Uchaguzi 2020 Salaam kwa Watanzania wote Kupitia JamiiForums - Tunaomba kura zenu za Ndio mumpe Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Salaam kwa Watanzania wote Kupitia JamiiForums - Tunaomba kura zenu za Ndio mumpe Tundu Lissu

Hakuna mtakatifu hapa duniani
Inategemea vigezo unavyotumia. Mtu aliyemiminiwa risasi zaidi ya 38, zikamchanachana 16, akawa mzima, ametembea Tz yote bila kushindwa, lakini ujumbe anaoleta ni ule wa haki na uhuru, huku akisema kweli tena kweli tupu, bila shaka Mungu yupo naye. Mungu alimrudisha kutoka shimo la mauti kwa kusudi maalum. Hata kama si mtakatifu kwa vigezo vya kilokole, anaweza kuwa mtakatifu kwa vigezo vya katoloki.
 
Kura na NDIYO Mhe. Lissu ameshazipata. Bwana yule atasubiri sanaaaa mpaka Nkurunziza atakapokuja mara ya pili.
 
Kura ni siri ya Mtu hazipigwi na Familia, Zinapigwa na Mtu mmoja mmoja. Kura yangu nitampa JPM, Wengine katika familia yangu nawaomba waangalie nani wanayemtaka wampe kura, japo nitafurahi wakimpa JPM Huyu ndio mbeba maono ya nchi.
Hana maono atueleze 1.5T imeenda wapi..na yule contractor aliyejenga Chato airport tender ilitangazwa wapi na bunge lilipitisha?
 
Tindu Lissu tumpe kura,hiiiiiiiiiiiiiiii!Kweli?Labda zuzu.

Ndio umpe kura yeye hata kama huamini uwepo wa Mwenyezi Mungu ,wewe mpe tu kura yako ya ndio,isiwe kila mwaka unabahatisha upande wa CCM tu,ni ukichaa huo au uwendawazimu inakuwaje wewe kila siku kura yako unaiharibu kuipa CCM kuipigia kura CCM ni kuharibu kura yako na kujizidishia ufukara au ndio unapigiwa gitaa kama mbuzi wasanii kibao eti wanawaburudisha,wao yanawaendea vizuri kabisa.Itakuwa hili hulijui ukishatanabahi nakuhakikishia kura yako huipeleki CCM ,yakumbuke unayoyapima sio unasahaulishwa na ahadi za uwongo za CCM ,tutakujengea hili na lile ahadi zilizopitwa na wakati.
 
Kama kweli humu ndani kuna "great thinkers " hutasikilizwa. Wenye upeo mkubwa wa kufikiria watampa JPM.
 
Ndio umpe kura yeye hata kama huamini uwepo wa Mwenyezi Mungu ,wewe mpe tu kura yako ya ndio,isiwe kila mwaka unabahatisha upande wa CCM tu,ni ukichaa huo au uwendawazimu inakuwaje wewe kila siku kura yako unaiharibu kuipa CCM kuipigia kura CCM ni kuharibu kura yako na kujizidishia ufukara au ndio unapigiwa gitaa kama mbuzi wasanii kibao eti wanawaburudisha,wao yanawaendea vizuri kabisa.Itakuwa hili hulijui ukishatanabahi nakuhakikishia kura yako huipeleki CCM ,yakumbuke unayoyapima sio unasahaulishwa na ahadi za uwongo za CCM ,tutakujengea hili na lile ahadi zilizopitwa na wakati.
Tumebahatisha?Tumepata reli,ndege,mradi wa Nyerere wa umeme,vituo vya afya,umeme wa REA,barabara,elimu bure,shule kongwe zikekarabatiwa,vyuo vipya vya VETA,crossovers nk.nk.halafu unatuambia tumebahatisha.Umelogwa wewe.Mungu atupe nini?Ni mjinga tu atakayetupa kura yake kichakani kwa kumpa Lissu.Hatupo kwenye majaribio,tunachagua vitu vilivyojaribiwa na kuhakikishwa!
 
Mchagueni Mzee Rungwe tule ubwabwa na kuku, acheni hizo.
 
Mimi ni tajiri
Ungalikuwa tajiri usingekuwa unamlamba Tund Lissu Mata.ko yake kwa kuanzisha sredi za kijinga ati amefuta ccm sijui wapi ili akuonee huruma Ili akukumbuke akirudi ubeleji baada ya kushindwa katika sanduku la kura 28/10/2020. Unatamani uzamie ili uwe houseboy wake. Kijana hujui kuwa TL ni mbinafsi na hawezi kuku kumbuka. Umaskini mbaya jamani
 
Japo umetumia neno Mtakatifu sijui kwanini.

Familia yangu imejipanga vilivyo kuelekeza kura zao kwa Tundu Antipas Lissu. Hawatakaa wasahau sebuleni yetu ilijawa na simanzi na vilio siku ya Trh 07/09/2017 jioni tuliporudi nyumbani tukiwa tunajulishana masaibu yaliyompata Lissu...Kila mmoja aligeukia upande wake akifuta machozi kwa ukatili aliofanyiwa Lissu. Kwa nini avamiwe na kupigwa risasi kwenye eneo lenye ulinzi mkali, amewakosea nini? Maswali ni mengi ila Mungu ni Mkubwa kumzuilia na Mauti.

Tutampa kura zetu !!
Comment yako inafikirisha sana mkuu, Btw tupo pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My president
IMG_20200917_205234.jpeg
IMG_20200907_213903.jpeg
IMG_20200906_212246.jpeg
 
Wote tumkatae muasisi wa uhasama wa Watanzania kwa misingi ya itikadi za kisiasa. Alaaniwe mtu huyu na lolote baya limkute kabla ya uchaguzi huu kufanyika
 
Back
Top Bottom