Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyaogopi majini yao.Watu wanafuga majini we unatumia Novena? 😀 😀 😀
Acheni kumtukana mzee wa watu na muwe na heshima kwake na kwa nchi japo mnasema wengi wetu ni mazuzu lkn hatujafikia huko.........mnaposema jk akimpa ubalozi huko Uchinani unaweza weka rekodi ya kuapishwa kwa Salaah au kukabidhiwa jukumu hilo kiserikali!!!??,maana inajulikana mabalozi wetu huapishwa kabla na hufanyika dhima maalum ya kuwaagaAlipewa Ubalozi wakati aliishia kidato cha nne. Eti alipewa Ubalozi Guangzhou. Huyu JK hata hana aibu. Ndio maana kuna watu wanasema ni Mkongo. Hana uchungu na rasilimali za Tanzania kabisa.
Jamaa kama anategemea milo m3 kwa hao watu.. umwambii kituUnajipa kazi isiyokuhusu unless wewe ni msemaji rasmi wa Salah,hebu tuupe muda ndiyo utatupa majibu sahihi lakini siyo wewe kutaka kulazimisha kunyamazisha watu kwa nguvu.Mpaka hapa unaonyesha wewe ni mfaidika mkuu wa mifumo ya kina Silent Ocean lakini sasa uwe na kiasi na uachie watu watoe machungu yao pia.
huna akili.Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
jinga wewe.Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Utapambana nao peke yako usipokuwa makini.....wanaofaidika na huduma zao ni wengi kuliko mnaojipanga kumuharibia,shida ambayo jamaa Salaah na his co.ni kutaka kuwaamini wabongo ktk mambo ya pesa na wakishaharibu wanataka wasamehewe,imefikia sasa atawasamehe wangapi kwenye upotevu wa pesa na akiwadai ndo hapa wanakuja kutaka huruma kwa sie wananchi woote utafikiri walitushirikisha ktk huo upotevuBrother amini nitaweka. Wote lazima tupambane na hawa wahuni.
Halafu boya kama wewe unakuta ni Mtanzania kabisa nyie ndio wa kuwapiga Shaba hatuhitaji watu wa sampuli yako ur days are numbered maku nyieChuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache atese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma last born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
ni washirika wa kibiashara wa mzee wa msoga.ndio maana wanajiona wapo above the law.Hawa jamaa sahvi wanatamba
Wao tu
Ova
Umemaliza 🤜🏽🤜🏽ni washirika wa kibiashara wa mzee wa msoga.ndio maana wanajiona wapo above the law.
Subhanallah Mungu atakulinda, kama haki yako utashinda na utaipata.Ni kweli nimenusurika kugongwa na Lori la mchanga. Mungu ni mwema maana nilifanya maombi nikijua nachokwenda kupambana nacho
Naskia aliwahi kuwa muuza unga pale italy,Huyu kipindi cha Msoga alipewa ubalozi kule china.
Huwezi kuwa mweusi wewe, unatuhadaa tuNGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE
Huwezi nielewa hadi yakukute ndipo utanielewa,Hii ngozi ina laaana ya milele na kamwe siwezi kuikubali ngozi nyeusi japo kuwa mimi ni mweusi,weusi wanapaswa kufa duniani watoweke maana ni laana
Ila uzi una saa 13 tangu umewekwaBado masaa 71 na dak 40