Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
We mbona hukupiga diliUnaiongelea awamu ya 5 iliyokua imejaza wapiga dili wakiongozwa na mpiga dili mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mbona hukupiga diliUnaiongelea awamu ya 5 iliyokua imejaza wapiga dili wakiongozwa na mpiga dili mkuu?
Mimi siyo mpiga dili,We mbona hukupiga dili
Hata Mimi nasubiria kwa hamu hii ligi!Nipo nimekaa palee naanza kuhesabu masaa
Basi tuliza kumah hiyo, acha hao wazulumati wawekwe bayanaMimi siyo mpiga dili,
Chochote chaweza kutokea maana malalamiko ya watu yakizidi ni laana toshaYupo brother. Na bado ukiamuq kutumia uchawi ujue Mungu sio tuntufye
Huu ni UKWELI UNAOUMA! Bahati nzuri hata mleta mada anaujua. Na lengo lake ni kuweka mambo hadharani tu basi, anajua hakuna wa kuwafanya lolote hao jamaa.Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Hii kitu ingekuwa inawezekana masikini wasingekuwa wanaonewa.Mimi nilidhani unaenda kwa babu Bagamoyo kuhamisha mbupu mahali zilipo na kuzining'iniza Askari monument...
Mzigo ukitoka tu nakufanyia delivery asap 😁
kamsaidie basi kumpaka oliveUyu mchumba ndio anawasumbua mtoto soft kabisa wa kumpaka oliver
Alienda Kwa mganga akaambiwa Jamaaa wanamiliki majini hvyo hawawezi labda aendelee kuomba Mungu tuu au aende ki_hamza zaidi..😁😁😁😁Mimi nilidhani unaenda kwa babu Bagamoyo kuhamisha mbupu mahali zilipo na kuzining'iniza Askari monument...
Watu wanafuga majini we unatumia Novena? 😀 😀 😀Ndo maana nimesema hawa unawaroga kwa kutumia maombi, zaburi 35,Novena kwa mtakatifu Antony wa Padua kurudisha vilivyopotea, Novena kwa Mtakatifu Yuda Thadei. Kwa imani lazima watasurrender.
Kweli kabisa....Hata ujenge misikiti nchi nzima. Kama matendo yako ni mabovu basi ni jahanam tu
Hawa jamaa nimewatafuta WIKIPEDIA, wikipedia wanasema kuwa maelezo waliyoyatoa yote ni ya uwongo ikabidi wikipedia waifute ile makala mtandaoni.
Sasa anajiondoaje wakati yeye ndio ana majority of shares 😀😀😀 kwenye hizo biashara.Hivi jamaa wa msoga anaweza vipi jihusisha na Hawa watu.
Hata kama kwa maslahi yake ila hao watu naona wamezidi kwa uchafu na madhambi ya Kila namna
Msoga king kwa umri wake uliofika alasiri anapaswa kujitenga na Hao jamaa kama kweli ana back up kwenye mbishe zao nyeusi.
Bado Sina uhakika ushiriki wake.
Sjui hasa ttzo n nn lkn kw serkal hii tulionayo mkuu cjui ni km genge la we..yes kuna details ya mambo yao ambayo hayajawahi kuanikwa, kupitia sakata hili ndio nimejua hujuma nyingine wanayoifanya, ambayo inasadia wafanyabiashara wengi zaidi kukwepa kodi sambamba na wao.