Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
π π π πMi nampenda Dijalo Alungu wa tibisii efuem anaongea kama ana maji mdomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nampenda Dijalo Alungu wa tibisii efuem anaongea kama ana maji mdomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] ila millard ana followers huko youtube na insta kuzidi kituo chochote cha redio hapa bongoHuyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
Energy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommyUmemshusha sana Lil Ommy.
Weight yake inaweza kuwa sawa na Salama.
Millard bado, ila yuko kwenye right track.
Achana na mashabiki maandazi[emoji23][emoji23][emoji23] ila millard ana followers huko youtube na insta kuzidi kituo chochote cha redio hapa bongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Energy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommy
Sikiliza interview za lil ommy nyingi utaona flow ni ya details na mostly ni vitu mtu alipost kwenye insta au twitter account ..
Kiufupi hana diversity sana kwenye maswali na hii humfanya kuwa less flexible ndo maana akikutana na mgeni ambaye yupo nje ya entertainment industry huwa anastruggle sana kuendana nao
Inshort lil ommy hana same weight na salama
Halafu usisahau kuwa lil ommy na millard ni vitu viwili tofauti...Umemshusha sana Lil Ommy.
Weight yake inaweza kuwa sawa na Salama.
Millard bado, ila yuko kwenye right track.
SafiEnergy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommy
Sikiliza interview za lil ommy nyingi utaona flow ni ya details na mostly ni vitu mtu alipost kwenye insta au twitter account ..
Kiufupi hana diversity sana kwenye maswali na hii humfanya kuwa less flexible ndo maana akikutana na mgeni ambaye yupo nje ya entertainment industry huwa anastruggle sana kuendana nao
Inshort lil ommy hana same weight na salama
Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
Huyo Millard hayo hamfikii salama hata robo!...Unahisi salama akimuhoji Mtu vs Millard akimuhoji mtu ni yupi kati ya hawa mwenye maswali kuntu na ya kufikirisha? yupi unamkubali hapo kwenye kuhoji ma star wa kibongo.
View attachment 1397335View attachment 1397336
Mimi nampa Salama 81% then Millard nampa 83%
DuhHuyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mi nampenda Dijalo Alungu wa tibisii efuem anaongea kama ana maji mdomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimlinganishe Salama na wanafiki.
Abeee, yote hayo ya natoka wapi?Kawaida ya mademu wa kibongo chuki na wivu..mtaendelea kuwa masingo Maza mpaka mzae misukule
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu usisahau kuwa lil ommy na millard ni vitu viwili tofauti...
Millard ana utangazaji wake upo very calm ambao unaendana na content pamoja na personality yake. Hii inamfanya kusikilizwa na rika karibia zote
Lil ommy utangazaji wake una vibe na upo relevant zaidi kwa rika la vijana maana ndo content wanazopenda
Hapo ushajua mshindi nani japo lil ommy namkubali maana kuwin audience kwenye era ya millard .alifanya kazi