Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Ni kweli, tena anampigia simu anamwambia kama unarekodi rekodi na upelekea unapotaka hivi sasa serikali iko mfukoni kwetu.
Mwaga huo uozo tuuone hapa hapa usipotee kusikojulikana bila kumwaga huo uchafu mkuu chonde chonde kabla haujakata roho kumbuka kuumwaga huo uchafu tuuone na sisi, fanya km unabonyeza keyboard
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Tulishasahau matukio kama haya , lkn kwa sasa naona yanakuja kwa kasi sana
 
Acheni kumtukana mzee wa watu na muwe na heshima kwake na kwa nchi japo mnasema wengi wetu ni mazuzu lkn hatujafikia huko.........mnaposema jk akimpa ubalozi huko Uchinani unaweza weka rekodi ya kuapishwa kwa Salaah au kukabidhiwa jukumu hilo kiserikali!!!??,maana inajulikana mabalozi wetu huapishwa kabla na hufanyika dhima maalum ya kuwaaga

Tupe hiyo rekodi ya kukabidhiwa jukumu hilo kitaifa
Usiwe mbishi!

Kuna Full Balozi na kuna Balozi mdogo!

Full Balozi ndiyo hao hua wanaapishwa kabisa na Balozi mdogo wa sehemh flan anakua chini ya Full Balozi!

Unajua kama kuna Dada anaitwa Malkia wa Nyuki alikua shabiki sana wa Simba?? Pia alipewa kua Balozi mdogo sikumbuki Nchi! Usiwe mbishi
 
C42E18E1-3584-431C-A9D1-AF9227966A35.jpeg
61604D4C-64B0-47AD-8B38-5F93AECE1ABC.jpeg
04C96B5F-C530-4CD7-B8F9-4EEF82FBB45B.jpeg
 
Aisee ngoja tusubiri udambwidambwi
Hivi mleta mada atakapo andika hizo claims zake hapa,ni nani atathibitisha kua anachodai ni kweli? au ndio tupewa picha tu ila habari tutaandika wenyewe?

Mleta mada anadai asipolipwa huyo Kijana ataanika kila kitu,ina maana akilipwa huyo kijana,yeye kama yeye atakua karidhika na hata anika kila kitu,sasa kwa kauli hiyo hata yeye sio mzalendo kwa nchi yake,na huyo Kijana anayedai inaonekana kabisa kua ni yeye.
 
Asante sana chawa wa Salaah kuja kumtetea boss wako. Muhimu ni kuwa baada ya masaa 72 tutakutana hapa.

Sina mengi ya kueleza kwa sasa maana masaa bado yanazidi kupungua.

Kumbe anakusanyiwa pesa hadi mtu mmoja anamkusanyia bilioni 6? Kwa utaratibu upi wa sheria za fedha? Anazikusanya kutoka wapi? Masaa yanazidi kupungua. Wewe kachukue posho yako ya leo.
Una akili za kike kweli wewe. Sasa kama unajua hivyo na ni kidume si uende mahakamani.yaan unamtisha mtu na masaa. Mi nimekuletea nilichokiona kwenye group la wafanyabiashara kkoo. Unaniita chawa unanijua mkuu. We kama umekula hela za wanaume lipa mzee hilo la sheria au masaa unafikiri litabadili kitu. We toa hata masaa mawili lakin hakibadili ukweli hela ulichukua. Mimi kitu kama hii iliwah kunikuta jamaa kanikopa hela aongezee akachukue mzigo china. amerud kaniruka eti hatujaandikiana na sheria za nchi zinakataa sina kibali cha kukopesha. ***** zake .anajua nilichomfanyia na hela alileta baba yake. Wabongo ujinga utatumaliza. Hii dunia trust ndio kitu muhim kuliko chochote. Unaenda China mchina anakuamini anakupa mali kauli container mbili million Zaid ya mia 5. Hakujui hajawah kufika kwako na hamuandikishiani wewe unakuja unauza unakula cha juu. Sasa wengine wanapotea mazima. Lakin mwisho wa siku unapoteza trust na malengo bure kabisa wapuuz nyie. Unawaharibia wengine image kwa upuuz wako.
 
ni sahihi, huyo kijana alienda kushitaki Central Polisi, maafisa wa polisi wakamuambia hata sisi tuna familia na tumepigiwa simu nyingi sana kuhusu hii kesi hivyo hatuwezi fungua mashitaka na kuharibu kazi zetu. wakamsihi tu aende kutafuta namna ya kumalizana nae wao hawana uwezo huo.
Kwa Nini msiwaroge ili adabu iwaingie hao waarabu Koko?
 
Back
Top Bottom