HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kama walikopa pesa ni sawa kilichofanyika.Hii familia ikiongozwa na GSM na home shopping kama kaka wakubwa watu wanateseka na dhulma zao aisee.
Nikutie moyo haki inatafutwa Kwa njia yoyote muhimu uwe unajua uko sahihi tu.
Nasubiri Yako niisikie lakini najua Kuna familia Moja Iko kariakoo ya waarabu wenzao wame watapeli eneo lao la kigamboni Kwa msomali (vijibweni,tungi) ekari nne lenye sheli na magodown lenye thamani zaidi ya bilioni 7 kupitia polisi na mahakama
Hiyo familia Ina subra inafata channels lakini niliyoyasikia karibu wataweka kwenye vyombo vya habari sehemu pekee iliyobaki kutegemea msaada Kwa waziri mkuu na mama rais maana mahakama yote imetiwa mfukoni na wizara ya mambo ya ndani.
Je hao waliodhuruku walitoa wapi hati ya hicho kiwanja?