Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Kila siku mo energy wanauza 1M pieces??? Hivi mkitumia hayo matakataka mnadhani Kila mtu anayatumia sio?
 
Hizo website za mo wanaandika Forbes au yeye mwenyewe? Kwani wewe unashindwa kuhost website yako manyaza.com kisha ukaweka makampuni uliyonayo na bla bla bla kibao? Mimi naangalia mipango ya namba sihitaji chuki na wana.
Mkuu tupige porojo hapa but never underestimate Mo and Metl in general. Kama ulivyoambiwa numbers don't lie.
 
150,000,000,000 unataka kusema anaingiza zaidi ya hiyo figure hapo nimechukulia mo inatoka kwa sh 500.
 
Wabongo bana

Watu wanachukia ushoga ila wanapenda story za kishoga kweli
Niambie Mimi hapa Manyanza napenda habari za Mashoga sio Wabongo mbona unakuwa Mnafiki na unaniogopa?
Nimemuomba cocastic hizo habari kwa sababu hao wakina JUX, MWIJAKU ni Vioo vya Jamii sasa inashangaza kidogo wapo huko wameleft group letu inakuwaje kuwaje?
 

Mkuu ungekuwa unajua kwenye group na firms usingeshapalia ,group inaweza ikawa na firms hata 100 na utakuta zinazopiga kazi labda 5 hizo nyingie zipo kwenye strategy ya upigaji tu na trust kiweb web.

Kila siku nakwambia Mo ni janja janja ,hivi unajua wafanyakazi 27,000? Nenda kwa HR muulize amewapa ajira wangapi contract basis....wakizidi 3000 niite mbwa nimekaa pale.....Usije ukawa unawahesabu hadi wamachinga wanaoenda kunua mabox ya sabuni na kuuza barabarani kwa rejareja ukawaingiza kwenye hao 27,000.

MO haingia kwa SSB hata kwa miaka 100...........Narudia "Numbers don't lie".
 
150,000,000,000 unataka kusema anaingiza zaidi ya hiyo figure hapo nimechukulia mo inatoka kwa sh 500.
Ndio ilivyo na Mhindi anajua biashara hiyo ni zaidi ya 150 B bado kuna tambi, Majani ya Chai, Sukari, Mafuta ya kula. Huyu hater wa MO anazuzuka na Magari ya Bakheresa barabarani na Azam TV
 
Ni Nime generalize maana ni pattern nayoiona sana!! Nikuogope kwa lipi sasa?
 
Hivi unajua kila siku MO energy inauza Chupa 1 milioni? mara mwaka mzima atauza chupa ngapi?
1,000,000 X 365 Ni sawa na Mauzo ya Chupa Bilion 3.5 za juice ya Energy na hapo ukippiga 3.5 Billioni mara bei ya kila cupa unapata shiling ngapi?
Mwaka jana 2022, MeTL waliuza zaidi ya chupa za MO ENERGY bilioni 1

Piga hesabu mkwanja walioingiza hapo
 

Hata taarifa ya habari huwa kuna muda wa matangaZo so hapa tunanogesha baraza huku tukisubiri Saa 72 zitimie
 

Hapa hauzungumziii ushabiki wa mpira,mimi nakwambia MO ni Subset ya SSB kama umepitia hesabu utajua na maanisha nini.

Hizo takataka anazouza MO(nimeita takataka kwasababu la low quality) ,SSB anazo zote tena zenye high quality halafu SSB ana vitu vingine vya ziada ambazo MO hatii hata pua.

Yaani na wewe hauna uelewa hata kidogo ,ebu pitia TCRA wakupe data za Azam kuhusu visimbuzi vyake vina wateja wangapi ,Dar yenyewe ina customers wa azam zaidi ya laki 5.....Azam yupo kwenye telecom ana Azampesa ,Azam ana spectrum yake soon atazindua mtandao wa simu....Huyo Tapeli wenu ni Promo tu lakini hafua dafu kwa SSB.

Ulimsikia wajina wake JayMO kwenye pesa ya madafu? Aliimba nataka kuwa na pesa kama bakresa mbona hakuimba kuwa na pesa kama MO? Konde Gang naye ana track kabisa ya inaitwa bakresa ikiilezea mitonyo ,Kwa Bongo Bakhresa ndiyo SI unit ya Pesa..Ukiacha unazi na ushabiki MO haingii hata chembe kwa SSB.

Mshindanisheni MO na kina Salaah maana hata kwa GSM anaweza asiingie.
 
Weka hoja zenye mashiko mkuu 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…