mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Ni ubaguzi kiwango Cha juu salaam za eid kuzileta kisaccosKwani wewe umekatazwa kuwatakia Eid wana uvccm wenzako?
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ubaguzi kiwango Cha juu salaam za eid kuzileta kisaccosKwani wewe umekatazwa kuwatakia Eid wana uvccm wenzako?
In God we Trust
kuna sababu gani ya wanachadema kuwashambulia askari kwa mawe ?Hatutaki unafiki wauaji na wabaka democrasia hapana hatujasahau watu kama Mbowe wamelia baadhi ya sikukuu wakiwa gerezani kuna wengine ni vilema kwa sababu ya uhuni tu, Watakieni nyie vibaraka wao. mimi sipendagi unafiki
Hatuwezi kumtakia heri shetani.Ubaguzi wa udini na ukanda vyama umetamalaq huko ufipa!
Acha kupotosha wewe .Unapingana na katiba ya chadema inayo imiza kutanguliza utaifa mbele. Vitu vya kuweka utaifa mbele ni kama sikukuu, miradi mikubwa kama sgr, jnhpp, flag carrier n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutuu aache jimbo aje kugombea urais😯
Anzisha uzi wako sasaSalaam za kibaguzi hizi kwanini usiseme watanzania wote badala ya wanachadema?
Nawatakia salaam za eid watanzania wote
Wabeja snaTUMEANZA KUTAKIANA HERI KICHAMA BAADAE ITAFUTIA KIUKABILA HALAFU KIKANDA
Karibu sana mkuuAkili za kipuuzi sana hizi, uzi wa kipuuzi kabisa huu!!