Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
COUNT DOWN 67 HRS REMAIN
 
Hata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojua
Huyu Salaa ni nani mpaka aogopwe hivi? Kweli nchi ya watu hii. Hongera zake huyu Salaa kwa kuogopwa mpaka na serikali...au labda yeye ndiye serikali yenyewe?
 
Babu ni hivi huyo Said alimdhulumu Mwarabu wa ARusha huko 100 M na huyo Mwarabu alijitahidi kwa kila namna kulipwa hiyo hela ilishindikana kwa sababu hao jamaa kipindi hicho awamu ya nne walikuwa wameikamata serikali kila sehemu mpaka Home Affairs na ndio huyo Mwarabu akasuka huo mpango wa Tindikali. Kwa mujibu wa huyo Jamaa aliyeniambia na sasa huyo Jamaa ni Marehemu na kilichomuua ni Msongo wa mawazo maana alikatwa Mkono na Mashine kwenye Kiwanda cha Magodoro ya GSM kule Mikocheni
Kumbe bongo kuna umafia wa kutisha sana hivi
 
Mi ikitokea mtu Akala kinyeo simwachii Mungu akyanani nakupitishia hukumu hapa hapa duniani. Iwe Leo au 2030 huko ila hukumu lazima uipate.

Kinyeo changu ni agano langu la uanaume wangu na urijali wangu niliopewa Mungu.

Hata Mungu atanielewa nafikiri.

Nakutanguliza huko huko nitakukuta[emoji1]
Ukiwa nyuma ya keyboard unaweza ongea chochote
 
Wewe huna akili, Wala simuonei wivu mtu yoyote hapa Duniani.

Nachotaka Kila Mmoja Kwa Uwezo wake, aache Maisha ya ujanja ujanja ,kuumiza wengine na kunufaika Kwa mgongo wa wengine, kukwepa Kodi, biashara harmu za madawa ya kulevya n.k

Hao ni lazima waishinkipimbipimbi
Kwa Tanzania na dunia ya sasa matajiri almost 99% wamepata utajiri kwa moja wapo ya mbinu chafu ulizotaja hapo juu,
Kutumia njia halali inawezekana ila ni ngumu sana kwa dunia ya leo
 
Katika Nchi ngumu Maskini kupambana na Tajiri kwenye swala la HAKI basi Tanzania ni mojawapo.

Tanzania imejaa waoga kila mahali,kuanzia wadudu,mpaka wanyama watu..

Mtoa Haki aliewahishwa hii nchi alikua JPM tu ila hamna mwingine hata mmoja anaeweza simamia haki ya mnyonge.

Uzi kama Huu ungefunguliwa Enzi JPM ni Rais, Dk 10 nyingi mtoa mada angeshapgiwa simu na Salaah kuitwa ofisini kuyajenga.

ila kwa Awamu hii na zijazo, Baba Utapiga ramli chonganishi lakini hamna kitu utafanikiwa, Yani kama vile Salaah anakuangalia Halafu anachekaaa...

Muhimu ni kwamba, Usiache kuongea maana huwezi jua Kesho anaweza inuliwa JPM mwingine mkaipata haki yenu.

ila kuipata haki kwa awamu hiii, Baba utasubiri sana We kama unaweza tafuta shortcut yako lipa watu wape Tindikali wakafanye kweli...

Kumpata Salaah ngumu,we geuka hata mtu usiejulikana.. Fanya Yako na team yako.
Tatizo lililopo ni kuwa wabongo tunachukuliana poa sisi kwa sisi,
akitokea mwenzetu na malalamiko kama hivi tunaona si lolote bali ni chuki binafsi


sijui tatizo ni elimu au ni ulimbukeni wa kukariri
vitu kama hivi huwezi kukuta kwa waafrika wenye ushirikiano na wanao jielewa mfano SA na Nigeria

wabongo tatizo hatupendani sisi kwa sisi alafu tumeendekeza uchawa sana,Mifumo ya kiutawala pia inachangia kwa kiasi kikubwa,wenye mamlaka wanawasikiliza na kiwapendelea Tycoons

hizi mambo kuna kipindi tulizisahau kabisa,ni vile hua hatuukubali ukweli
 
Tatizo lililopo ni kuwa wabongo tunachukuliana poa sisi kwa sisi,
akitokea mwenzetu na malalamiko kama hivi tunaona si lolote bali ni chuki binafsi


sijui tatizo ni elimu au ni ulimbukeni wa kukariri
vitu kama hivi huwezi kukuta kwa waafrika wenye ushirikiano na wanao jielewa mfano SA na Nigeria

wabongo tatizo hatupendani sisi kwa sisi alafu tumeendeza uchawa sana,Mifumo ya kiutawala pia inachangia kwa kiasi kikubwa,wenye mamlaka wanawasikiliza na kiwapendelea Tycoons

hizi mambo kuna kipindi tulizisahau kabisa,ni vile hua hatuukubali ukweli
Biashara ya utumwa(kuuzwa utumwani)kumetuathiri mpaka leo

Ova
 
Hao jamaa ni watu wa ovyo

Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee

Kuna kijana mbongo mwenzetu walimteka wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu

Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
Duuuh,wanaonekana swala tano
 
Nilipoonaga tu yule mwamba aliyetingisha dsm katulizwa na hawa
Nkasema YES vyuma vmerudi [emoji1]

Ova
Hao jamaa ni kiboko matatizo mengi ya watu wanaosafirisha vitenge kampuni tofauti na wao utasumbuliwa utasema TRU wanafanya kazi kumbe pana wahuni wametia kiberiti ukiwapa wao mzigo ni shwari kabisa...
 
Back
Top Bottom