Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
Kwamba una ushahidi dhidi ya genge la wa msoga halafu utegemee kuna maajabu utayafanya mahakamani? 😀 Hio labda awamu ya 5 ila awamu ya 4B au ya 6 huna utakalofanya kwenye member yeyote wa cartel ya Msogani.
 
Ndugu zangu huyu Kijana anaye mshambulia boss anaitwa Eliud. Story yake inafahamika na Wafanyabiashara wengi hapa Kariakoo na yeye Boss Mwenyewe alikuwa muathirika wa Pesa alizochukua huyu Kijana.

Ni Mwaka Jana tu ELIUD Aliaminiwa Kukusanya pesa Kwa Wafanyabiashara wa Kariakoo ambapo alileta habari ya kupotea Kwa Pesa hizi zaidi ya Bilioni 6 na mpaka Leo hapaja patikana muafaka kutoka Kwake Jinsi ya kulipa Pesa hizo.

Kitendo anachofanya ni kumvunjia Heshima Mitandaoni Mtu ambae sisi tumefanya nae kazi Kwa UADILIFU na UAMINIFU Kwa muda mrefu wa zaidi ya Miaka 19 Sasa mbali na kipindi Hiki Kigumu Cha CORONA tulichopitia.

Nadhani mlie karibu nae Kwa Sasa tumshauri huyu dogo aende kwenye MAMLAKA ZA SERIKALI Ili kujenga hoja ya anachomdai badala ya kuchafuana kwenye Mitandao ambapo Inaweza kumgharimu iwapo Muhusika anayemchafua nae akifuata mkondo wa sheria.

Nchi yetu Hii inaendeshwa na Sheria. Vyema akajifunza kupata haki yake Kwa kutumia Njia sahihi kuliko kumchafua Mtu.
NImeitoa Mahali hebu tupe mrejesho wa hili kwanza mkuu. Maana imebid nimtafute Sallaah kwanza.
Mshana Jr , mrangi bomu limeteguliwa njoooni
 
Munajengeana hofu tu Mkuu
Sio swala la kujengeana hofu, awamu hii ilivyo ni sawa tu na awamu ya 5 ambapo mtu angekwambia anaweza kumjibu shit raisi JPM na kuendelea kubakia ofisini bila tatizo lolote.

Jinsi ilivyokuwa ngumu kwa matajiri kufanya upuuzi ndivyo ilivyo ngumu kwa maskini kupata haki yake kwenye utawala huu.
 
Kafanya vizuri Salaa Tajiri lazima uwe mafia hata kama mimi ningelikua tajiri kwa nchi hii nisingelipa kodi we unadhani izo kodi zetu tunazolipa zinafanyiwa nini zaidi ya kufaidisha mafisadi.
Acha unafki we CHIZI... au na wewe uko kwenye ile chain yao ya watu wanaowafira?!

Maana sikuelewi... mara ujichekeshechekeshe kwenye comments za watu, mara ujifanye kuwatetea... au we mke wao?! 🤔🤔🤔
 
Sio swala la kujengeana hofu, awamu hii ilivyo ni sawa tu na awamu ya 5 ambapo mtu angekwambia anaweza kumjibu shit raisi JPM na kuendelea kubakia ofisini bila tatizo lolote.

Jinsi ilivyokuwa ngumu kwa matajiri kufanya upuuzi ndivyo ilivyo ngumu kwa maskini kupata haki yake kwenye utawala huu.
Sasa masikin alidhululumiwa vipi na salaa Hawa wanajuana wote ni wale wale hapa anstafuta huruma tu
 
Huyo Mzee wa msoga ataendelea kuwakingia kifua ila ajue ndio maana sababu ya dhambi katika familia yake ana vijana mashoga na watumiaji wa dawa za kulevya. Dhambi haziwezi kukuacha salama hata siku moja.
Phase 4 hana mtoto pelo (shoga)... hapa rekebisha komredi. Utakuwa unachanganya madesa, nia yetu ni kuanika ukweli wazi na kila kinachowekwa hapa tunataka kuhakikisha kwamba ni cha ukweli uliotukuka! 👌🏾
 
Tume ya haki jinai imeundwa kwa ajili ya kukusanya maoni na kutoa mapendekezo ya kuboresha taasisi za serikali zinazohusika na haki jinai kama vile Polisi, Mahakama, PCCB n.k kwa lengo la kuzidhibiti ili zitende haki. Haina mamlaka yoyote ya kisheria ya kuwashughulia hao Silent Ocean. Una nafasi ya kunikosoa.
Hamna taasisi itakayowafanya chochote hao manyoka wa Jakaya. Ni kupoteza muda tu na usumbufu ukizidi wanaweza hata kukumaliza tu kijasusi
 
Back
Top Bottom