki kama hao silent ocean. Yaani mmezungukana huko ndio unakuja kulia lia humu?
Kwa hiyo mkilipwa ndani ya hayo masaa 72 ndio utaacha waendelee kufanya uhuni wao, ila wasipokulipa ndio ilutawaanika?
Sasa ni hivi bora usilipwe tuu maana na wewe mpiga dili kana hao kuku wenzio. Nimekerekwa sana.
wanajiita waarabu wa Yemen. ila mmoja alishakula tindikali za uso hivi sasa hata akiletewa mrembo haoni uzuri wake, chezea wabongo wewe. ukilindwa na serikali watu wanakuvizia unless waendelee kuishi kama Panya.Waarabu hao
Mi nadhani tusiwe na haraka sana, masaa 72 ni siku 3 tu, mbona sio nyingi? Tuwe na subiraBora usilipwe yuu maana wewe sio mzalendo na mpiga diki kama hao silent ocean. Yaani mmezungukana huko ndio unakuja kulia lia humu?
Kwa hiyo mkilipwa ndani ya hayo masaa 72 ndio utaacha waendelee kufanya uhuni wao, ila wasipokulipa ndio ilutawaanika?
Sasa ni hivi bora usilipwe tuu maana na wewe mpiga dili kana hao kuku wenzio. Nimekerekwa sana.
Duhni sahihi, huyo kijana alienda kushitaki Central Polisi, maafisa wa polisi wakamuambia hata sisi tuna familia na tumepigiwa simu nyingi sana kuhusu hii kesi hivyo hatuwezi fungua mashitaka na kuharibu kazi zetu. wakamsihi tu aende kutafuta namna ya kumalizana nae wao hawana uwezo huo.
sasa hivi hata watu wa TRA ukiwaambia kuna mkwepa kodi wanakuambia achana na hayo mambo, kama kuna mtu kapewa makadirio makubwa tuambie tumsaidie apunguziwe, ndio maana kila siku mikopo maana zaidi ya tozo na kodi kwa wafanyakazi hawa wafanyabiashara wakubwa wengi hawalipi kodi.Kodi zenyewe hatujui zinavyofanya kazi , mikopo ndo inafanya kazi ,Acha tule nao Tu hawa jamaa Kwanza wanatuweka mjini watu kibao , ukikomalia Kodi basi tuone inafanya nn kama Mzee Magu alivyofanya
Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
kwa kweli wanatamba sana, ila wakumbuke kila lenye mwanzo lina mwisho.Hawa jamaa sahvi wanatamba
Wao tu
Ova
Duhalikwenda Polisi wakakataa kumfungulia kesi, walisema wamepigiwa simu nyingi walipompa wito wa kuitwa Polisi hivyo wanalinda kazi zao. na kwa dharau jamaa wala hakuitikia wito wa kwenda Polisi.
anatafuta riziki huyo, anajitoa ufahamu tu.Tulia basi mbona unakuwa kama boya fulani usiyejielewa? Humu JF madudu kibao yalikuwa yanafichuliwa mpaka Maxence Melo alishitakiwa na akawa analazamishwa atoe email za watumiaji wa JF. Wewe tulia acha kupiga kelele na huyu mleta uzi ameshasema huyo jamaa anatamba hii serikali wameikamata sasa huko Mahakami itapatikana haki gani? au haujui Serikali ina mihimili mitatu ambayo ni BUNGE, MAHAKAMA?
Kwa hiyo haki inapatikana wapi, kama kote huko anajua hawezi? kwa hiyo JF ndio inaweza kutoa haki? vitu vingine uwe unafikiria sio kujiaonglesha tu Mkuu. hao jamaa hatta kipindi cha magu aliwafuatilia sana ila jamaa walishindikana waliendelea kupiga tu.Tulia basi mbona unakuwa kama boya fulani usiyejielewa? Humu JF madudu kibao yalikuwa yanafichuliwa mpaka Maxence Melo alishitakiwa na akawa analazamishwa atoe email za watumiaji wa JF. Wewe tulia acha kupiga kelele na huyu mleta uzi ameshasema huyo jamaa anatamba hii serikali wameikamata sasa huko Mahakami itapatikana haki gani? au haujui Serikali ina mihimili mitatu ambayo ni BUNGE, MAHAKAMA?
Ana la maana basi,ni udaku tu kuja kuchafua watu hapaunaweza kwenda mahakamani moja kwa moja bila kupitia polisi tafuta mawakili wakusaidie
kwani kutafuta Riziki ni kosa la jinai?anatafuta riziki huyo, anajitoa ufahamu tu.