Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Karne hii mtu mzima unaamini na kuogopa majini?
 
Duh

Ova
 
Sidhani kuwa na constant cash flow ni big deal hapa. By the way mtu mwenye uwekezaji mkubwa wa gesi pale Kenya si tajiri wa kiwango cha SSB!? Acha mzaha aisee!
 
Yule mangi tajiri alikuwa zulumati na muuaji ilikuw ikifika usiku utamuinea huruma.roho zinaanza kumfata.alikuwa na nyumba nyingi lakini usiku inabidi alale juu ya mti.au awaite baa kwake awape bia adi asubui ili asibaki peke Ake
 
weee umesahau glenrich transportation (logistics)
 
Hakika imeandikwa mpende adui yako n uwaombee wanaokuudhi. Kisasi ni juu ya Bwana na yeye anahukumu kwa haki.
 
Nimecheka tu aliposema kuwa mangi yuko tayari kuwaita watu bar kwake wapige vyombo ilimradi tu wakeshe naye [emoji1]

Ova

Mambo ya kutisha sana na kuhuzunisha.

Kanikumbusha kijijini nilipolelewa ilikuwa likiingia giza nakosa amani na raha kabisa maana nilikuwa nalala mwenyewe na bundi wanalia usiku kucha nilikuwa nakesha karibu kila siku.
 

Nguvu ya pesa ukiwa na pesa sheria unavunja au inapindishwa kama ronaldo saudia
 
Najua neddy,kamikaze Ndo machoko jux najua ni basha[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960], [emoji3][emoji1][emoji1][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mambo wazi wazi.

Una habari kinasa msukuma kaitwa obay central kisa kuwa kimahaba na comedian wa Kenya yule wa kiume anaigiza kike? Afu pia na hakika ruben
Ndo huyo hakika Ruben na hyo ya kinasa msukuma tumeiskia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…