CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Wanyantuzu wajanja kuliko wasukuma wote!
Wanyantuzu ni washamba kuliko matabaka yote ya kisukuma... kama ilivyo Wanyambo kwa wahaya na Wanyantira kwa Wakurya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyantuzu wajanja kuliko wasukuma wote!
Wanyantuzu ni washamba kuliko matabaka yote ya kisukuma... kama ilivyo Wanyambo kwa wahaya na Wanyantira kwa Wakurya!
Hata akina Paulo Bomani (late), mzee Majukano au Shinyanga hotel pale mwanza town,nasikia walikuwa of that type, ila kwa Chenge nakubaliana na Ntuzu kuhusu habari za utapeli "vijisenti", nilishafanya kazi na Baba (babu) mmoja for 3 years - anatoka bariadi hahahahha ilikuwa balaa anapenda sana dogodogo,mkienda say training somewhere mkispend night huko basi hawezi lala bila kupata joto
Wanyantuzu ni washamba kuliko matabaka yote ya kisukuma... kama ilivyo Wanyambo kwa wahaya na Wanyantira kwa Wakurya!
na ni wabishi hatari
Acha uongo wewe
Ni kweli Mkuu Hawa jamaa zangu toka Bariadi ni wajanja sana kuzidi jamii zingine za kisukuma!
Ata ukimkuta amesoma shule ya msingi tu ila ni mjanja vibaya na anatafuta pesa vibaya!
Hao ulio wataja ni maarufu wako wengi tu hawavumi lakini wana pesa vibaya
Wandya nanho emihayo yako!
On'gwana ommami nd'oo ale ng'wana womsengi!
Ong'gwana onsheke ntale nkoi!
Nayene; Welelwa,odeba ne omana pyeyose yene mihayo yakesukuma ne maanayayo emo do! Got it, gotcha, understand,
Sasa unabisha ghete!!!
Hivi Shibuda, Hosea (TAKUKURU) nao wanatokea huko? ni type hio
Mtoto wa shangazi ni mkubwa kwa sababu ni mtoto wa "Mkwilima". Mtoto wa mjomba ni mdogo kwa sababu ni mtoto wa "Ng'winga". "Mkwilima" ni mkubwa kwa "Ng'winga" hata kama "Ng'winga ni mkubwa kwa umri. Usukumani mtoto wa kike hakui. "Ng'winga and Nkwilima, wakisalimiana, lazima Ng'winga atuje mazwi kwa "Nkwilima hata kama Nkwilima ni mdogo kwa umri.
Na hiyo ndiyo sababu ya watoto wa shangazi ambaye mme wake ni Nkwilima kuwa wakubwa kuliko watoto wa mjomba ambye mke wake ni "ng'winga kwenye kaya.
Igulagi matu!
Kuhusu utafutaji wa peas uko sawa bali kwa utapeli uko mbali sana kama swali la kuchagua lins ABCD wewe umejaza Z.Hawa wanatokea Bariadi na ndio watafutaji wakubwa Wa Fwedha na matajiri na matapeli na wajanja sana!
Kuhusu utafutaji wa peas uko sawa bali kwa utapeli uko mbali sana kama swali la kuchagua lins ABCD wewe umejaza Z.
Bhanatunzu ni aggressive, creative and hardworking. Wangekuwa mamesoma kama wachaga tungekuwa mbali sana.
Mtoto wa shangazi ni mkubwa kwa sababu ni mtoto wa "Mkwilima". Mtoto wa mjomba ni mdogo kwa sababu ni mtoto wa "Ng'winga". "Mkwilima" ni mkubwa kwa "Ng'winga" hata kama "Ng'winga ni mkubwa kwa umri. Usukumani mtoto wa kike hakui. "Ng'winga and Nkwilima, wakisalimiana, lazima Ng'winga atuje mazwi kwa "Nkwilima hata kama Nkwilima ni mdogo kwa umri.
Na hiyo ndiyo sababu ya watoto wa shangazi ambaye mme wake ni Nkwilima kuwa wakubwa kuliko watoto wa mjomba ambye mke wake ni "ng'winga kwenye kaya.
Igulagi matu!
Chenge ni mmoja wao!Hawa wanatokea Bariadi na ndio watafutaji wakubwa Wa Fwedha na matajiri na matapeli na wajanja sana!
.babu yangu mzaa mama namwambia EMINZA,bibi namwambia EKAMBA.Babu na bibi mzaa baba nawajibu ESEA.
upande wa baba wote ESIA,kwa mama EMINZA