Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Chuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache atese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma last born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
kwangu mfanyabiashara ni kama akina Bhakheresa, hao wengine kama huyu anaetajwa hapa ni makanjanja watupu! huyu ni mhuni, dhulumati na mkwepa kodi mkibwa! Ndio maana anapenda sana kuwahonga viongozi njaa na wachumia tumbo na ndio maana anatamba kama atakavyo!
 
Ni kweli, tena anampigia simu anamwambia kama unarekodi rekodi na upelekea unapotaka hivi sasa serikali iko mfukoni kwetu.
JPM aliwafanya Hawa Matajiri janjajanja, Kuishi kama Mashetani.

Ila sahizi Mashetani ndio waongoza Nchi, ni haki Yao kusema "Serikali hii haiwafanyi kitu'.

Wapo sahihi Mkuu, hakuna wa kuwafanyia kitu sasa
GSM walinawari sana enzi za huyo huyo JPM. Ni kutokana na kunawiri huko ndiko kuliwafanya hadi waanze kumwaga pesa Utoloni! Na pia, Homeshopping Center ilipigwa mufilisi mwishoni kabisa mwa utawala wa JK. Kwa tuhuma ambazo HSC walikuwa nazo, na sababu zinazosemekana kupelekea kuiua HSC na kuanzisha GSM Group, mtu asingetarajia kwamba GSM Group ingemaliza 2016 lakini hadi Mwamba anatangulia mbele za haki, bado GSM ilikuwa juu, juu zaidi mbele ya huyo huyo JPM. Na ni kipindi cha JPM huyo huyo ndipo GSM "walifunga ndoa" na Bashite, Mwana Mpendwa wa JPM.

Hivyo basi, hizo porojo zenu tafuteni kwa kuzipeleka! JPM alikuwa na watu wake wa kuwafungia kazi, especially wale aliowaona viburi kama Yusuph Manji na Mzee Rugemalila ambae aligoma kumsujudia ili aachiwe!
 
kwangu mfanyabiashara ni kama akina Bhakheresa, hao wengine kama huyu anaetajwa hapa ni makanjanja watupu! huyu ni mhuni, dhulumati na mkwepa kodi mkibwa! Ndio maana anapenda sana kuwahonga viongozi njaa na wachumia tumbo na ndio maana anatamba kama atakavyo!
Bakheresa huyu huyu anayedaiwa kutumia kemikali zisizofaa kutengeneza juice? Au huyu mbaguzi wa kidini? Ama huyu mafia wa zamani anayewatoa kafara wafanyakazi wake? Kila tajiri lazima atumie njia haramu Kupata Hela Mkuu. Huwezi kumiliki utajiri Kwa kufuata njia sahihi trust me or not ila ndio ukwel huo
 
Labda kama martial arts zimelala ila kwa unskilled fighter hutoboi
Martial arts ya Nini mzee hizo mbanga za kimasikini.

Unatafuta mkwasa mmoja unavizia chobingo unamaliza kazi. S

Hizi sio zama za akija jeki sheni au Doni yeni. [emoji1]

Watu wanatamba sana duniani utadhani ni yao pekee yao.

By the way lazima uwe umejisusa maana manjagu wakipanikishwa watakusaka hadi kwenye shimo la choo.

Maana hawanaga reasoning wao ni mbele tembeaaa!!!

Labda uwe na mkwanja uwatulize vibosile waishi kusema "ni ugomvi binafsi"
 
Usiwe mbishi!

Kuna Full Balozi na kuna Balozi mdogo!

Full Balozi ndiyo hao hua wanaapishwa kabisa na Balozi mdogo wa sehemh flan anakua chini ya Full Balozi!

Unajua kama kuna Dada anaitwa Malkia wa Nyuki alikua shabiki sana wa Simba?? Pia alipewa kua Balozi mdogo sikumbuki Nchi! Usiwe mbishi
Sawa nisiwe mbishi....ila ukiwa radhi rudi kule kwenye posti yake ukaangalie kuna kipande ameandika kuwa alipewa ubalozi mdogo!!!!?au yeye alisema tuu kuwa alipewa ubalozi huko Uchinani
 
Back
Top Bottom