Salaam za Eid El-Fitr 2020

Salaam za Eid El-Fitr 2020

Hatutaki unafiki wauaji na wabaka democrasia hapana hatujasahau watu kama Mbowe wamelia baadhi ya sikukuu wakiwa gerezani kuna wengine ni vilema kwa sababu ya uhuni tu, Watakieni nyie vibaraka wao. mimi sipendagi unafiki
kuna sababu gani ya wanachadema kuwashambulia askari kwa mawe ?
Kuna sababu gani ya raia kwenda jela kuwatoa watu kwa nguvu? Mbaka demokrasia ni mbowe ataki nafasi ya mwenyekiti agombee mwengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
اللّهُ أكبر اللّهُ أكبر اللّهُ اكبر

لا إلَهَ الا اللّه اللّهُ أكبر

اللّهُ أكبر و لِلّه الحمدَ

اللّهُ أكبرُ كَبيِرَا وَالحَمدُ لِلّهِ كَثِيرا

وَ سُبحَان اللّهِ بُكرَةً وَأصْيِلا


لا إلَهَ الا اللّه صَدَقَ وَعدَه

وَنَصَرَ عبده وأعزَ جُنَده

وَهزم الأحْزَابَ وحْدَه

لا إلَهَ الا اللّه وَلا نَعبُد الا أياه

مُخلِصِّينَ لَهُ الدّيِنَ.

وَلوْ كَرِهَ الكَافِروُن

اللّهمَ صَلِّ على سيْدنَا مُحَمد

وَعَلى آلِ سيْدنَا مُحَمد

وَعَلى اصْحَابِ سيْدنَا مُحَمد

وَعَلى أنصَارِ سيْدنَا مُحَمد

وَعَلى أزوَاجِ سيْدنَا مُحَمد

وَعَلى ذُرِّيَةِ سيْدنَا مُحَمد

وسَلّم تَسلِيماَ كَشّيرا.

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
[emoji323][emoji323]لعدين من الفائزين. كلّ عام وانتم بخير. تكبل الله منا ومنكم الصالها الاعمال [emoji322][emoji322]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Awali ya yote tumshukuru Allah kwa kutuwezesha kuukamilisha mfungo huu salama maana wapo tulioanza nao kufunga lakini sasa hivi wameshatangulia mbele za haki na wengine hawakudikiri kabisa kuuona mfungo huu.

Pili niwapongeze wale wote waliojaaliwa kuukamilisha mfungo huu kikamilifu bila deni Allah ajaalie saumu zetu ziwe makubuli.

Mwisho niwakumbushe wale ambao hawajajaaliwa kufunga swaumu zote kutokana na sababu mbali mbali za kisheria kwamba wasisahau kuzilipa swaumu walizoacha kufunga kabla ya kufika Ramadhani ijayo

Pia kwa wale wenye uwezo wasisahau kutoa zakaatul fitri kwa watu wasiojiweza

EID MUBARAAK

Wabillah tawfiq
 
1d7d9097-8e90-4384-8a42-ae897753b6e1.jpg
 
Nachukua nafasi hii Kuwatakia Waislam wote nchini na duniani Eid njema
عيد المباركا. لعدين من الفائزين
تقبل الله منا ومنكم الصالها الاعمال
[emoji323][emoji323][emoji323]كل عام وانتم بخير.[emoji322][emoji322]
Salamu zangu za Eid ziende kwa:
1. Mama yangu,
2. Mke wangu,
3. Wanangu,
4. Ndugu na jamaa zangu,
5. Marafiki zangu,
6. Kwa watanzania wote hususan minhum, Rais wa Tanzania, Dkt.JPJ. Magufuli.
[emoji323][emoji323][emoji322][emoji322][emoji322][emoji322]
Nawe watakie wengine Eid Mubbarak...


[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Back
Top Bottom