Mbo Mpenza
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 445
- 1,114
Huyu utamkuta nyuzi za Watu wa Rainbow yeye ndio expert wao.Afu huu uzi bila cocastic ni batili
Sema wambea wa insta walisema gsm anampakua ommy dimpoz mdo maan safar aziishi na jux wake ndo chanzo cha african boy
By the way atuna time keeper
Hii Vita uliyoanzisha ni kubwa Mungu unayemwamini akuteteeπhawaoni shida kuita Hadi waganga wa majini na visomo toka kigoma,congo,comoro et al,sema kama kweli wamekudhulumu wahatafanikiwa kukudhuru,maana ni haki na jasho lako.Ni kweli nimenusurika kugongwa na Lori la mchanga. Mungu ni mwema maana nilifanya maombi nikijua nachokwenda kupambana nacho
Hizi habari una uhakika nazo au unabahatisha kama dubu?! Kwa akili yako timamu Rais awe na mtoto teja na washindwe kutafuta suluhu?! Wewe unaona ina-click kichwani mwako?!Teja je?
Nyooo! πMimi siyo mpiga dili,
Nashukuru sana. Namwamini Mungu wa Isaka, wa Yakobo na wa Ibrahim atanitetea.Hii Vita uliyoanzisha ni kubwa Mungu unayemwamini akuteteeπhawaoni shida kuita Hadi waganga wa majini na visomo toka kigoma,congo,comoro et al,sema kama kweli wamekudhulumu wahatafanikiwa kukudhuru,maana ni haki na jasho lako.
Matajiri wengi wakubwa kutoka nchi kubwa na tajiri kuliko Tanzania waliwafanyia watu mambo ya hovyo na wakaishia kuuwawa kizembe tu! Huyo Salaah mbona kumuondoa easy tu πAlienda Kwa mganga akaambiwa Jamaaa wanamiliki majini hvyo hawawezi labda aendelee kuomba Mungu tuu au aende ki_hamza zaidi..ππππ
Mwisho wao unakuja πππππΎHawa jamaa nimewatafuta WIKIPEDIA, wikipedia wanasema kuwa maelezo waliyoyatoa yote ni ya uwongo ikabidi wikipedia waifute ile makala mtandaoni.
Hawa jamaa ni noma.
Nyoo mwenyeweNyooo! π
MAGUFULI PEKEE NDIO ALIJUA KUWATUMIA NA KUWAHESHIMISHA TISS NCHINI... MNAWADHARAULIGI NA KUWAITA WAUAJI, HAKUNA MLIJUALO. WAKABIDHINI TISS HILI JUKUMU LA KUWASHUGHULIKIA HAWA JAMAA MUONE KAMA HAWAJANYOOKA πUnadhani serikali haijui haya yote?
72Wewe mwaga yote bana masaa 72 mengi mno ukifa je?
Kuna hela zetu China, Sabaya yupo lupango, kikombe cha corona madagascar, uchaguzi wa 2020, waunga mkono juhudi, maiti za watu kuokotwa ufukweni, watu kuokotwa kwenye viroba wakiwa wameuawa, unawwza ukaendelea kuyataja mengineMAGUFULI PEKEE NDIO ALIJUA KUWATUMIA NA KUWAHESHIMISHA TISS NCHINI... MNAWADHARAULIGI NA KUWAITA WAUAJI, HAKUNA MLIJUALO. WAKABIDHINI TISS HILI JUKUMU LA KUWASHUGHULIKIA HAWA JAMAA MUONE KAMA HAWAJANYOOKA π
wanajiita waarabu wa Yemen. ila mmoja alishakula tindikali za uso hivi sasa hata akiletewa mrembo haoni uzuri wake, chezea wabongo wewe. ukilindwa na serikali watu wanakuvizia unless waendelee kuishi kama Panya.
Ahhh! KUMAMAMAE hivi hawa watu weupe wanatuonaje sisi?! Ukishikiwa gun ukatetemeka ujue wewe hujielewi na huzijui haki zako! Kisheria vile vitu havitolewi hovyohovyo! Tena hospital π³ na eti unamtolea daktari au wataalamu wengine wa afya?!Niliwai soma mahali, huyo Sala alitoa Gun mke atibiwe upesi, kama yupo mtu anafanya kazi hapo Msasani anaweza thibitisha hili.
Huyu bibie mnamuonea tuu labda kwa na sababu nyingine.....ila hao jamaa wanacheza michezo hiyo toka awamu ya nne na kwenye awamu ya tano ndo ilikuwa balaa,Bibi yetu kazi kurembua macho tu, yani hili janamke silipendi mpaka basi,
Mwenye CHINA PLAZA na MSASANI MALL mbele kidogo ya U.S EMBASSY DSM, mkabala na OYSTERBAY POLICEKaka yao yupi
Ushindani kwao umekuwa mkubwa sana maana kuna kampuni nyingi zinafanya hizo kazi na ndo kitu pia kilichowapelekea nao kujitanua zaidi kwenye maana Amerika na Ulaya ambapo hawakuwepo kabla.....ukiachana na yoote jamaa ni wakombozi kwa wananchi wengi wanaotuma mizigo ndani na nje ya nchiIla siku hizi wanaitangaza sana kampuni tatizo nini?