Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
Kwamba una ushahidi dhidi ya genge la wa msoga halafu utegemee kuna maajabu utayafanya mahakamani? 😀 Hio labda awamu ya 5 ila awamu ya 4B au ya 6 huna utakalofanya kwenye member yeyote wa cartel ya Msogani.
 
Mshana Jr , mrangi bomu limeteguliwa njoooni
 
Munajengeana hofu tu Mkuu
Sio swala la kujengeana hofu, awamu hii ilivyo ni sawa tu na awamu ya 5 ambapo mtu angekwambia anaweza kumjibu shit raisi JPM na kuendelea kubakia ofisini bila tatizo lolote.

Jinsi ilivyokuwa ngumu kwa matajiri kufanya upuuzi ndivyo ilivyo ngumu kwa maskini kupata haki yake kwenye utawala huu.
 
Kafanya vizuri Salaa Tajiri lazima uwe mafia hata kama mimi ningelikua tajiri kwa nchi hii nisingelipa kodi we unadhani izo kodi zetu tunazolipa zinafanyiwa nini zaidi ya kufaidisha mafisadi.
Acha unafki we CHIZI... au na wewe uko kwenye ile chain yao ya watu wanaowafira?!

Maana sikuelewi... mara ujichekeshechekeshe kwenye comments za watu, mara ujifanye kuwatetea... au we mke wao?! 🤔🤔🤔
 
Sasa masikin alidhululumiwa vipi na salaa Hawa wanajuana wote ni wale wale hapa anstafuta huruma tu
 
Huyo Mzee wa msoga ataendelea kuwakingia kifua ila ajue ndio maana sababu ya dhambi katika familia yake ana vijana mashoga na watumiaji wa dawa za kulevya. Dhambi haziwezi kukuacha salama hata siku moja.
Phase 4 hana mtoto pelo (shoga)... hapa rekebisha komredi. Utakuwa unachanganya madesa, nia yetu ni kuanika ukweli wazi na kila kinachowekwa hapa tunataka kuhakikisha kwamba ni cha ukweli uliotukuka! 👌🏾
 
Hamna taasisi itakayowafanya chochote hao manyoka wa Jakaya. Ni kupoteza muda tu na usumbufu ukizidi wanaweza hata kukumaliza tu kijasusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…