Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Lil ommy + Millard Ayo = Salama

Sio kwa ubaya ila ukichukua tabia ya lil ommy ni kama salama wa planet bongo

Ukichukua za Millard ni kama Salama wa mkasi

Hivyo ntaenda na salama maana anaweza kubadilika na bado akawa amazing..
 
Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
 
Salama ana uwezo mkubwa wa kuuliza maswali korofi yale tena kwa ustadi wa hali ya juu.

Salama kuna ile interview aliyo mfanyia Mzee wa upako,alimchokonoa mpaka akawa anataka kumaindi lkn Salama anaye mwanzo mwisho.
 
Lil ommy + Millard Ayo = Salama

Sio kwa ubaya ila ukichukua tabia ya lil ommy ni kama salama wa planet bongo

Ukichukua za Millard ni kama Salama wa mkasi

Hivyo ntaenda na salama maana anaweza kubadilika na bado akawa amazing..

Umemshusha sana Lil Ommy.

Weight yake inaweza kuwa sawa na Salama.

Millard bado, ila yuko kwenye right track.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…