Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

yote nitaanika, pia sio ndugu yangu, ni suala la muda yote tutaweka hapa kwa uwazi, na nakala tutampelekea Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, records lazima ziwepo.
 
yote nitaanika, pia sio ndugu yangu, ni suala la muda yote tutaweka hapa kwa uwazi, na nakala tutampelekea Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, records lazima ziwepo.
Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
 
Mfungulieni mashtaka ,hakuna mkubwa mbele ya sheria.Haki ya mtu itachelewa itakuja tu.Hakuna kizazi cha kudhulumiwa daima.Pambanieni haki yenu kisheria.
alikwenda Polisi wakakataa kumfungulia kesi, walisema wamepigiwa simu nyingi walipompa wito wa kuitwa Polisi hivyo wanalinda kazi zao. na kwa dharau jamaa wala hakuitikia wito wa kwenda Polisi.
 
Imeanza sasa
 
Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Asante sana Mrs. Salaah, ni kweli mnaamini hivyo, hivi yule kaka yao jambazi aliyekuwa anaonea watu yuko wapi hivi sasa baada ya kumwagiwa tindikali? si anaishi kama mjusi hata msikitini hawezi kwenda wala kuonekana kwenye halaiki? mifumo ikishindwa kuchukua hatua hata wanadamu wanaweza chukua hatua.
 
Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
Kuna mtu alikuwa anadai kampuni ya bima na ushahidi wote anao, ila kapigwa danadana miaka zaidi ya 20 na hamna kitu, hawa wanachoma kwa makusudi viwanda vyao vya magodoro na wanalipwa mabilioni, papo hapo, hakuna usawa bhana
 
unaweza kwenda mahakamani moja kwa moja bila kupitia polisi tafuta mawakili wakusaidie
hii haina haja ya kwenda mahakamani, Si Rais ameunda Tume Jinai? tutaona hiyo tume kama ina dhamira kwa kupeleka kesi kama hizi, isiwe tume kuhalalisha wahujumu uchumi kurejeshewa mali zilizochukuliwa kwa mujibu wa sheria.
 
Kuna mtu alikuwa anadai kampuni ya bima na ushahidi wote anao, ila kapigwa danadana miaka zaidi ya 20 na hamna kitu, hawa wanachoma kwa makusudi viwanda vyao vya magodoro na wanalipwa mabilioni, papo hapo, hakuna usawa bhana
ni kweli kabisa wanafanya mambo mabaya mengi machafu ili kujilimbikizia mali.
 
hii haina haja ya kwenda mahakamani, Si Rais ameunda Tume Jinai? tutaona hiyo tume kama ina dhamira kwa kupeleka kesi kama hizi, isiwe tume kuhalalisha wahujumu uchumi kurejeshewa mali zilizochukuliwa kwa mujibu wa sheria.
ile tume ya Mchongo tu wala usiiamini wale waliochaguliwa wengi wao walisha hudumu kwenye nafasi hizo hizo za hao wanaoenda akuwachunguza, nao pia hawakuwa wasafi hata mmoja
 
Duuh, hii nchi ndio tumefika huku?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…