nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
- Thread starter
-
- #201
Mzee ji bleach uwe Michael Jackson wa bunjuNGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE
Huwezi nielewa hadi yakukute ndipo utanielewa,Hii ngozi ina laaana ya milele na kamwe siwezi kuikubali ngozi nyeusi japo kuwa mimi ni mweusi,weusi wanapaswa kufa duniani watoweke maana ni laana
Makatili sana.Yaani walifanya ukatili hivyo kisa kutembea na binti wa kiarabu?!!!
Ana utumwa fikrani mwake.Mkuu mbona kama umepanic tangu mwanzo wa hii topic? Hatimae uzalendo umekushinda mpaka umejilipua.Tulia sisi wengine tunahesabu hayo masaa 72 tufunuliwe yale tusiyoyajua.
Walivyoishi kipimbi ule utajiri wao ulikuja kwako?Sisi tunasubiria haya mauchafu .
JPM aliwafanya Hawa jamaa wakaishi kipimbi pimbi mnooo !!.
Ila 2025, sio mbali
Hata wao wamejizindika na majini ya kutosha..Si uwaroge tu.
Alipewa Ubalozi wakati aliishia kidato cha nne. Eti alipewa Ubalozi Guangzhou. Huyu JK hata hana aibu. Ndio maana kuna watu wanasema ni Mkongo. Hana uchungu na rasilimali za Tanzania kabisa.Huyu kipindi cha Msoga alipewa ubalozi kule china.
Shida akilipwa hataweka huo uozo hadharani sasa kuna maana gn?Mi nadhani tusiwe na haraka sana, masaa 72 ni siku 3 tu, mbona sio nyingi? Tuwe na subira
Anashiriki nao ndio maana wana jeuri kubwa sana hivi sasa.Hivi jamaa wa msoga anaweza vipi jihusisha na Hawa watu.
Hata kama kwa maslahi yake ila hao watu naona wamezidi kwa uchafu na madhambi ya Kila namna
Msoga king kwa umri wake uliofika alasiri anapaswa kujitenga na Hao jamaa kama kweli ana back up kwenye mbishe zao nyeusi.
Bado Sina uhakika ushiriki wake.
Huyo kijana ni nani?Mkuu,mali za huyo Kijana zilitaifishwa kwa amri ya nani?
Nini kilipelekea mpaka mali za huyo Kijana zikataifishwa? naona hii issue ni kama umeiongelea upande mmoja tu,
Weka kila kitu clear hapa ili ueleweke zaidi.
Wameshika hatamuIla siku hizi wanaitangaza sana kampuni tatizo nini?
Na wewe una chuki na matajiri au ni tajiri wa jfWalivyoishi kipimbi ule utajiri wao ulikuja kwako?
Roho ya umaskini ni mbaya sana.
Siku zote maskini huwa na chuki dhidi ya matajiri.
Mimi ni maskini wa Kati sina chuki nyingi😅😅Na wewe una chuki na matajiri au ni tajiri wa jf
Ni kweli kaka yao alikuwa katili kuliko hawa wadogo zake. Ila sasa hivi anaishi kama nyoka pangoni.Yule kaka yao nae si alikuwa untouchable.
Wahuni wakapita nae kiaina ushawahi msikia hadharani.
Ukiwatesa sana watu watatafuta gepu wanapita na wewe kwa namna inayofaa iliyo ndani ya uwezo wao.
Labda uwe unayeyuka.
Otherwise ukikutana na wenye visasi walijisusa waliochoka mateso wanapita na wewe hivi hata uwe unalinda na mabaunsa au mitutu.
Tuache dhuluma hazifai. Na kudhuluma uhai wa watu na dignity zao.
Just wanakukodishia baunsa wale kinyeo chako[emoji1] halafu unakubali yaishe eti kisa huwawezi kudadeki ingekuwa Mimi natoka na roho ya mtu hakynani. Sikuachi kizembe.
Hii njia ni nzuri kuliko kutembea na pesa airportSaid Alikua Mkorofi sana...akamwagiwa Tindikali mpaka leo ni kilema usoni....
Kashfa unayotaka kuleta inajulikana,kashfa ya kuwapa hela hapa unaichukulia china au dubai ni ishu ya kawaida sana..enzi ya Magu matajiri wengi waliitumia..yaani ipo hivi...uko dubai au china na unataka kuingiza hela bongo..unawapa hela china...saa hiyo hiyo unapewa bongo...
Wale ni wachafu na sasa hv wana nguvu kwasababu ya Mr. Born Town...
Teh teh frm 4 lakini naona anaendesha biashara kubwa mzeeAlipewa Ubalozi wakati aliishia kidato cha nne. Eti alipewa Ubalozi Guangzhou. Huyu JK hata hana aibu. Ndio maana kuna watu wanasema ni Mkongo. Hana uchungu na rasilimali za Tanzania kabisa.