Salaam za Kisukuma: Eeng'washi, Eeminza, Ng'waguku, Ng'wanene... Msaada

Salaam za Kisukuma: Eeng'washi, Eeminza, Ng'waguku, Ng'wanene... Msaada

Me huwa cjui kitu najuaga iminza, 2.
Ilamba leo nimejifunza ngoja niyakaliki sasa
 
babu yangu mzaa mama namwambia EMINZA,bibi namwambia EKAMBA.Babu na bibi mzaa baba nawajibu ESEA.
upande wa baba wote ESIA,kwa mama EMINZA
 
Kinehe Watani zangu, naomba kuuliza hili neno lwimbo(lwembo) kama lilivyoletwa na wachangiaji ni kiitikio kama vile marhaba aua ni salamu? naomba ufafanuzi kidogo.
 
Na mtu yeyote baki asie ndugu yako mkiwa mnasalimiana lazima umsalimie kwa jina la babu yake nae atakusalimia kwa jina la babu yako!

Hii kitu wasukuma wanaamini kua katika salamu hizi waweza kutana na ndugu yako kutokana na hiyo historia ya salamu za mababu!

Onepandeka Bhageshi?

Utalijuaje jina la babu yako wakati tumekutana tu sengerema .Nitajuaje kama wewe ni Kaswalala, au Mahela aua Ngereja?
 
Hawa wanyantuzu ndio wanatokea maeneo yapi ya usukumani, na ujanja wao upo katika mambo gani?

Hawa wanatokea Bariadi na ndio watafutaji wakubwa Wa Fwedha na matajiri na matapeli na wajanja sana!
 
Utalijuaje jina la babu yako wakati tumekutana tu sengerema .Nitajuaje kama wewe ni Kaswalala, au Mahela aua Ngereja?

Katika salamu utatakiwa kumuuliza jina la babu yake na wewe utamwambia jina la babu yako then mkiwa mnasalimiana utamtaja jina la babu yake nae atakutajia babu yako hapo ndo Hyannis huyo ukoo wake
 
Hawa wanatokea Bariadi na ndio watafutaji wakubwa Wa Fwedha na matajiri na matapeli na wajanja sana!
Andrew Chenge? John Cheyo, etc

Ila wanaume wao kwa kuoa wake wengi wanaongoza
hahahahhaha, je, kulingana na Ntuzu hapo juu, je hao wahusika "Chenge, Cheyo, etc kama unawafahamu" unakubaliana na Ntuzu na wanasifa kama ulizozisema wewe?
 
Andrew Chenge? John Cheyo, etc


hahahahhaha, je, kulingana na Ntuzu hapo juu, je hao wahusika "Chenge, Cheyo, etc kama unawafahamu" unakubaliana na Ntuzu na wanasifa kama ulizozisema wewe?
Cheyo na Chenge ka civilization kamewasaidia, kuna kina Eduward Ng'hwani,enzi za shirecu akiwa mwenyekiti karibu kina bhagesi wote walikuwa mameneja,Kuna huyo jirani ya babu yangu,alimwambia babu yangu,Mbate ulinakima umo duhu ubhizaga noko nai?yeye alikuwa na wake wawili shytown na mmoja Bariadi,wanajua kuzitafuta mhilya ila ndo ubovu wao bhakema bhape
 
Hata akina Paulo Bomani (late), mzee Majukano au Shinyanga hotel pale mwanza town,nasikia walikuwa of that type, ila kwa Chenge nakubaliana na Ntuzu kuhusu habari za utapeli "vijisenti", nilishafanya kazi na Baba (babu) mmoja for 3 years - anatoka bariadi hahahahha ilikuwa balaa anapenda sana dogodogo,mkienda say training somewhere mkispend night huko basi hawezi lala bila kupata joto
Cheyo na Chenge ka civilization kamewasaidia, kuna kina Eduward Ng'hwani,enzi za shirecu akiwa mwenyekiti karibu kina bhagesi wote walikuwa mameneja,Kuna huyo jirani ya babu yangu,alimwambia babu yangu,Mbate ulinakima umo duhu ubhizaga noko nai?yeye alikuwa na wake wawili shytown na mmoja Bariadi,wanajua kuzitafuta mhilya ila ndo ubovu wao bhakema bhape
 
Back
Top Bottom