Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Duh

nokwenumuya

Ova
 
Nasisitiza wewe chawa wa Salaah. Yawezekana ni rainbow kabisa. Wala usiwe na wasiwasi. Mambo yote anayofanya boss wako nitayaanika. Muda unazidi kuyoyoma.

So mwambie boss wako hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe. Watch out.
 
Inaonekana Serikali ya mama wameiweka mfukoni.

Ila mtoa mada na yeye ni wale wale sema wamezungukana ndio anakuja huku kutia Jamba Jamba.
Niape mbele za Mungu wangu. Mimi sio huyo kijana. Tuhuma zake na malalamiko yalifika ofisini na wakubwa wameshindwa kumsaidia kwa sababu ya mazingira ya Serikali ya sasa. Nimeamua kuyaweka hadharani ili umma na dunia ijue. Kuna siku atatokea kiongozi mzalendo na kuyafanyiq kazi.
 
Huyu bibie mnamuonea tuu labda kwa na sababu nyingine.....ila hao jamaa wanacheza michezo hiyo toka awamu ya nne na kwenye awamu ya tano ndo ilikuwa balaa,
Unataka kusema na vyombo vyote vya ulinzi na usalama,hayajui hayo?anajua,sema hajali🙏kwa maza tulipigwa na kitu kizito hatari na yote hiyo ni michezo ya mkwere aliwekwa Kama emergency exit incase wakijahitaj escape route in the future,na ndivyo ilivyotokea,mzee wa lupaso alizidiwa kete bila kujua
 
Mwache adai haki yake,kaona ndio njia itakayomsaidia,hayo ya uzalendo alikuwa nayo nyerere tu🙏 wengine ni unafiq tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…