Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Karne hii mtu mzima unaamini na kuogopa majini?
 
Huyo jamaa unayemtuhumu Kuna siku tulikuwa nae Lumumba pale,

(Sina ukaribu nae wa kivilee tunakutana tu kwenye kazi, kazi hizi za usafirishaji japo mm nafanya kampuni nyingine ambayo nayo Ina deal na mambo hayo hayo ya usafirishaji)

Sasa Wakati tuko pale Lumumba wote tulikuwa na safari ya kwenda Benk flani ipo maeneo ya Serena Hotel,

Hapo kila mtu ana chuma yake, yèye ana Land Cruiser 2022 kama sio ya 2023 Mimi nilikuwa na Bimmer X3 tena ya 2007 huko

Sasa Wakati tunaondoka yeye yupo mbele mm nipo nyuma, tukafika kwenye Ile junction ambayo inaruhusu magari kutoka fire kuingia Lumumba, na unayetoka Lumumba unaruhusiwa kukata kushoto kwenda fire lakini huruhusiwi kukata kulia kwenda DIT

Jamaa alivyofika pale si akapita na zote hakusubiri hata mwendo Kasi ipite akakata kulia kuelekea DIT nikataka nimuige bahati nzuri nilikuwa na mshkaji kwenye gari

Mshkaji niliyekuwa naye kwenye gari akanambia "ukimuiga jamaa umekwisha wenzako ndio kawaida yao kupita hapo kwanza gari yake tu inambeba police hawezi kumsimamisha sasa jichanganye na ka bmw kako"

Ilibidi niende fire huko nikatafute U-Turn

Huo ni Mfano tu kwamba hatuwezi kufanana nguvu

NB: Traffic police alikuwepo na hakufanya chochote
Duh

Ova
 
Yes RA ni tajiri lakini si wa kiwango cha kina SSB ambao wana constant cash flow , ukiwa na kipato cha ujanja ujanja upigaji ni ngumu kuwa noticiable labda kwa sasa fedha yake anaiweka kwenye proper channel TIGO/TAIFA GAS /CASPIAN forbes wanaweza waka kadiria estimation net worth.
Sidhani kuwa na constant cash flow ni big deal hapa. By the way mtu mwenye uwekezaji mkubwa wa gesi pale Kenya si tajiri wa kiwango cha SSB!? Acha mzaha aisee!
 
Yule mangi tajiri alikuwa zulumati na muuaji ilikuw ikifika usiku utamuinea huruma.roho zinaanza kumfata.alikuwa na nyumba nyingi lakini usiku inabidi alale juu ya mti.au awaite baa kwake awape bia adi asubui ili asibaki peke Ake
 
Bakhresa vitu vyake vyote vipo kwenye brand moja ya azam, ila mo ana viwanda na brand na biashara nyingi sana.

Mo kama mzalishaji
mafuta ya nyumbani
-mafuta maisha
-mafuta safi
-blueband mo margarine
-mafuta mpishi
-mafuta sunflower

vinywaji
-maji ya maisha
-maji masafi
-juice za pride
-soda za mo

nguo
-hakuna kampuni kubwa ya nguo kusini mwa jangwa la sahara kushinda metl. wana viwanda karibia kila mkoa wakitengeneza bidhaa za kanga na vitenge.

Vyakula
-unga wa ngano
-sukari
-korosho (mo cashew)

baiskeli
hapa kuna baisikeli za kawaida na za miguu mitatu za NABICO

mafuta ya magari
kampuni ya mo ya star oil ni moja ya wasambazaji wakubwa wa mafuta. uwezo wa lita milioni 5 kwa siku.

sabuni
-sabuni za royal
-sabuni za taifa
-sabuni za poa

mo kama mfanya biashara anaeagiza vitu nje
-agent wa LG tanzania analeta vitu kama mashine za kufulia, oven, mafridge na bidhaa nyengine za lg
-Agent wa TCL tanzania na TV zake
-analeta mitumba ya nguo
-AC za airlux
-battery za remote
-tractor za kulimia
-na mengine mengi kama big G, biscuit, tambi etc

mo kama muuzaji vitu nje ya nchi
jamaa anauza vitu vingi sana nje ya nchi kama
-katani
-korosho
-mbao
-nta
-choroko
-bidhaa nyengine tulizozitaja juu.

angalia hio diversity then compare na bakhresa.

Usipoelewa hapa basi Wewe utakuwa na shida
weee umesahau glenrich transportation (logistics)
 
Niwakumbushe principle ya Kimungu, ukiamua kupambana na adui yako kwa njia zisizo za ki Mungu yeye hujitoa means zenu ziamue! Ila wote mtahukumiwa kwahilo labda toba iwaokoe.

Ila ukitumia njia ya Ki Mungu (kama injili inavyoelekeza juu ya adui) hukumu/kisasi kinakuwa juu ya Bwana! Hapo hata ufuge majini yote ya ulimwengu mzima utapigwa tu maana ni kisasi cha Bwana.

Usiombe umkosee mtu alafu akusamehe na kumuachia Mungu na awe mtu wa ibada! Utakutana na moto ukiwa hai.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hakika imeandikwa mpende adui yako n uwaombee wanaokuudhi. Kisasi ni juu ya Bwana na yeye anahukumu kwa haki.
 
Nimecheka tu aliposema kuwa mangi yuko tayari kuwaita watu bar kwake wapige vyombo ilimradi tu wakeshe naye [emoji1]

Ova

Mambo ya kutisha sana na kuhuzunisha.

Kanikumbusha kijijini nilipolelewa ilikuwa likiingia giza nakosa amani na raha kabisa maana nilikuwa nalala mwenyewe na bundi wanalia usiku kucha nilikuwa nakesha karibu kila siku.
 
Huyo jamaa unayemtuhumu Kuna siku tulikuwa nae Lumumba pale,

(Sina ukaribu nae wa kivilee tunakutana tu kwenye kazi, kazi hizi za usafirishaji japo mm nafanya kampuni nyingine ambayo nayo Ina deal na mambo hayo hayo ya usafirishaji)

Sasa Wakati tuko pale Lumumba wote tulikuwa na safari ya kwenda Benk flani ipo maeneo ya Serena Hotel,

Hapo kila mtu ana chuma yake, yèye ana Land Cruiser 2022 kama sio ya 2023 Mimi nilikuwa na Bimmer X3 tena ya 2007 huko

Sasa Wakati tunaondoka yeye yupo mbele mm nipo nyuma, tukafika kwenye Ile junction ambayo inaruhusu magari kutoka fire kuingia Lumumba, na unayetoka Lumumba unaruhusiwa kukata kushoto kwenda fire lakini huruhusiwi kukata kulia kwenda DIT

Jamaa alivyofika pale si akapita na zote hakusubiri hata mwendo Kasi ipite akakata kulia kuelekea DIT nikataka nimuige bahati nzuri nilikuwa na mshkaji kwenye gari

Mshkaji niliyekuwa naye kwenye gari akanambia "ukimuiga jamaa umekwisha wenzako ndio kawaida yao kupita hapo kwanza gari yake tu inambeba police hawezi kumsimamisha sasa jichanganye na ka bmw kako"

Ilibidi niende fire huko nikatafute U-Turn

Huo ni Mfano tu kwamba hatuwezi kufanana nguvu

NB: Traffic police alikuwepo na hakufanya chochote

Nguvu ya pesa ukiwa na pesa sheria unavunja au inapindishwa kama ronaldo saudia
 
Jux alishawahi share na Vanessa kwa mzee wa Mjengoni, unakumbuka kuachana kwao kwa 2017, wakapatana Fiesta Dar??

Ommy dimpoz ni mke halali wa Gavana Joho, tena bila Joho ommy asingekua hai had leo. Matibabu yote kule south juu ya JOHO, afu ile RR anayotembelea uulize kaporwa demu gan had apewee yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ommy yuko karibu na GSM ni km shemu wao, [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjini hapa dyadyaa, yaan Jux na Neddy hawa wanao kulana na manager wa hotel ya kifahari pale posta lol.

Wee mlongoo mbna jux n GAY, tena wana crew yao classic. sitaki kuamini hujui.
Najua neddy,kamikaze Ndo machoko jux najua ni basha[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960], [emoji3][emoji1][emoji1][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mambo wazi wazi.

Una habari kinasa msukuma kaitwa obay central kisa kuwa kimahaba na comedian wa Kenya yule wa kiume anaigiza kike? Afu pia na hakika ruben
Ndo huyo hakika Ruben na hyo ya kinasa msukuma tumeiskia
 
Back
Top Bottom