Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hii familia ikiongozwa na GSM na home shopping kama kaka wakubwa watu wanateseka na dhulma zao aisee.

Nikutie moyo haki inatafutwa Kwa njia yoyote muhimu uwe unajua uko sahihi tu.

Nasubiri Yako niisikie lakini najua Kuna familia Moja Iko kariakoo ya waarabu wenzao wame watapeli eneo lao la kigamboni Kwa msomali (vijibweni,tungi) ekari nne lenye sheli na magodown lenye thamani zaidi ya bilioni 7 kupitia polisi na mahakama

Hiyo familia Ina subra inafata channels lakini niliyoyasikia karibu wataweka kwenye vyombo vya habari sehemu pekee iliyobaki kutegemea msaada Kwa waziri mkuu na mama rais maana mahakama yote imetiwa mfukoni na wizara ya mambo ya ndani.
Kama walikopa pesa ni sawa kilichofanyika.

Je hao waliodhuruku walitoa wapi hati ya hicho kiwanja?
 
Nimeona hakika anasema alilala na kinasa kapewa 20 [emoji23][emoji23][emoji23] mi nilisema huu ukaribu karibu na mashoga tutasikia jambo na kweli,hivi kwanin mashoga huwa wamelendemka hakika nilijua tu ni shoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kinasa msukuma amewakula wotee
Yule mama fatma na mwenzie hakika Ruben.

Wameitwa huko central Obay. Sahivi mambo wazi wazi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu yangu matajiri wengi huwa ni ma mafia. Ukiachana na wale waliorithi utajiri kama style ya MO vile walau ndio unaweza kuta mtu ni muungwana ila wachache sana.
Urithi hutolewa baada ya kifo.

MO hajarithi sababu Baba yake yupo, MO anamiliki 75% ya kampuni ya METL, Familia yale inamiliki 25%

Siku Baba yake akifa, MO atapewa gawio lake kwenye hiyo 25%
 
Utajiri wa MO hata siuoni upo sehemu gani ,SSB ana vitu vya maana halafu eti anacheza around 600-900m US$ wakati Tapeli MO ana mashamba ya katani aliyopora ,viwanda vya maji/juice/vibiriti/tambi alafu forbes wanasema ana usd 1.5B ,Uongo mtupu.(In Mzee mpili voice)
Umejaa chuki tu, nenda TRA utajua uhalisia
 
Urithi hutolewa baada ya kifo.

MO hajarithi sababu Baba yake yupo, MO anamiliki 75% ya kampuni ya METL, Familia yale inamiliki 25%

Siku Baba yake akifa, MO atapewa gawio lake kwenye hiyo 25%
Hao GSM wenyewe wana kaka yao
Anaitwa abdalah,yeye Ana share kubwa kwenye mabiashara yao
Ila kwa sasa mwenyewe Ana mashamba makubwa na mabwabwa ya samaki huko miono bagamoyo anafanya vurugu zake

Ova
 
Familia zote kubwa hutoa mmoja aonekane ila wengine wapo nyuma.

Ngozi nyeusi kila mtu atataka aonekane.
Wenzetu wanaandaliwa kitambo sana
Kushika nankusimamia mabishara
Na wazee wao
Na kweli wakiaminiwa wasimamie biashara wanafanya kweli
Ngozi nyeusi baba anataka akomae mwenyewe,na ikitokea siku anampa mtoto asimamie biashara lazima ataiuaa

Ova
 
Back
Top Bottom