Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 845
Mkuu hizo 75% alipataje?Urithi hutolewa baada ya kifo.
MO hajarithi sababu Baba yake yupo, MO anamiliki 75% ya kampuni ya METL, Familia yale inamiliki 25%
Siku Baba yake akifa, MO atapewa gawio lake kwenye hiyo 25%
Duh,Shule ulienda somea upumbavu?
Kuna Member humu JF anayo majini ya kuwadhibiti hawa Mabaradhuri 😂 😂 😂Dawa ni kumtafutia jeshi la majini yenye nguvu zaidi kuzidi jeshi la majini alilonalo, dawa ya jini ni jini tu na tuendelee kuyapiganisha majini huko majini yaliko majini na usinitupie jini, mleta uzi mda umekwisha mwaga uozo huo tuusome basi mbon unatuweka sana hivi au unaogopa kutupiwa majini na wewe?
matajiri wengi ni wakwepa kodi wazuri tuUmejaa chuki tu, nenda TRA utajua uhalisia
Nimeona hakika anasema alilala na kinasa kapewa 20 [emoji23][emoji23][emoji23] mi nilisema huu ukaribu karibu na mashoga tutasikia jambo na kweli,hivi kwanin mashoga huwa wamelendemka hakika nilijua tu ni shoga
Utajiri wao wameupataje?Sina chuki Mimi mwenyewe najiweza kama wao tu na ni muathirika wa hao wahuni Kwa ushahidi na kila kitu chuki Kwa lipi Kwa mfano wanalo la ajabu zaidi ya wizi
Ww unafikiri mahakamani unaenda kirahisi rahisi! Hujui hata huko watu wanaonga. Acha majingaChuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache atese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma last born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
Numbers don't lie mkuu! No need ya kwend TRA ,Wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani.Umejaa chuki tu, nenda TRA utajua uhalisia
Hiyo kawaida tu,dunia uwanja wa vita mzeematajiri wengi ni wakwepa kodi wazuri tu
Umeshawajua ktk uzi wa hakika kuleee,Wasanii siwajuagi
Jux ndy kdg anajulikana
Ova
Tusubiri tutajuzwaa zaidi na polisi kutoka Obay centralWanamkamata kwa kosa gani [emoji23][emoji23][emoji23]
Urithi hutolewa baada ya kifo.
MO hajarithi sababu Baba yake yupo, MO anamiliki 75% ya kampuni ya METL, Familia yale inamiliki 25%
Siku Baba yake akifa, MO atapewa gawio lake kwenye hiyo 25%
Kwa kuwaangalia wote wale ni mule mule tuUmeshawajua ktk uzi wa hakika kuleee,
Nimekuona pia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdyoooKwa kuwaangalia wote wale ni mule mule tu
Sasa huko obay wameenda kwa kesi gani,kubanjuana
Ova
Utakuwa mchawi tu.Bibi yetu kazi kurembua macho tu, yani hili janamke silipendi mpaka basi,
Upo sahihi wanamsingizia Mama bureUtakuwa mchawi tu.
Hai kina Salah wapo toka enzi ya Mkapa na ndipo utajiri wao ulipoanza kupaa.
Utajiri wa MO hata siuoni upo sehemu gani ,SSB ana vitu vya maana halafu eti anacheza around 600-900m US$ wakati Tapeli MO ana mashamba ya katani aliyopora ,viwanda vya maji/juice/vibiriti/tambi alafu forbes wanasema ana usd 1.5B ,Uongo mtupu.(In Mzee mpili voice)