Salaam za Kisukuma: Eeng'washi, Eeminza, Ng'waguku, Ng'wanene... Msaada

Salaam za Kisukuma: Eeng'washi, Eeminza, Ng'waguku, Ng'wanene... Msaada

Bagalu bichane, aliyoneyo, nandje kwa kubagisha pye!

Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini inanishinda.

Kwa waelewa na wataalam wa lugha ya Kisukuma, naomba msaada kufafanuliwa matumizi fasaha ya vitambulishi na vipokeo vya ukoo na ukubwa kiumri katika salaam.

Kuna mameno kama: eeng'washi na eminza, yananitatiza. Nambelejagi babehi, naduma geteh oukwelelwa. Nakoubiza nabona majonginjongi douhu!! Anguh lekaga nafunye mifano ahaseleleh ahah:

-- bibi na babu mzaa mama unamsalimia kwa vipokeo vipi?
-- bibi na babu mzaa baba unamsalimia kwa vipokeo vipi?

--mjomba unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--shangazi unamsalimia kwa vipokeo vipi?

--mama mdogo/mkubwa unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--baba mdogo/mkubwa unamsalimia kwa vipokeo vipi?

Na salaam nyinginezo mbalimbali ambazo utaweza kuzielezea. Akhsante.


Steve Dii
Kuishi kwingi kuona mengi...hizi lwimbo ni idols (miungu) ya kisukuma.

Hapo ndio kuna shida maana unajikuta kwenye mgogoro hasa unaposoma amri kumi za Musa. Hasa Ile amri ya kwanza
 
Mfano nimekutana na baba mkubwa/mdogo ,naanzaje kusalimiana nae ,tena ikiwa Mie ndo nimemkuta amekaa ??

Mtiririko wa salamu unakuaje mwenye kujua anisaidie?
 
Mfano nimekutana na baba mkubwa/mdogo ,naanzaje kusalimiana nae ,tena ikiwa Mie ndo nimemkuta amekaa ??

Mtiririko wa salamu unakuaje mwenye kujua anisaidie?
Mara nyingi anayemkuta mwenzie ndio huanza kusalimia kwa mtiririko wa umri mkubwa kwenda chini, salaam za kisukuma huchukua muda mrefu kwani hujumuisha na watu/Vitu vingine vya kijamii ambavyo havipo kama mvua, afya ya zizi la ng'ombe, mimea shambani na chochote kile kinacho trend kwa wakati huo hujadiliwa ndani ya salaam na ndani ya kusalimiana ndipo utagundua kuwa huyu " LWIMBO" wake Ni fulani na ikishindikana basi option ya mwisho utamwuliza babu yake
 
Back
Top Bottom