Salaam za Eid El-Fitr 2020

Salaam za Eid El-Fitr 2020

Wazolee

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
3,183
Reaction score
3,660


Mwezi umeonekana Kashimil India sasa sijajua wale wa mwezi wa kimataifa kesho watakula idi au watawasubiria Saudi jumapili
Screenshot_20200522-195845.jpeg


FE0C483C-5855-4B95-B70B-34C4B89153DF.jpeg
 
Wale wa mwezi wa kimataifa Leo wamegawanyika

Wapo ambao hawajasali idi kwa sababu Saudia Leo hawakusali Saudia wanasali idi kesho

Na wapo waliosali idi kwa kufuata mwezi wa kimataifa uliooneka Kashimil India

Hawa waliosali Leo waendelee kuhesabu vizuri kalenda zao maana miaka yote watakuwa wanatangulia kwa sababu mwezi mpya yani mwezi mwandamo huwa unaanza kuonekana India na China siku moja kabla ya Saudia miaka yote

Hata mfungo tatu mwaka wa Jana India walianza kuona mwezi wakawaambia Saudia Arabia kuwa sisi mwezi tumeuona Saudia wakasema haina shida na sisi kesho tutauona

Kwa hiyo ni kweli kama mnataka mwezi wa kimataifa muwe mnafuata India au China na sio Saudi Arabia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna taarifa kuwa somalia na kenya umeonekana.je kuna yèyote ambae amepata taarifa hizo.
 
Kuna taarifa kuwa somalia na kenya umeonekana.je kuna yèyote ambae amepata taarifa hizo.
Kama Saudia Arabia wataalamu wa kuutafuta mwezi kwa darubini na Jana hawakuona ndio wauone Kenya na Somalia?

Kwa hili anga letu la Africa mashariki Jana hata kama tungetumia darubini mwezi tusingeweza kuona

Ila Leo mwezi upo katika hili anga letu tokea sa moja kasoro asubuhi na utazama sa moja kasoro jioni kama tukitumia darubini tunaweza kuona kirahisi tu

Mwezi Jana ulioneka maeneo ya Kashimil India na miaka yote wao huwa wanauona mwezi siku moja kabla ya Saudia Arabia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Saudia Arabia wataalamu wa kuutafuta mwezi kwa darubini na Jana hawakuona ndio wauone Kenya na Somalia?

Kwa hili anga letu la Africa mashariki Jana hata kama tungetumia darubini mwezi tusingeweza kuona

Ila Leo mwezi upo katika hili anga letu tokea sa moja kasoro asubuhi na utazama sa moja kasoro jioni kama tukitumia darubini tunaweza kuona kirahisi tu

Mwezi Jana ulioneka maeneo ya Kashimil India na miaka yote wao huwa wanauona mwezi siku moja kabla ya Saudia Arabia

Sent using Jamii Forums mobile app
ungejibu kielimu,ingekuwa bora sana

Elimu ya Dini,ni msingi na muhimu kwenye maisha yetu,hususan wakati huu tulio nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom