Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Huu ni UKWELI UNAOUMA! Bahati nzuri hata mleta mada anaujua. Na lengo lake ni kuweka mambo hadharani tu basi, anajua hakuna wa kuwafanya lolote hao jamaa.

Tafuteni hela wazee, kama wewe ni masikini, huna unachoweza kumfanya tajiri hata akufanye nini. Ukiwa fukara daima huwezi kuwa kiburi, masikini jeuri ni msemo tu!
 
Mtoa mada naweza kumuamini maana baadhi ya wenye hela ni dhulumati na wenye dharau.Kuna bwana yule alisema haongei na mbwa anaongea na mwenye mbwa kilichomkuta hatakaa asahau.
 
Hivi jamaa wa msoga anaweza vipi jihusisha na Hawa watu.

Hata kama kwa maslahi yake ila hao watu naona wamezidi kwa uchafu na madhambi ya Kila namna

Msoga king kwa umri wake uliofika alasiri anapaswa kujitenga na Hao jamaa kama kweli ana back up kwenye mbishe zao nyeusi.

Bado Sina uhakika ushiriki wake.
Sasa anajiondoaje wakati yeye ndio ana majority of shares 😀😀😀 kwenye hizo biashara.
 
Back
Top Bottom